Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachukua elfu mbili tu Mkuu.Ningekuwa Rais hiki kitengo cha trafiki ningewapa mamlaka ya kiraia. Polisi wanachafuliwa sana na hichi kitengo hovyo kabisa wanakula rushwa hovyo halafu virushwa vyenyewe 5k,10k.
Kuna Mwingine tupo hapa Sinza Mapambano jirani kabisa na Yard ya Mwanamboka, Mrefu Mweupe anakusanya Rushwa kama katumwa yaani. Hivi ninavyo andika katoka pokea rushwa ya 5000 kwa Kondakta wa Daladala ya Makumbusho Posta via Shekilango.Kuna vijana wako watatu, WP wawili na mwanaume mmoja mwembamba. Wako hapa TipTop barabara ya kuelekea Mabibo. Wanakusanya rushwa kwenye daladala na bajaji kama vile konda anavyokusanya nauli kwenye daladala.
WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.
Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.
N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha
Unafikiri yeye anakosa mgao hapo?Kuna vijana wako watatu, WP wawili na mwanaume mmoja mwembamba. Wako hapa TipTop barabara ya kuelekea Mabibo. Wanakusanya rushwa kwenye daladala na bajaji kama vile konda anavyokusanya nauli kwenye daladala.
WP kazi yao ni kusimamisha halafu konda wa kukusanya ni huyo mwanaume.
Nilikuwa Arusha, same style kwa daladala zinazowaisha akina mama sokoni asubuhi. Watu wanalalamika kimya kimya.
N:B Rushwa ikiendelea kwa kasi hii haswa ndani ya jeshi la polisi, muda si mrefu wananchi wataanza kukinukisha
Tena atumie camera ambayo sio ya simu. Maana ya simu wataanza kumtafutaMkuu wapige picha kimya kimya afu uziweke humu au kuwaripoti sehemu husika, ili mamlaka wawafatilie na kuwachukulia hatua za kinidhamu.
Niliyoyashuhudia leo mpaka moyo ulienda mbio. Nikfikiri nimepatwa na presha.Hawa na wale wa Magomeni lao moja kuna na kajamaa wanashirikiana nacho kazi yake ni kuvuka zebra na kurudi ili awabambikie watu kosa la kuvuka zebra , yaani wapuuzi sana , huko njia ya mbezi ndio usiseme kuna wamama wana vitambi kuliko wanaume wanakula rushwa kama vinyozi wanavyokula vichwa, ni aibu sana hawa askari, kwanza wana wivu pili wanadharau askari anamuuliza mtu eti unajitia uko kwenye kiyoyozi sisi maisha yetu juani
Sio ndogo hizo akikusanya kwa watu 50x10000Ningekuwa Rais hiki kitengo cha trafiki ningewapa mamlaka ya kiraia. Polisi wanachafuliwa sana na hichi kitengo hovyo kabisa wanakula rushwa hovyo halafu virushwa vyenyewe 5k,10k.
Ya ndo maana yake mkuu, maana kama watu hawajafanya kitu cha kuwaadabisha hawatokoma na wataendelea kuwasumbua raia kila siku.Tena atumie camera ambayo sio ya simu. Maana ya simu wataanza kumtafuta
Bongo watu wanaendesha magari kwa matesoWashenzi mno kuna mmoja nilimkimbia Sinza njia ya kutoka Tandale juzi tena ni demu! Kasimamisha Eicher 2 njia nyembamba tamaa anataka namie nisimame mbele nikajifanya kama simsikii nikanyoosha hadi mataa ya kijiweni😅!
Hawana sababu zaidi ataomba leseni ili akufosi kukuandikia😅 kosa lolote umpe hela!
Tuna maisha magumu kuliko swala mbuganiBongo watu wanaendesha magari kwa mateso
Ova
Nakubali.... Humu unakuta nusu wote hata leseni hawana ikiandikwa 30 barabara zitabaki nyeupeTuulizane tu kwa uhalisia, je Polisi wakiacha kuchukua rushwa wakasimamia sheria utaweza kuendesha hilo gari lako? Je daladala zitaweza kufanya huduma zake?
Kwa uzoefu wangu hakuna dereva daladala anayelalamika kudakisha hizo 2000, huwa wanalia wanapoandikiwa faini ambayo ndio sheria yenyewe