IGP Sirro jitihada za kudhibiti uhalifu wa CHADEMA zisiishie kwa viongozi, kamata na wafuasi wao wanaotaka kuharibu amani

IGP Sirro jitihada za kudhibiti uhalifu wa CHADEMA zisiishie kwa viongozi, kamata na wafuasi wao wanaotaka kuharibu amani

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
 
Igp Sirro,pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane,kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
Pale Mtoa mada anaskilizia comments
05ADF1FB-9822-455A-9627-462D30054DD4.jpeg
 
Igp Sirro,pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane,kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
polisi haiendeshwi kwa tetes na story za kisiasa. wwtakamatwa pale watakapovunja sheria. na sio utakavyo taka ww
 
IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
Ulichokipata unastahili,mwana kulitafuta mwanakulipata,watu mithili yako ndio mnaotuharibia. Taiga letu.
 
polisi haiendeshwi kwa tetes na story za kisiasa. wwtakamatwa pale watakapovunja sheria. na sio utakavyo taka ww
Ila na wao hawaaminiki,upo wakati wanakubali kutumika kwa maslahi yao ama ya kundi fulani.
 
Ukileta choko choko hutoachwa bila ya kuchonolewa bila ya kujali chama, dini,kabila,rangi wala kipato

Management ya Gazeti pendwa la Uhuru limejaribu kuchokonoa Mzinga wa Nyuki sasa hivi 'uso wote manu ndu' tunamtafuta aliewapa wazo la kuchokonoa ili nae achokonolewe
 
IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
Nachelea KUSEMA ni mwezi 8 ifikapo wa kumi na mbili utamjuza tena IGP ,unaemuomba kuendelea tesa wanachadema ,eti amani ,aliekwambia tz Kuna amani ni nani?

Tz Kuna uvumilivi amani hakuna
 
IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
Wakiwakamata watawekwa gereza lipi waenee huko wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom