Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Naona siro anaanza kuingia kwenye list ya watuhumiwa wa mahakama za kimataifa.Polis waende tume ya maadili, sio wagombea kupelekwa vituo vya polis.Siro anataka kuanza kuvuruga uchaguzi...
Hawezi kuvuruga uchaguzi,Lissu atampiga kifungu kimoja cha sheria za maadili ya uchaguzi then atanywea kama zuzu
 
Unafikir Lissu ni Lowassa au
Kamuulize afande Muroto mzee wa kipigo cha mbwakoko na ushupavu wake na vitisho ila kwa Lissu alinywea maana Lissu alimfuata live akamwambia mzee nipe gari langu

Achana na huyo muulize huyo kamanda wa Nyamongo alipokuwa anapiga watu mabomu baada ya Lissu kumfuata ikawaje ikabidi asalimu amri

SASA IKO HIVI Lissu ni kama Mafuriko kabla ya kukukumbuka unaweza sema sijui tunayazuia hivi au vile ila yakikukumba lazma uhame nyumba
Kama huamini subiria baada ya kwenda huko kwa Sirro kitatokea nini lazma Siro atakuja na lugha za kistaarabu ambazo wewe Mataga hutotegemea
Nani anamlinda Tl?
 
Nyinyi endeleeni kumvimbisha kichwa tu huyo Lissu. Atakapoanza kunyea ndoo mtakaa kimyaa kama wakati ule Faru John ananyea ndoo mlikuwa mbaliii.

Mwaka huu hakuna wa kutishika na kunyea ndoo! Ni hivi... Mwaka huu tunakula sahani moja hakuna kuachiana wala hakuna anaewaogopa tena!

Niwatanabahishe tu kwamba tuko jahazi moja na likizama maana yake tuna zama wote! Wakati jahazi likizama hatajuilikana kijani wala nyekundu wala zambarau! Akili vichwani mwenu!
 
Tundu Lisu kayataka mwenyewe.
yaaani amekuwa akiwa tukana Askari hadi mimi mwenyewe naogopa!!!
halafu cha kushangaza wakati huo huo anataka ulinzi !! Duh!!
 
Watapata taabu sana yaani,tume walimwita Lissu then Lissu akawapiga kifungu kuwa hawezi kwenda kwa kuitwa kwenye mitandao.Tume wakapeleka barua makao makuu ya chadema kwa bodaboda na kusogeza tarehe ya kumwita mbele halafu Lissu akawapiga kifungu kingine kuwa barua anatakiwa kupelekewa yeye mwenyewe mkono kwa mkono.Sasa hivi tume wanahaha jinsi ya kumpelekea Lissu barua mkono kwa mkono na siku wakipeleka watakumbana na kifungu kingine.Huyo IGP atapigwa kifungu simple tu kuwa anatakiwa kupeleka malalamiko yake kwenye tume ya maadili halafu atanywea kama zuzu
Hahahahahha, dah nimecheka sana mkuu
 
Dah mkuu nimekua mini na siamini ni wewe. Kwasababu kwenye nyuzi zako na comments zako za nyuma ulikuwa pro Magufuli kwa nguvu zote hadi nilikuwa na ingia anga zako na kukuwin kisaikolojia.

Ni wewe kweli ama ni mwengine?
Mkuu Jon Stephano ,nina ndugu yangu ni katibu wa CCM wa mkoa fulani,amekiri kwamba hawezi mpigia kura JPM kabisa.
 
Wathubutu waone mziki, safari hii, ninyee mavi nikuharishie uharo
IGP kaisha sema Lisu hana ubavu wa kupambana na askari,
wamemvumilia weee..wameona sasa huyu jamaa anapoelekea atawatemeea mate....maana ameonyesha dharau za kutosha!!
 
Back
Top Bottom