IGP Wambura hali ya Usalama nchini ingekuwa Shwari Kibao angeuliwa vibaya na akina Sativa yangewakuta? Huoni Aibu Kudanganya BBC?

IGP Wambura hali ya Usalama nchini ingekuwa Shwari Kibao angeuliwa vibaya na akina Sativa yangewakuta? Huoni Aibu Kudanganya BBC?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nasikiliza sasa BBC Dira ya Dunia na nimekusikia katika Teaser yao ukisema kwa Kujiamini kabisa na ukiwa huna haya (aibu) ukisema hali ya Usalama kwa sasa nchini Tanzania ni Shwari na ukiwapongeza Maaskari Polisi wako.

Hovyo kabisa Wewe na Umetuaibisha sana wana Mkoa wa Mara (Musoma) wote kwa Utendaji wako uliojaa Dhambi na Damu za Watanzania walioteswa na Kuuwawa na Askari Polisi wako.
 
Nasikiliza sasa BBC Dira ya Dunia na nimekusikia katika Teaser yao ukisema kwa Kujiamini kabisa na ukiwa huna haya (aibu) ukisema hali ya Usalama kwa sasa nchini Tanzania ni Shwari na ukiwapongeza Maaskari Polisi wako...
Umeshaambiwa nchi iko shwaribSativa ni moja kati mil 60
 
Hii ni dharau Kwa rais.yaani watu wanatekwa mchana kweupe halafu IGP anasema Nchi Iko shwari?Ningekuwa ndiyo rais ningechukua hatua muda huohuo na kumfuta kazi.
Tega sikio sasa BBC Dira ya Dunia usikie huo Upuuzi wake. Yaani hata Aibu hana kwa hii Kauli ya Uwongo na Kinafiki aliyoitoa.

Hovyo kabisa huyu IGP Poti wangu wa Mara.
 
Hii ni dharau Kwa rais.yaani watu wanatekwa mchana kweupe halafu IGP anasema Nchi Iko shwari?Ningekuwa ndiyo rais ningechukua hatua muda huohuo na kumfuta kazi.
Vipi kama Rais ana husika? Hapo ni mbwa kala mbwa. Haiwezi kusemwa moja kwa moja ila kuna uwezekano. Kwanini hakemei kwa nguvu zote?

Kwamba hana mamlaka hayo au ni nini? Think twice
 
Nasikiliza sasa BBC Dira ya Dunia na nimekusikia katika Teaser yao ukisema kwa Kujiamini kabisa na ukiwa huna haya (aibu) ukisema hali ya Usalama kwa sasa nchini Tanzania ni Shwari na ukiwapongeza Maaskari Polisi wako.

Hovyo kabisa Wewe na Umetuaibisha sana wana Mkoa wa Mara (Musoma) wote kwa Utendaji wako uliojaa Dhambi na Damu za Watanzania walioteswa na Kuuwawa na Askari Polisi wako.
Form iv wambura failure utegemee nn
 
H
Nasikiliza sasa BBC Dira ya Dunia na nimekusikia katika Teaser yao ukisema kwa Kujiamini kabisa na ukiwa huna haya (aibu) ukisema hali ya Usalama kwa sasa nchini Tanzania ni Shwari na ukiwapongeza Maaskari Polisi wako.

Hovyo kabisa Wewe na Umetuaibisha sana wana Mkoa wa Mara (Musoma) wote kwa Utendaji wako uliojaa Dhambi na Damu za Watanzania walioteswa na Kuuwawa na Askari Polisi wako.
Huyu IGP ni muuaji, Hali ni mbaya sana, hawezi kukiri makosa yanayofanywa kwa maagizo yake
 
Mimi naona kifanyike kisasi kwa watoto wao pendwa , yaani familia zao watawala ziguswe makusudi kabisa, ufumbuzi utapatikana.
Waanzie na huyu huyu ....
 
Back
Top Bottom