IGP Sirro, kuna Polisi watatu Tip Top barabara ya kuelekea Mabibo wanakusanya rushwa

IGP Sirro, kuna Polisi watatu Tip Top barabara ya kuelekea Mabibo wanakusanya rushwa

Kyodowe

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
1,236
Reaction score
1,368
Kuna vijana wako watatu, WP wawili na mwanaume mmoja mwembamba. Wako hapa TipTop barabara ya kuelekea Mabibo. Wanakusanya rushwa kwenye daladala na bajaji kama vile konda anavyokusanya nauli kwenye daladala.

WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.

Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.

N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha
 
Hili tatizo sugu lilibarikiwa, hiyo ni fedha ya kubrush viatu, ukifuatilia sana haya mambo madarasa yote ya shule za sekondari yanatakiwa kuwa magereza maana hakuna atakayebaki salama
 
Hapo big brother upande wa kwenda mabibo kuna jamaa pale anashrikiana na track, yule jamaa akiona boda boda kasimama anaenda anachomoa funguo anampa trafk alaf pia bajaj wanakamatwa pale wanaambiwa watoe pesa yaan pale rushwa inaonekana wazi, mimi kila siku ni njia yangu jion naona pale mambo yanavofanyika, kuna trafk mwemba mweupe na mwngine mweus mwambamba ana kakitambia ka rushwa
 
Hao mkuu wametumwa na wakubwa ofisini kukusanya hela ya brush.
 
Kuna vijana wako watatu, WP wawili na mwanaume mmoja mwembamba. Wako hapa TipTop barabara ya kuelekea Mabibo. Wanakusanya rushwa kwenye daladala na bajaji kama vile konda anavyokusanya nauli kwenye daladala.

WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.

Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.

N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha
Duh ni noma niwataje nini?
 
Trafiki anaweza kukusimamisha baada ya zebra tu akakwambia mbona umevuka bila kusimama wakati logically hakukuwa na mtu pale wa kukufanya usimame ila atataka akuandikie tu

Hii ki2 inakera sana. Unatamani umtandike makofi
 
halafu virushwa vyenyewe 5k,10k
Buku tano nyingi mkuu, mi nakuwa na change change za buku buku naziweka kwenye moja ya kidroo cha gari, akitokea tu namnyooshea buku 2..... nikijisikia Buku maisha yanasonga!!!
 
Kuna yange yange mmoja ivi alinipiga mkono nikala kona mammae. Wanadhani hela ya kuokota
Washenzi mno kuna mmoja nilimkimbia Sinza njia ya kutoka Tandale juzi tena ni demu! Kasimamisha Eicher 2 njia nyembamba tamaa anataka namie nisimame mbele nikajifanya kama simsikii nikanyoosha hadi mataa ya kijiweni😅!

Hawana sababu zaidi ataomba leseni ili akufosi kukuandikia😅 kosa lolote umpe hela!
 
Washenzi mno kuna mmoja nilimkimbia Sinza njia ya kutoka Tandale juzi tena ni demu! Kasimamisha Eicher 2 njia nyembamba tamaa anataka namie nisimame mbele nikajifanya kama simsikii nikanyoosha hadi mataa ya kijiweni😅!

Hawana sababu zaidi ataomba leseni ili akufosi kukuandikia😅 kosa lolote umpe hela!

Rushwa haitakwisha 🤣 hata ikiwa gari haina shida yoyote watakutafutia kasababu
 
Huko geshi la polishi rushwa ni sehemu ya maisha yao......iundwe tume ya migogoro ya kipolisi, wawe wanaenda kushtakiwa huko, atakayebainika anavuliwa magwanda ili aende akakusanye rushwa vizuri.
 
Ningekuwa Rais hiki kitengo cha trafiki ningewapa mamlaka ya kiraia. Polisi wanachafuliwa sana na hichi kitengo hovyo kabisa wanakula rushwa hovyo halafu virushwa vyenyewe 5k,10k.
Zilikuwa ni za kununulia kiwi
 
Kuwe na vituo maalum vya ukaguzi na wawekwe askali waadilifu.
Yote kwa yote, wapunguzwe na wapangiwe kazi zingine.
 
Kuna vijana wako watatu, WP wawili na mwanaume mmoja mwembamba. Wako hapa TipTop barabara ya kuelekea Mabibo. Wanakusanya rushwa kwenye daladala na bajaji kama vile konda anavyokusanya nauli kwenye daladala.

WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.

Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.

N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha
Wewe unaweza kushinda kwenye jua kutwa nzima bila kubrashi viatu?
Wapongeze kwa uzalendo na uvumilivu.
 
Back
Top Bottom