IGP tunaomba upige marufuku tabia ya polisi kuvaa mask bila sababu yoyote

IGP tunaomba upige marufuku tabia ya polisi kuvaa mask bila sababu yoyote

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Siku hizi imeibuka tabia ya baadhi ya askari polisi kuvaa kininja na wengine kuvaa mask pasipo sababu ya msingi. Wengine wanavaa shingoni vile vitambaa kama vya masheikh/ waarab (kama alivyopenda kuvaa hayati Yassir Arafat).

Askari wengi wanaopenda kuvaa hivyo ni wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).

Nadhani haileti picha nzuri kwa raia lakini hata wageni waliopo nchini mwetu.

IGP tunaomba uwapige stop mara moja askari wako kufanya hivyo
IMG_5682.jpeg
 
Siku hizi imeibuka tabia ya baadhi ya askari polisi kuvaa kininja na wengine kuvaa mask pasipo sababu ya msingi. Wengine wanavaa shingoni vile vitambaa kama vya masheikh/ waarab (kama alivyopenda kuvaa hayati Yassir Arafat).

Askari wengi wanaopenda kuvaa hivyo ni wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU).

Nadhani haileti picha nzuri kwa raia lakini hata wageni waliopo nchini mwetu.

IGP tunaomba uwapige stop mara moja askari wako kufanya hivyoView attachment 3266874
Vumbi jingi sheikh wangu, vumilia
 
Wanatembea na silaha za moto mchana kweupe kwetu...

Low profile people
Hayo ni matokeo ya kutokuwa na uongozi na nidhamu. Si unaona hata nguo wanajishonea tu zinawabana kama skin tight. Hawana nidhamu na hawaheshimu wala kuipenda kazi wanayoifanya.
 
Back
Top Bottom