IGP Sirro hana kitambi, kwanini askari wake matumbo makubwa kama wamepakia mafurushi ya nguo

IGP Sirro hana kitambi, kwanini askari wake matumbo makubwa kama wamepakia mafurushi ya nguo

Jamaa route yake ni kuanzia Morogoro road , Mabibo mwisho, maji chumvi, kigogo. Anakula rushwa balaa! Yuko na kajaa kengine in charge wake. Kama MTU akinibishia kuwa hawali rushwa nitaweka ushahidi yaani naenda kufanya tukio nawapa pesa na wanachukua.

Wanatembea na Bajaj....ni wala rushwa wakubwa! Ukiwakuta pale kigogo luhanga wamevimba matumbo utadhani wana mimba
Du......siri za tumbo zaanza kufichuka!
 
Back
Top Bottom