IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Aandamane mnyika na Lema sisi tunamajukumu ya kufanya. kamwe hatukubali kuchuuzwa!
Wakuchuuze wewe ili wagundue nini wakati ulishachuuzwa toka unazaliwa?
Usikute hata watoto wako walishakuona chenga kitambo
 
Watu walimdharau sana Mama.., sasa kuna wakati sauti ya mamlaka inatakiwa isikike na asiwepo mwenye kufanya fyoko..!
 
CCM hamuwezi kujenga hoja, bali mnajenga matumbo tu.
Wajinga nyie.
 
Hizi kauli zilikuja maalum ili kuwaandaa watu kisaikllojia Mbowe aonekane ana hatia tayari, haya maneno ya Sirro hayakuwa bahati mbaya, alishapangwa.
 
Sirro ufahamu kuwa sisi kama watu wenye akili zetu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani...
Hao mamilion wa kuwekwa gerezani mko wapi Hadi leo?
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Hao mamilion wa kuwekwa gerezani mko wapi Hadi leo?
Nyumbu hovyo kabisa.

Kwani mwisho wa safari ulishafika? Au ratiba zetu unazo wewe? Yaonekana una maumivu makali sana:



Unadhani jaji Mutungi na miito yake kumuasa Sirro ni kwa sababu hatusomi tulipofika?

Katiba Mpya: Mapambano yako katika Hatua za Mwisho

Kwamba unakereka mno kwa sababu:

1. Tunajua kuwa mwenyekiti Mbowe mmembambikizia kesi
2. Tuko kwenye nafasi za kujua mnambambikizia kesi
3. Tunajua ni haki yetu kuja mahakamani
4. Tunakutaka ujue tutakuwapo mahakamani wala usitutishe
5. Tunakutaka umwogope Mungu wako kwani kushuhudia uongo huku ukilitaja jina lake bure, Mola anakataza
6. Tunakutaka uwashauri wenzio mtafute magereza zaidi ya kutuweka katika mamilioni yetu
7. Tunakutaka uziheshimu haki zetu

8. Tunakutaka uheshimu katiba

Jiandae kuteseka zaidi kwa sonona.

Tulizana mburula wewe mnufaika wa udhulumati wa haki, usawa na uhuru wa watu ambao siku zake zinahesabika. Si mbaya mkijua tuko njiani wala hatuko mbali.

Ukiukwaji Katiba, Tanzania tunafeli Wapi?

Apumzike kwa amani Brigedia Chefe Ali.

Habari ndiyo hiyo.
 
Tumeona mambo yalivyo, kwani Mahakama imetoa amri ya kwenda kubadilishwa kwa hati ya mashitaka. Kama hati imeonekana ina ubatili, jiulize huo ushahidi utakuaje?
 
Serikali ya CCM ilishamfutia dhamana na akakaa gerezani akiwa na Matiko zaidi ya siku 100 kama kibaka anayeweza kutoroka.
Wakamhukumu na wezake jela au faini ya mamilioni ya shilingi na jela wakakimbilia kumnyoa kipara kufurahisha roho zao.
Wakamvurugia biashara zake na mashamba wakang'oa huku wakifunga bank accounts zake.

Sasa wamekuja na kubwa kuliko kuwa ni gaidi na ana fadhili ugaidi kwa shilingi laki sita au dola za kimarekani $230.
Uonevu wote huu wanaomtendea Mbowe ni kwa sababu gani hasa?

Jee ni kwa vile wafuasi wake ni wapole au yeye ndio mpole?

Maana nina hakika Mbowe akikasirika na kuonyesha hasira, wafuasi wake wanaweza kubadili mwelekeo wa siasa zetu na kuchukua mrengo mwingine kabisa.

Hali hii mpaka lini?

HAPPY BIRTHDAY KAMANDA FREEMAN

 
Wanabadilishana tu aina ya uonevu
  • kipindi Cha JK , walimpiga na kumpa kesi
  • Kipindi Cha jiwe, wakambomolea club yake
  • kipindi Cha hangaya, wanampa kesi ya ugaidi
Siku akija kuwa raisi, ni lazima kisasi kilipwe. Kuanzia waliohusika enzi za Jk, jiwe hadi huyu hangaya
 
Umasikini ni tatizo, nchi ingekuwa tajiri tusingeona yote haya, ukiwa masikini unaona kila mtu anakuroga kumbe ni ujuha wako mwenyewe.
 
Huu usemi wa kwamba ukimkimbiza sana Mjusi anageuka kuwa nyoka kama ni kweli....basi kuna kitu kitatokea si mbali sana...
 
Anaisumbua sana Seri_kali, wacha akae ndani kwnza tupumue pumue lah !! Corona yumo, Katiba mpya yumo aisee hapana. wacha tumuweke stoo kwa muda kidogo.
 
Huyu jamaa nisichompenda ni kufuata umagharibi sana. Alipendekeza nchi iwekwe lockdown kipindi cha jiwe, alipendekeza chanjo ya lazima kwa wananchi wote kipindi cha Chief Hangaya.
 
The person you took for granted today, may turn out to be the person you need tomorrow. Be careful how you treat people.
Of course, everybody including his persecutors knows he isn't.
 
Sure, Mbowe is'nt terrorist, just illusion/immagination.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…