Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
UMESEMA WEWEutawaambia nn wana ufipa kuhusu mbowe wakakuelewa, mbowe hajawahi kutenda dhambi bana
Hakuna lisilowezekana chini ya jua!Kumbe kuna uwezekano wa chama kufutwa?
Nalog off
Agekuwa gaidi angekuwa ameshakamatwa siku nyingi! Mtu yuko huru hadi anapodai katiba mpya ndiyo mnambabkikizia kosa la ugaidi!!!! Iteligensia yenu iko wapi? Imelala? Mnamtumia salamu za pole gaidi kwa kufiwa na kaka yake? Hivi gaidi mnamjua mnamsikia?Tuhuma za ugaidi anazotuhumiwa nazo Freeman Mbowe hazina uhusiano wowote na chama chake cha CHADEMA lakini Viongozi wa CHADEMA wameifanya kesi hiyo ni kama vile ina mahusiano na utendaji wa shughuli za kila siku za chama jambo ambalo ni hatari endapo Freeman atatiwa hatiani na mahakama...
Gaidi babakoChadema ni magaidi
Tuhuma za ugaidi anazotuhumiwa nazo Freeman Mbowe hazina uhusiano wowote na chama chake cha CHADEMA lakini Viongozi wa CHADEMA wameifanya kesi hiyo ni kama vile ina mahusiano na utendaji wa shughuli za kila siku za chama jambo ambalo ni hatari endapo Freeman atatiwa hatiani na mahakama.
Tunakumbushana tu, siasa siyo uadui.
Mungu ni mwema wakati wote!
Gaidi Abubakar, Wapemba ilikuwaje walimpa hilo jina siku zake za mwisho mwisho kuwa uraiani? Maana hilo jina huwa linahusishwa sana na makosa aliyofanyaGaidi babako
Kwanini mnaunasibisha sana uislam na ugaidi ?Gaidi Abubakar, Wapemba ilikuwaje walimpa hilo jina siku zake za mwisho mwisho kuwa uraiani? Maana hilo jina huwa linahusishwa sana na makosa aliyofanya
Kubambikia watu kesi si sawa kabisa ila kama kweli mtu ni gaidi basi sheria ifuate mkondo wake.Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:
1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi....
Hakuna mtu malaika isipokuwa kuzushia mtu ubaya nayo ni dhambiView attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo...
Kubambikia watu kesi si sawa kabisa ila kama kweli mtu ni gaidi basi sheria ifuate mkondo wake.
UMESEMA WEWE
Mbona hata nyie MEKO mlimuona ndo MUNGU wenu.. mliulizwa?View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe
IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo...
unamkumbuka huyu dogo?Ahsante sana IGP kwa maelezo na makatazo, wenye akili tumekuelewa vizuri sana.
Tuache kufuata upepo kamwe tusiburuzwe, tuheshimu sheria pamoja na vyombo vinavyo simamia sheria.
Katibu Mkuu wa Chadema Mnyika na Mrema naamini wamepata ujumbe na watautekeleza.
Kwa kucma we hodari bac sawa