Binadamu ukishaanza kuona unaogopa kutetea haki yako kwa kuogopa jela au kuangalia watu wengine,jua huna tofauti na maiti.Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.