IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Lazima uwe na tatizo ama upungufu wa akili ama unafiki, kuamini kwamba mpaka sasa kuna ushahidi wa maana uliotolewa mpaka sasa, labda kama atakuja kuutoa Siro siku ya kuhojiwa.
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Unaleta utani pasipo na utani.
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Umeandikwa kweli kabsaaaa,yaani jamaa anaozea jela.Ushahidi wa Urio umemamliza kila kitu!!
 
Kuna siku tutagundua nyuma ya jaribio lililoshindw la kumuua Lissu upo mkono wa Kamanda Mbowe na makamanda wengine... Yetu macho na masikio
Kweli mkuu, mbowe Ana nguvu mno yaani anaweza amrisha ulinzi wa makazi ya viongozi kuondolewa, anaweza amrisha kuiba cctv camera, anaweza amrisha polisi watepete kufanya uchunguzi, Hadi raisi aliye pita licha ya ubabe wake kwA mbowe alishindwa sema kitu juu ya jaribio hilo

Kuna uwezekano umeme kwa kichwa chako ni mdg sana ama hauna kabisa
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Mtoa mada kaa kwa kutulia kwasababu kesi ipo mahakamani tuache ifanye kazi yake usiwe na mihemuko ya kipuuzi
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Anna Makinda na wewe nani anaaminika na jamii?
 
Kweli mkuu, mbowe Ana nguvu mno yaani anaweza amrisha ulinzi wa makazi ya viongozi kuondolewa, anaweza amrisha kuiba cctv camera, anaweza amrisha polisi watepete kufanya uchunguzi, Hadi raisi aliye pita licha ya ubabe wake kwA mbowe alishindwa sema kitu juu ya jaribio hilo

Kuna uwezekano umeme kwa kichwa chako ni mdg sana ama hauna kabisa
Kweli tupu
 
Huyo Urio amepigwa Mbweni sana, na kupewa maelekezo ya nini cha kuongea
 
Polisi walifeli toka mwanzo.
1. Walitakiwa wampe Urio makachero wamdanganye Mbowe ndio makomandoo wa kumlinda

2. Walitakiwa wawape vitendea kazi kwa ajili ya kumrekodi

3. Urio asingesema kwamba zile pesa alizowapa akina Adam ni za nauli

Utasikia wanasema usitufundishe intelijensia
 
Kuna siku tutagundua nyuma ya jaribio lililoshindw la kumuua Lissu upo mkono wa Kamanda Mbowe na makamanda wengine... Yetu macho na masikio
Nilikuwa napinga sana kuwa Makalio hayawezi kutumika kama nyenzo ya kufikiri.

Nimebadili mawazo baada ya kusoma hii post.
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Kuna mapungufu mengi sana. Kinachotolewa ni nia ya tendo na sio vitendo au hata materials.
Washtakiwa wanajeshi walilengeshwa walihamasishwa na Urio kisha wakakamatwa wao lakini urio akaachwa.
Je, bila urio wangeenda kwa Mbowe?
Kuna mashaka mengi tu na kumbuka ulikuwa mwaka wa uchaguzi na mgombea hakuwa Nbowe na unafikiri wananchi wakikuwa na sababu ya kufanya fujo?
 
IGP alieleza wazi tangu mwanzo kuwa Mbowe si malaika na kwamba ushahidi upo wa kutosha juu ya ushiriki wake kwenye ugaidi.

Tunayoyaona na kusikia mahakamani yanathibitisha ukweli kuwa kila binadamu ana siri kubwa moyoni mwake. Kamwe usisema fulani siyo au fulani hawezi kufanya hili wala lile. Yaliyo moyoni mwake ni giza tororo na ni siri yake.

Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi. Ni aibu kwa waliofikiri Mbowe ni malaika. Muhimu ni kuiacha mchakato wa mahakama uendelee hadi mwisho na mbivu zitajulikana. Kwa ushahidi tunaoona, hatutashangaa tukisikia mtu anakula miaka 30 jela.
Kwani kiongozi wa kambi ya upinzani nchini hawezi kujiandaa kuchukuwa madaraka endapo wakipata nafasi ?!.
 
Back
Top Bottom