The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Nasikia leo kule Songwe Mkuu alikuwa anaongea kwa hasira sana. Labda haya ndiyo matokeo yake sasa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I doubt. Kama sababu ni hii, basi sio kazi ya Sirro kuingilia. Ni NEC.Alihutubia watu usiku. Baada ya saa 12 jioni.
Dah mkuu nimekua mini na siamini ni wewe. Kwasababu kwenye nyuzi zako na comments zako za nyuma ulikuwa pro Magufuli kwa nguvu zote hadi nilikuwa na ingia anga zako na kukuwin kisaikolojia.Nilikuwa sina mpango wa kumpigia kura Tundu Lissu kwasabau JPM amefanya mengi yanaonekana.......
sasa ndio nitampigia Lissu once and for all
Hajui kama watu hawafanyii kazi habari za mitandaoni pia kama yeye!Haaaa yaani hili mbumbumbu ndio linamuita Mh LISSU kupitia mitandao?
Kwa ubabe unaofanywa na polis na CCM, kama unaipenda haki huwezi IPA kura CCM kamwe.Dah mkuu nimekua mini na siamini ni wewe. Kwasababu kwenye nyuzi zako na comments zako za nyuma ulikuwa pro Magufuli kwa nguvu zote hadi nilikuwa na ingia anga zako na kukuwin kisaikolojia.
Ni wewe kweli ama ni mwengine?
Unafikir Lissu ni Lowassa au Kamuulize afande Muroto mzee wa kipigo cha mbwakoko na ushupavu wake na vitisho ila kwa Lissu alinywea maana Lissu alimfuata live akamwambia mzee nipe gari languNyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Thubutuuuuuu!Safi sana, fungia kufanya kampeni kabisa, kinukisheni sasa tuone, ...
Thubutuuuu!!!!Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.
Thubutuuuuuu!
Mnataka uchaguzi usifanyike?
Msituletee balaa letu kwenye nchi yetu, yaelekea ninyi siyo wa damu ya nchi hii pamoja na mkuu wenu
Vijana na nyie mmekuwa mazezeta sana,, wapigeni miti hao mabinti mpaka ashangae! Enzi zetu Sisi kaka zenu wangekuwa na ujauzito sasa hivi!Kazi imeanza. Toka siku ile nimemwona jamaa akiwanadi binti zake basi nimemuweka kando
Ni mimi nimechenji gia.Dah mkuu nimekua mini na siamini ni wewe. Kwasababu kwenye nyuzi zako na comments zako za nyuma ulikuwa pro Magufuli kwa nguvu zote hadi nilikuwa na ingia anga zako na kukuwin kisaikolojia.
Ni wewe kweli ama ni mwengine?
Lissu kaingia Dar mida hii na anatoa tamko!! Mwambie Sirro hawezi kumfanya lolote!! Na ajaribu aone!!Ndo keshaitwa Polisi sasa, ingia barabarani tuone, ...
Wenye akili wote tumeachana na Magufuli Tuko na Tundu Antiphas LissuNimimi nimechenji gia......
sipendi uonevu kabisa.....
Lissu kaingia Dar mida hii na anatoa tamko!! Mwambie Sirro hawezi kumfanya lolote!! Na ajaribu aone!!