Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Amesema hakuna mtu yeyote anayeweza kupambana na Jeshi hilo na kwamba wote wanaovunja sheria za nchi watashughulikiwa.

Nimeona viongozi wa Chadema wanakaripia askari, Tundu Lissu anakaripia watu wangu, namuonya sana, jana nimeongea na Mbowe, akae azungumze na watu wake watii sheria bila shuruti.

"Tundu Lissu hayupo juu ya sheria, tukiamua kutimiza majukumu yetu asilalamike,"IGP Simon Sirro

View attachment 1587125
Sirro biashara ya kuuza binti zako umemaliza? Usitutishe
 
Natumaini mkuu shule ipo kichwani,kwani anayeongelewa hapa ni mm au lissu? Nimesema na narudia kusema kwamba Lissu ni mtu anajielewa na hategemei mtu yeyote kwenye kupata haki yake,anajua jinsi ya kuipigania mwenyewe pasipo kujali chochote au yeyote yule.
Unamsemea wewe mbona ameshajimwa haki mara kibao na hajafanya kitu. Matibabu hakulipiwa pia ubunge akavuliwa just to mention few. Sasa mbona hatuoni amepigania hizo? Kawadanganye mbumbumbu wenzako huko.
 
Huku NEC, Huku Msajili, Huku Polis Huku CCM ..Wote mishale yao inaelekea kwa Lissu ...

Hawa wajinga wanakosa kusoma Alama za Nyakati!!!
Mtu aliyepigwa RISASI 38 na 16 zikimwingia mwilini na bado aka-SURVIVE na Leo ni mgombea wa Urais JMT......Bado Polisi, CCM, MSAJILI na TISS hawashangai na kujiuliza??
Ok acha waendelee na upumbaf wao bila shaka muda utaongea!!!
 
Unamsemea wewe mbona ameshajimwa haki mara kibao na hajafanya kitu. Matibabu hakulipiwa pia ubunge akavuliwa just to mention few. Sasa mbona hatuoni amepigania hizo? Kawadanganye mbumbumbu wenzako huko.
Ni mbumbumbu pekee kama wewe huwa wanawaona wenye akili mambumbumbu
 
Hawa wajinga wanakosa kusoma Alama za Nyakati!!!
Mtu aliyepigwa RISASI 38 na 16 zikimwingia mwilini na bado aka-SURVIVE na Leo ni mgombea wa Urais JMT......Bado Polisi, CCM, MSAJILI na TISS hawashangai na kujiuliza??
Ok acha waendelee na upumbaf wao bila shaka muda utaongea!!!
Karibu mfumo wanamchoka msaliti Lissu itabidi akimbilie Ubelgiji tena.
 
Natamani vita ianze hata leo tuwanyooshe watu furahi hawajui wenyewe wapo wachache
 
Karibu mfumo wanamchoka msaliti Lissu itabidi akimbilie Ubelgiji tena.

Hata Magufuli Watanzania wamemchoka Sana tu....Lakini kwa sababu ya Katiba mbovu mfumo wa Kidikteta unamlinda.......Shame on Magufuli na CCM yake!!!!
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Hahahaaa faru John.
JamiiForums-1688639822.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: UCD
Hata Magufuli Watanzania wamemchoka Sana tu....Lakini kwa sababu ya Katiba mbovu mfumo wa Kidikteta unamlinda.......Shame on Magufuli na CCM yake!!!!
Tutaona kama kweli watz wamemchoka tarehe 28/10/2020.
 
Mkuu kuna siku utakosa hata huo mkono kwa ajali

Utakula vipi?

Utaandika vipi?

Hujafa hujaumbuka

Usicheke mtu hata akiwa Baba yako au Mama yako kazeeka na hawezi kutembea vizuri au anasahau sahau mambo usicheke

Safari ni moja leo kwake kesho wewe tena pengine wewe ukawa na tatizo kubwa zaidi kesho tu

Hujafa hujaumbika
Hawa Bujumbura line wasikusumbue, wako wengi sana Tz na humu JF. Ni waHutu lakini hawana utu, kama huyo wanayemtetea. Mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ndio yalisababisha wakapewa hifadhi Tz na hatimaye kuasilishwa, leo wana kiburi kuliko waliowakaribisha.
 
Back
Top Bottom