Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Nchi ya Zambia baada ya mabadiliko ya chama tawala na Rais, wameamua kulifumua Jeshi la Polisi ikiwa ni kutekeleza ahadi ya Rais wakati akiomba kura. Katika hali ya kustaajabisha, IGP Remmy Kajoba alishindwa kumaliza kiapo baada ya mtetemo kuzidi wakati akiapa.
Rais Hakainde Hichilema alitoa busara ya kumuomba mtu mwingine amsomee kiapo kwa niaba yake na kukikamilisha.
Ghafla nikamkumbuka Naibu wa Waziri mteule wa Wizara ya Madini, Francis Kumba Ndulane enzi za utawala wa Magufuli alivyochemsha kusoma kiapo na kilichomkuta.
Rais Hakainde Hichilema alitoa busara ya kumuomba mtu mwingine amsomee kiapo kwa niaba yake na kukikamilisha.
Ghafla nikamkumbuka Naibu wa Waziri mteule wa Wizara ya Madini, Francis Kumba Ndulane enzi za utawala wa Magufuli alivyochemsha kusoma kiapo na kilichomkuta.