Ndugu wanaojiita wafugaji ni wazurulaji in general
Mkulima hahami Ila wao wanatangatanga, Leo Tanga kesho utawakuta Turiani, wametokea Bwawani
Serikali zote zimeshajaribu kutafuta suluhisho, kutag mifugo, Wakagomea katu katu kwani, ingejulikana mifugo ya Nani imeenda kufanya tukio.