Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mko na Robert Amsterdam anawaingiza ikulu tarehe 28/10/2020.Wenye akili wote tumeachana na Magufuli Tuko na Tundu Antiphas Lissu
Vyovyote unavyotafsiri ni sawa tu!!Haya tusubiri tuone, ataenda au atakaidi Amri ya askari wetu?
Alihutubia watu usiku. Baada ya saa 12 jioni.
Hawezi kwenda kusikiliza upumbavu wa SirroHaya tusubiri tuone, ataenda au atakaidi Amri ya askari wetu?
Lissu yuko na Mungu. Na hamna lolote mnaweza mfanya !!! Jaribuni muoneSafi kabisa,! Lisu asifikiri Beberu wake Amsterdam atamsaidia kwa lolote hii ni chi huru
Hatoenda watu wanasubiri wakamkamate ndiyo utajua kwanini kanga hana manyoya shingoniNdo keshaitwa Polisi sasa, ingia barabarani tuone, ...
Hatoenda watu wanasubiri wakamkamate ndiyo utajua kwanini kanga hana manyoya shingoni
Mungu ndo atamuingiza Lissu ikulu iyo October 28. Sio AmsterdamNaona mko na Robert Amsterdam anawaingiza ikulu tarehe 28/10/2020.
Sirro ni polisi siyo askari.Haya tusubiri tuone, ataenda au atakaidi Amri ya askari wetu?
Siku watakapofuatwa hao mnawavimbisha vichwa naji mjitokezeSafi kabisa,! Lisu asifikiri Beberu wake Amsterdam atamsaidia kwa lolote hii ni chi huru
Wakambebe wakamlaze lockup huku mgombea mwingine ana Nadi Sera zake za ubaguzi huko tunduma, uchaguzi huu umeanza kuvurugwa na tume kwa kuvunja kanuni walizojitungia wao wenyewe.Haiingii akilini tukio LA kiuchaguzi lipelekwe polis badala ya kulalamika tume ya maadili.Haya tusubiri tuone, ataenda au atakaidi Amri ya askari wetu?
Askari wenu CCM!Haya tusubiri tuone, ataenda au atakaidi Amri ya askari wetu?