IGP wa Msumbiji aitwa haraka Tanzania na kuachia jeshi la police Tanzania kuingia Msumbiji kushughulikia wauwaji wa Watanzania 9

Alipokwambia uaandike kwenye kingereza hakukusudia kujua kiwango chako cha uerevu ila lilikua kama hakikisho kua wewe ni mkenya.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Protect the border but don't follow them into their trap.
Ni Raia wetu, tukisema tukae tu, unafikiri italeta hisia gani kwa wananchi kuona serikali yao imekaa tu huku raia wake wanauliwa? Kwa vile wapo Msumbiji, wacha wafatwe tu wakumutwe kisawasawa, mana uko wamepita njia nako si kwamba ni main base.
 

Asante kwa taarifa.
 
Alipokwambia uaandike kwenye kingereza hakukusudia kujua kiwango chako cha uerevu ila lilikua kama hakikisho kua wewe ni mkenya.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Ukweli lakini wakenya wengi hudhani ya kwamba kuongea kingereza humanisha umeerevuka na wewe ni high class na huo ni uwongo mtupu. Wafaa kumsikiliza mtu kwanza kisha you come to a conclusion kama huyu anayeongea akona akili timamu ama kuropoka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…