IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Kwa hiyo haija thibitishwa na mahakama.
sasa sisi wananchi bado tunamuona Mbowe na genge lake ni Gaidi kwa kuwa mahakama haikumsafisha.
ni bora kama mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru ingekaa vizuri kuliko hii ya kufutiwa bado haijamsafisha mbowe, bado anaonekana ni Gaidi tu.
 
Na huyu muuaji ndie alimpa taarifa za uongo Mh. Rais. Anatakiwa awajibishwe kwa kumpotosha Rais.
 
Kwa hiyo haija thibitishwa na mahakama.
sasa sisi wananchi bado tunamuona Mbowe na genge lake ni Gaidi kwa kuwa mahakama haikumsafisha.
ni bora kama mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru ingekaa vizuri kuliko hii ya kufutiwa bado haijamsafisha mbowe, bado anaonekana ni Gaidi tu.

Tofautisha wananchi na mamburula.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
 
Kwa hiyo haija thibitishwa na mahakama.
sasa sisi wananchi bado tunamuona Mbowe na genge lake ni Gaidi kwa kuwa mahakama haikumsafisha.
ni bora kama mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru ingekaa vizuri kuliko hii ya kufutiwa bado haijamsafisha mbowe, bado anaonekana ni Gaidi tu.
😀😀😀,Endelea kuteseka!Mbowe sio gaidi Kwa mujibu wa Katiba ya JMT na sheria zake!
Ndio maana mahakama imemuachia huru bila masharti yoyote,kiufupi ni kama DPP kaiambia mahakama kuwa ushahidi nilioleta ni Crap!
Jiulize,iweje DPP afute kesi siku ambayo Mbowe anaanza kujitetea?
Kibatala anasema walikuwa wameshajipanga kuleta mashahidi 21 na nyaraka 20 kuthibitisha Mbowe si gaidi!
Baada ya mashtaka kushindwa kujua majina na anuani za mashahidi ndio wakaogopa surprise,wakaamua kufuta kesi ya mchongo!

Mmenyima Mbowe kuelezea upande wake mahakamani,basi anakuja kutueleza kwenye majukwaa ya kisiasa!
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
Mkuu Afya yako ya ubongo haiku sawa
 
Kwa hiyo haija thibitishwa na mahakama.
sasa sisi wananchi bado tunamuona Mbowe na genge lake ni Gaidi kwa kuwa mahakama haikumsafisha.
ni bora kama mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru ingekaa vizuri kuliko hii ya kufutiwa bado haijamsafisha mbowe, bado anaonekana ni Gaidi tu.
Unajua maana ya kufutiwa mashtaka na DPP?
Maana yake mashtaka yana mushkeli, ni batili.. yaani kosa halipo, meaning watuhumiwa siyo gaidi!
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”.

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”.

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”.

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”.

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi?, tupate nini? Tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”.

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”.

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”.

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”.
Mheshimiwa IGP Sasa cjui anajisikiaje jaman. Kweli maisha hyatabirik
 
Igp mpumbafu Sana. Mama awapelekee brigadier general mmoja akawasimamie
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”.

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”.

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”.

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”.

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi?, tupate nini? Tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”.

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”.

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”.

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”.
The idiot
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”.

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”.

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”.

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”.

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi?, tupate nini? Tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”.

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”.

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”.

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”.
Ili kulinda heshima angalau uliyobakiza toka Kwa familia yako maana Hakuna mtanzania mwenye akili anayekuheshimu tena, kabla ya saa 12 jioni ya Leo jiuzulu.
 
Ningefurahi kama angeutoa ule ushahidi hadharani tuu, maana kesi imeshafutwa.
 
Ali
Kwa hiyo haija thibitishwa na mahakama.
sasa sisi wananchi bado tunamuona Mbowe na genge lake ni Gaidi kwa kuwa mahakama haikumsafisha.
ni bora kama mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru ingekaa vizuri kuliko hii ya kufutiwa bado haijamsafisha mbowe, bado anaonekana ni Gaidi tu.

Aliyemfungulia mashtaka ya ugaidi ndio amefuta mashtaka. Wewe Baki na Roho yako mbaya utajijua mwenyewe.

Tatizo mnajifanya mna chuki na upinzani wakati watoto wa makamba , kikwete na Lowassa wanapewa vyeo CCM. Nyie mmebaki kupiga mayowe na wakati wengine wanakula bill jasho.
 
Ali

Aliyemfungulia mashtaka ya ugaidi ndio amefuta mashtaka. Wewe Baki na Roho yako mbaya utajijua mwenyewe.

Tatizo mnajifanya mna chuki na upinzani wakati watoto wa makamba , kikwete na Lowassa wanapewa vyeo CCM. Nyie mmebaki kupiga mayowe na wakati wengine wanakula bill jasho.
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
Kwa hiyo alikutwa na hatia na Kingai? Urio? Inspekta Tumaini?

Tofautisha tuhuma na hatia, Mtuhumiwa na Muhalifu.

Jifunze sheria japo kidogo.

Sent from my CMR-AL09 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
Utakufa ukiwa umesimama kingai
 
Back
Top Bottom