Mimi si mbaguzi na pia nachukia ubaguzi, ila kwa hakika zipo jamii kwa asili ukatili ni asili, tangungazi ya familia, Hadi wapatapo majukumu ya kitaifa, pekee kinachoweza kulisaidia taifa ni vetting yenye weledi, nasisitiza, sii ule weledi wa kitanzania, kwenye weledi tulisha feli, na haipo dalili ya kufufuka katika eneo hili, Kubwa ni kumwomba Mungu aturejeshee weledi wa viwango vya ulimwengu uliostaarabika. Weledi huo, ufanye kazi katika kufuata sheria na Katiba, utawala bora, democrasia ya kweli, chaguzi huru na hata weledi katika kutoa huduma za msingi kwenye jamii.