IGP Sirro unafahamu kuwa vijana wako wanachukua posho kuachia Bar za usiku kupiga kelele?

IGP Sirro unafahamu kuwa vijana wako wanachukua posho kuachia Bar za usiku kupiga kelele?

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Nimeileta hii kwa makusudi baada ya kutazama hiyo video hapo chini ya kina Mama wakijitetea kwa maafisa wa polisi juu ya kuondolewa kwao kwenye ukumbi wa starehe kwenye hafla yao.

Waliagizwa kuwa wazime muziki kwa sababu tunazozifahamu, lakini hoja kuu hapa ni kuhusu hawahawa maaskari kwa sisi tunaohudhuria baa na kumbi za starehe, huwa tunawaona wanakuja na gari zao na kupaki pembeni ya ukumbi kisa anakwenda meneja wa kumbi husika na kuwashikisha chochote kitu . Mara nyingi zitapita gari mbili au tatu kwa usiku mmoja. Kama Ndugu IGP halifahamu hili tungependa alifahamu. Na nitaomba uanzishwe uzi wa kutaja namba za hizo gari na Bar au kumbi waliyochukua mkwanja siku husika sababu zinafahamika.
Inashangaza kwa kweli kusahau maadili ya kazi zao lakini wanapokuwa na ajenda yao hujifanya kusimamia hichohicho wanachokihujumu.

 
ndiyo najua
Na hii tunasaidiana wewe party boy/party girl kuwarahisishia msikamatwe ikizidi sa 6 usiku ,hivyo tunadili na meneja wa bar nyinyi mnaendelea nakunywa vilevile tunawalinda
Mnataka nn jamani ,heheeee hee tuwapendeje

ELEWA kwamba hao askari wadogo wanavokua lindo maeneo yote sisi wakubwa wao tunajua pub bubu zote ,lounge zote ,pub hai,bar ,wakikusanya lazima walete hakuna tofauti nasadaka zinakusanywa duniani kote zinaletwa vatcani zinaombewa zinarudishwa kutumika zilikotoka..
Kua mpole nchi isonge mbele ,tupe zaidi tarifa zawaharifu mambo madogomadogo haya ya Asante or win win situation achana nayo, mkunga akikuzalishia mkeo MPE asante
 
ndiyo najua
Na hii tunasaidiana wewe party boy/party girl kuwarahisishia msikamatwe ikizidi sa 6 usiku ,hivyo tunadili na meneja wa bar nyinyi mnaendelea nakunywa vilevile tunawalinda
Mnataka nn jamani ,heheeee hee tuwapendeje

ELEWA kwamba hao askari wadogo wanavokua lindo maeneo yote sisi wakubwa wao tunajua pub bubu zote ,lounge zote ,pub hai,bar ,wakikusanya lazima walete hakuna tofauti nasadaka zinakusanywa duniani kote zinaletwa vatcani zinaombewa zinarudishwa kutumika zilikotoka..
Kua mpole nchi isonge mbele ,tupe zaidi tarifa zawaharifu mambo madogomadogo haya ya Asante or win win situation achana nayo, mkunga akikuzalishia mkeo MPE asante
[emoji1]
 
ndiyo najua
Na hii tunasaidiana wewe party boy/party girl kuwarahisishia msikamatwe ikizidi sa 6 usiku ,hivyo tunadili na meneja wa bar nyinyi mnaendelea nakunywa vilevile tunawalinda
Mnataka nn jamani ,heheeee hee tuwapendeje

ELEWA kwamba hao askari wadogo wanavokua lindo maeneo yote sisi wakubwa wao tunajua pub bubu zote ,lounge zote ,pub hai,bar ,wakikusanya lazima walete hakuna tofauti nasadaka zinakusanywa duniani kote zinaletwa vatcani zinaombewa zinarudishwa kutumika zilikotoka..
Kua mpole nchi isonge mbele ,tupe zaidi tarifa zawaharifu mambo madogomadogo haya ya Asante or win win situation achana nayo, mkunga akikuzalishia mkeo MPE asante

Ai Ji Pii hujasomeka OVA
 
Nimeileta hii kwa makusudi baada ya kutazama hiyo video hapo chini ya kina Mama wakijitetea kwa maafisa wa polisi juu ya kuondolewa kwao kwenye ukumbi wa starehe kwenye hafla yao.

Waliagizwa kuwa wazime muziki kwa sababu tunazozifahamu, lakini hoja kuu hapa ni kuhusu hawahawa maaskari kwa sisi tunaohudhuria baa na kumbi za starehe, huwa tunawaona wanakuja na gari zao na kupaki pembeni ya ukumbi kisa anakwenda meneja wa kumbi husika na kuwashikisha chochote kitu . Mara nyingi zitapita gari mbili au tatu kwa usiku mmoja. Kama Ndugu IGP halifahamu hili tungependa alifahamu. Na nitaomba uanzishwe uzi wa kutaja namba za hizo gari na Bar au kumbi waliyochukua mkwanja siku husika sababu zinafahamika.
Inashangaza kwa kweli kusahau maadili ya kazi zao lakini wanapokuwa na ajenda yao hujifanya kusimamia hichohicho wanachokihujumu.

Inaitwa Extension allowance na sio posho,punguza unoko shekh hii nchi ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom