IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Sidhani kama unajua au una taaluma yoyote ya sheria
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Kama huna cha kuandika JM si utulie au usome thread tu za watu maaana ulichokiandika hata hujui umeandika niniiiiiii
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Kama ushahidi wa tigo na aitel ndo ule hakuna kesi pale, huu ushahidi wa hisia judge gani atauchukua
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Huyu IGP yupo yupo tu. askari wake wanapora wananchi alafu wanawaua
 
Hizi nyuz za hivi siona mtu alieanzisha akijibu. Huwa wanaanzisha halafu wanaishia mitini. Hawa wanatumwa maalum kwa ajili ya kupima upepo. Hii I'd ilifunguliwa maalum mwaka jana kwa ajili ya hii kesi.
 
Kuna siku tutagundua nyuma ya jaribio lililoshindw la kumuua Lissu upo mkono wa Kamanda Mbowe na makamanda wengine... Yetu macho na masikio
Nani alikuwa anakamata wanaofanya maombi Lissu apone?
Nani alizuia Lissu kulipiwa na serikali gharama za tiba?
Nani alizuia malipo na mafao ya Lissu bungeni?
Nani alimfuta ubunge?
Nani alizuia upelelezi wa jaribio lile la mauaji ?
 
Kuna siku tutagundua nyuma ya jaribio lililoshindw la kumuua Lissu upo mkono wa Kamanda Mbowe na makamanda wengine... Yetu macho na masikio
Unaisubiria hiyo siku bado? Jinga hii. Mbowe atakuwa yuko juu ya sheria zote duniani basi kama tukiamua kuitumia akili yako.
 
Kuna siku tutagundua nyuma ya jaribio lililoshindw la kumuua Lissu upo mkono wa Kamanda Mbowe na makamanda wengine... Yetu macho na masikio
Na serikali mpaka leo imeshindwa kulijua hilo na kulithibitisha!!!???
Basi narudia kuandika tena, Mh. Mbowe atakuwa ni bonge la jiniasi kuliko jiniasi tuwajuao duniani.
 
shida ni kwamba, alikuwa anafikiri anaweza kuspy jeshi na serikali kwa kutumia watumishi wa serikali tena kutoka maeneo hayo nyeti, bila kujua kuwa wenzake hao walishakula kiapo. hata wale bodyguards anaoshitakiwa nao walishakula kiapo cha kufa na kupona, asiwaamini sana. kweli unamchukua mtu alikuwa comandoo wa jeshi awe mlinzi wako na bado unaamini atakuwa mwaminifu kwako kuliko kuwa mwaminifu kwenye kiapo chake? akili zenu mmepeleka wapi?
 
Nanukuu;

Ni suala la kufikirisha kidogo, na kutokana na desturi za kijeshi, lazima mwanajeshi a report kwa Command yake.

Kwanini Dennis Urio aliruka kutoka command ya Jeshi yenye Military Intelligence ambao wana mawasiliano mazuri na TISS na Polisi yeye akaenda moja kwa moja kwa DCI?

Ni kwanini mwanajeshi alifanya kazi ya upolisi wakati polisi wapo? Je, Command yake ilijua haya aliyokuwa akiyafanya?

Kwenye level ya DCI, Urio hawezi kufanya kazi na Boaz bila Gen. Mabeyo kujua

Je, alifanya haya binafsi kukichafua jeshi au kwa maslahi ya nani? Inafikirisha maana inaonesha wazi ni shahidi wa kutengeneza.
 
nacho anza kuona apo ni visasi tuu kati ya ma -uncle wawili mbowe na Urio...………….
 
Kama wanao ushahidi kwann wanatumia mda mrefu kutafuna kodi zetu si wamfunge tu
 
Ukiona kesi inachukua mda mrefu kuisha jua hamna kesi hapo
 
Elimu Elimu Elimu Elimu.Siwezi kukulaumu kwakuwa Elimu yako mpaka leo imeshindwa kukukomboa.

Luteni Urio kathibitisha mwenyewe tena pasipo shaka kwamba hakuna ugaidi na kesi yenyewe imejengwa katika misingi ya kisiasa.
Yaani mpaka sasa sioni kwa nini akina Adamoo wasilipwe fidia na serikali kwa kuwatumia kumchomekea FM case bila wao kujua halafu wakawatesa na kuwabambikia kesi .... Binafsi naona DCI anatakiwa awajibishwe kwa hili.
 
Mhalifu ni muhalifu tu.
Mbowe na wenzake ni wahalifu/watuhumiwa kama walivyo wahalifu wengine.
Mbowe sio mtakatifu ni binaadamu kama wengine.
Dhalimu ni dhalimu.

Atatumia kila resources aliyonayo kukukandamiza tu
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Abracadabra za kingai ndio ushahidi
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agost 2,2021 amefanya mkutano na Waandishi wa Habari ambapo amezungumza mbalimbali kuhusu kukamatwa na Mwenyekiti wa Chadema pamoja na vuguvugu la kutaka kufanya maandamano. Akiwa katika mkutano huo SIrro alisema yafuatayo:

“CHADEMA wanaona Mwenyekiti wao (Mbowe) ameonewa na wanasema hawezi kuwa hivyo wanamuona ni Malaika hawezi kufanya kosa”.

“Kabla ya Uchaguzi nilisema kuna Watu wamepanga kuhakikisha Uchaguzi haufanyiki, nilisema kuna baadhi ya Watu wamepanga kulipua visima vya mafuta na kufanya mauaji ya Viongozi na nilisema tutawakamata kabla hawajafanya hivyo”.

“Tuliwakamata kabla, hayo ya Mwenyekiti wao (Mbowe) sitaki kuzungumzia sana lipo Mahakama ila wajue yeye ni Binadamu kama Binadamu wengine na anaweza kufanya kosa tumempeleka Mahakamani tuache Mahakama itimize wajibu wake”.

“Kama kweli ni mkweli Mwenyekiti wao (Mbowe) na anamuamini Mungu waende wamuulize habari hiyo, kuna mambo unaweza kuyafanya kwamba ni siri lakini ndio mana Vyombo vya Habari vipo, niwaombe Watanzania wenzangu usilolijua ni kama usiku wa giza usiingie kwenye mtego ambao hujui aliyeutega ana jambo gani”.

“Waende wamuulize huyo Mtu tuliyempeleka Mahakamani (Mbowe) kwamba hili jambo unalijua na kama ni ukweli ana Dini yake na anamjua Yesu Kristo aende aaambiwe, tunamuonea kwa lipi?, tupate nini? Tuna ushahidi wa kutosha tuache Mahakama iamue, kafanya Yes hakufanya Yes lakini habari ya kikundi cha Watu kusema tunataka kuandamana wewe ni nani Bro!? hiyo nafasi hauna”.

Awaonya Wanaotaka kuandamana
“Niwaombe Watanzania tuache wale Watu wachache ambao wanataka kupambana na Serikali wapambane nayo labda wana sababu zake lakini Mtu wenye hekima na busara anielewe, lakini kikubwa kama wameandaa kwenda Canada au Marekani wajiandae ila hatuwezi kuruhusu Watu wachache wavuruge Nchi kwasababu wamekosa madaraka”.

“Habari ya kusema mnataka kuandamana mnavunja sheria na ukivunja sheria usilaumu Jeshi, ukivunja sheria umeingia kwenye uhalifu, Sirro hatokuacha na Polisi hawatokuacha na ndio maana wanafanya siasa kwa sababu amani na utulivu upo, Sisi hatufanyi Siasa”.

“Niwaombe Watanzania ambao wameambiwa mkusanyike kutoka Mara kutoka wapi sijui na muelewe Mahakamana ni kituo nyeti ni kama Kituo cha Polisi ukitaka kuvamia utakung’utwa kwa mujibu wa sheria sababu umetaka sasa kama kuna Mtu maisha yamemshinda aje ila asije kulalamika, hii kesi iko Mahakamani tuiachie Mahakama iamue”.
Mbona Luteni Urio kasema hakunq ushahidi leo.
 
Back
Top Bottom