Uchaguzi 2020 IGP Sirro amtaka Tundu Lissu kuripoti kituo cha polisi Moshi mkoani Kilimanjaro

Sirro biashara ya kuuza binti zako umemaliza? Usitutishe
 
Unamsemea wewe mbona ameshajimwa haki mara kibao na hajafanya kitu. Matibabu hakulipiwa pia ubunge akavuliwa just to mention few. Sasa mbona hatuoni amepigania hizo? Kawadanganye mbumbumbu wenzako huko.
 
Huku NEC, Huku Msajili, Huku Polis Huku CCM ..Wote mishale yao inaelekea kwa Lissu ...

Hawa wajinga wanakosa kusoma Alama za Nyakati!!!
Mtu aliyepigwa RISASI 38 na 16 zikimwingia mwilini na bado aka-SURVIVE na Leo ni mgombea wa Urais JMT......Bado Polisi, CCM, MSAJILI na TISS hawashangai na kujiuliza??
Ok acha waendelee na upumbaf wao bila shaka muda utaongea!!!
 
Unamsemea wewe mbona ameshajimwa haki mara kibao na hajafanya kitu. Matibabu hakulipiwa pia ubunge akavuliwa just to mention few. Sasa mbona hatuoni amepigania hizo? Kawadanganye mbumbumbu wenzako huko.
Ni mbumbumbu pekee kama wewe huwa wanawaona wenye akili mambumbumbu
 
Karibu mfumo wanamchoka msaliti Lissu itabidi akimbilie Ubelgiji tena.
 
Natamani vita ianze hata leo tuwanyooshe watu furahi hawajui wenyewe wapo wachache
 
Karibu mfumo wanamchoka msaliti Lissu itabidi akimbilie Ubelgiji tena.

Hata Magufuli Watanzania wamemchoka Sana tu....Lakini kwa sababu ya Katiba mbovu mfumo wa Kidikteta unamlinda.......Shame on Magufuli na CCM yake!!!!
 
Hata Magufuli Watanzania wamemchoka Sana tu....Lakini kwa sababu ya Katiba mbovu mfumo wa Kidikteta unamlinda.......Shame on Magufuli na CCM yake!!!!
Tutaona kama kweli watz wamemchoka tarehe 28/10/2020.
 
Hawa Bujumbura line wasikusumbue, wako wengi sana Tz na humu JF. Ni waHutu lakini hawana utu, kama huyo wanayemtetea. Mapigano ya wenyewe kwa wenyewe ndio yalisababisha wakapewa hifadhi Tz na hatimaye kuasilishwa, leo wana kiburi kuliko waliowakaribisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…