IGP Sirro jitihada za kudhibiti uhalifu wa CHADEMA zisiishie kwa viongozi, kamata na wafuasi wao wanaotaka kuharibu amani

IGP Sirro jitihada za kudhibiti uhalifu wa CHADEMA zisiishie kwa viongozi, kamata na wafuasi wao wanaotaka kuharibu amani

IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
Umeshaanza kujikomba komba kwa Afande IGP! Unadhani na yeye ni muumini wa ule upuuzi wako!!
 
Duuh bora uyu jamaa mods wamemkata kichwa.
Pamoja na kukatwa kichwa lakini bado tunajua ni shoga.

Bendera yao hii👇
Gay_Pride_Flag.svg.png
 
IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
Hawa ndiyo akina Sabaya wa baadaye,maisha yanasonga ukweli uko pale pale afanye anavyotaka kumfurahisha rais na ccm lakini usabaya upo pale pale.
 
Mwamba kapitiwa na Mods
Kuna thread ya type hii aliianzisha alfajiri sana, kuna mwana akamchana asizingue kwani mtu mwenyewe aliomba pm asokonolewe kwa Mpalange, aisee alishusha mitusi mizito mnoo! Watu wakamreport kwa Mods
 
IGP Sirro, pongezi zako za pekee zikufikie maana jeshi lako lilibaini uhalifu ambao Chadema walitaka kuufanya kwa kisingizio cha kudai katiba mpya. Tunashukuru umewakamata na kuwatia nyavuni.

Lakini tuanoamba ili ufanisi mkuu upatikane, kamata na wafuasi wa Chadema amabao wanaunga mkono kuvunja amani. Usiishie kwa viongozi tu. Kamata weka ndani na wafuasi wao ambao wanamakundi ambayo yanahamasisha uvunjifu wa amani

Najua kwa kutumia teknolojia mtawapata kiulaini kabisa.

Awii...
huu nao ni uzi eti unasubil comment
 
Back
Top Bottom