IGP Sirro, kuna Polisi watatu Tip Top barabara ya kuelekea Mabibo wanakusanya rushwa

Kuwe na vituo maalum vya ukaguzi na wawekwe askali waadilifu.
Yote kwa yote, wapunguzwe na wapangiwe kazi zingine.
Hapa hata kama utawaweka mashekhe na mapadri wawe traffic polisi bado rushwa haiwezi kwisha wala kupungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…