Kyodowe
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,236
- 1,368
Kuna vijana wako watatu, WP wawili na mwanaume mmoja mwembamba. Wako hapa TipTop barabara ya kuelekea Mabibo. Wanakusanya rushwa kwenye daladala na bajaji kama vile konda anavyokusanya nauli kwenye daladala.
WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.
Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.
N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha
WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.
Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.
N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha