IGP Sirro hana kitambi, kwanini askari wake matumbo makubwa kama wamepakia mafurushi ya nguo

IGP Sirro hana kitambi, kwanini askari wake matumbo makubwa kama wamepakia mafurushi ya nguo

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
20191129_073456.jpg

Nimevutiwa na huyu askari mahiri, shupavu akiwa kazini.
Nipashe pg 10 leo 29 Nov 2019
 
Wakuu
Tuacheni utani askari wetu kwa vitambi wanaweza wakajizolea sifa ya kua namba moja duniani kweli ukiangalia mkuu wao hana kitambi lakini wao mitumbo hiyo hadi nahisi sio wakakamavu kabisa
Halafu wanapenda kusinzia hovyo sijui ni hayo matumbo kama wameweka mafurushi ya nguo
Hebu angalieni kama huyu hapa muone hapana wafanye mazoezi na wapunguze bia na minyama nyama

IMG_4104.JPG
 
Jamaa route yake ni kuanzia Morogoro road , Mabibo mwisho, maji chumvi, kigogo. Anakula rushwa balaa! Yuko na kajaa kengine in charge wake. Kama MTU akinibishia kuwa hawali rushwa nitaweka ushahidi yaani naenda kufanya tukio nawapa pesa na wanachukua.

Wanatembea na Bajaj....ni wala rushwa wakubwa! Ukiwakuta pale kigogo luhanga wamevimba matumbo utadhani wana mimba
View attachment 1275702
Nimevutiwa na huyu askari mahiri, shupavu akiwa kazini.
Nipashe pg 10 leo 29 Nov 2019
 
Wakuu
Tuacheni utani askari wetu kwa vitambi wanaweza wakajizolea sifa ya kua namba moja duniani kweli ukiangalia mkuu wao hana kitambi lakini wao mitumbo hiyo hadi nahisi sio wakakamavu kabisa
Halafu wanapenda kusinzia hovyo sijui ni hayo matumbo kama wameweka mafurushi ya nguo
Hebu angalieni kama huyu hapa muone hapana wafanye mazoezi na wapunguze bia na minyama nyama

View attachment 1275705
kuwa na kitambi kwani ni dhambi?

ukiona kitambi ujue ni pesa na maisha yamekubali

polisi wa Tanzania wanamaisha mazuri na wamerizika

ulitaka waishi maisha magumu?
 
Back
Top Bottom