IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Kwa sakata hili la Mbowe, kweli mungu fundi, yaani bila kutumia nguvu ametupigania wana kaskazini kwa kuliweka gaidi mbowe ndani, na lisitoke kamwe.

Hongera kwa jeshi la polisi, na wakuu wote wa vyombo vya usalama kwa kuukomesha mpango wa ugaidi wa Mbowe.

Heko pia kwa mama yetu SSH kwa kulijua hilo, ikiwezekana asitoke huko.! Wananchi tupo upande wa serikali na tunafuatilia kwa karibu suala hili ili kuhakikisha gaidi anapatiwa haki yake kisawa sawa.

Na, liwe fundisho.!
 
Jina na Mungu muumba mbingu na nchi ni Jina kuu, huwa linaanza kwa herufi kubwa hata kama ni katikati ya sentensi.
Sijui wewe unamsema Mungu gani,

By the way watu wa aina yako walikufa kwenye vita ya maji maji,,,,wengine waliobaki wakafa kwenye vita ya kagera sijui uliponaje aiseee!
 
Sikuwahi kua na doubt khs matatizo yako ya akili.
IMG_20220130_145602.jpg
IMG_20220130_145632.jpg
 
Kwa sakata hili la Mbowe, kweli mungu fundi, yaani bila kutumia nguvu ametupigania wana kaskazini kwa kuliweka gaidi mbowe ndani, na lisitoke kamwe.

Hongera kwa jeshi la polisi, na wakuu wote wa vyombo vya usalama kwa kuukomesha mpango wa ugaidi wa Mbowe.

Heko pia kwa mama yetu SSH kwa kulijua hilo, ikiwezekana asitoke huko.! Wananchi tupo upande wa serikali na tunafuatilia kwa karibu suala hili ili kuhakikisha gaidi anapatiwa haki yake kisawa sawa.

Na, liwe fundisho.!
Bila la shaka ni ndugu ze jambazi,(ze bambikiaji kama sii timu badluck&co. Kolabo ya akina king'aa, urio etc.
 
Ufundi mkubwa na usiomithilika ambao Mungu alilitendea taifa letu ni ule wa tarehe 17 Machi, 2021.

Hakuna unaozidi huo.

Sifa na Utukufu ni kwako Mwenyezi Mungu, milele na milele.

Nimesahau kidogo:BWANA,nakuomba lile dubwasha ulilaze hata chooni kama utakuwa umelionea huruma.Na lilale humo milele!
Mbo we liozee jela kwa uweza wake mungu.

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Kumbe we unahurumia mbwa tu sio binadamu! Nimetoka kusoma uzi wako wa kijinga na hapa umethibitisha kuwa umgonjwa wa akili nenda hospitali haraka maana unathibitisha vitu ambavyo huna hata chembe ya data.
 
Hivi mtu ambae akiona watoto wa mbwa anaanza kulia sidhani kama ana akili timamu yaweza kuwa una chronic mental illness ila unakosa kitu kimoja tu kufahamu kwamba unaumwa...
 
NINYI NDIO MNAOSABABISHA MUNGU NAYE MNAEMTAJA ALINGANISHWE NA MVUTA BANGI YEYOTE TU.
 
Kwa sakata hili la Mbowe, kweli mungu fundi, yaani bila kutumia nguvu ametupigania wana kaskazini kwa kuliweka gaidi mbowe ndani, na lisitoke kamwe.

Hongera kwa jeshi la polisi, na wakuu wote wa vyombo vya usalama kwa kuukomesha mpango wa ugaidi wa Mbowe.

Heko pia kwa mama yetu SSH kwa kulijua hilo, ikiwezekana asitoke huko.! Wananchi tupo upande wa serikali na tunafuatilia kwa karibu suala hili ili kuhakikisha gaidi anapatiwa haki yake kisawa sawa.

Na, liwe fundisho.!
Kumbe we unahurumia mbwa tu sio binadamu! Nimetoka kusoma uzi wako wa kijinga na hapa umethibitisha kuwa umgonjwa wa akili nenda hospitali haraka maana unathibitisha vitu ambavyo huna hata chembe ya data.
Anaweza kuwa godlaki/badluck huyo, laana ya kumbambikia imemvuruga kichwa🤔.
 
Kwa sakata hili la Mbowe, kweli mungu fundi, yaani bila kutumia nguvu ametupigania wana kaskazini kwa kuliweka gaidi mbowe ndani, na lisitoke kamwe.

Hongera kwa jeshi la polisi, na wakuu wote wa vyombo vya usalama kwa kuukomesha mpango wa ugaidi wa Mbowe.

Heko pia kwa mama yetu SSH kwa kulijua hilo, ikiwezekana asitoke huko.! Wananchi tupo upande wa serikali na tunafuatilia kwa karibu suala hili ili kuhakikisha gaidi anapatiwa haki yake kisawa sawa.

Na, liwe fundisho.!
Nikusaidie. Hayo uliyoyaandika hapa hayatawezekana na kama umejiaminisha kuwa yatawezekana unajidanganya!
Nakushauri, mtafute psychotherapist akusaidie kupunguza yanayokukabili ya kulialia hovyo uonapo watoto wa wanyama kwani tatizo hilo usipolithibiti utaangukia kwenye kesi ya kubaka watoto! Na huenda wewe ndiye utakayefungwa maisha Kwa kuwabaka watoto ambao unajidai kuwapenda kumbe una hidden agenda! Kapimwe kifafa!
 
Back
Top Bottom