IGP Wambura: Jeshi la polisi litazingatia sheria na kupunguza matumizi ya nguvu

IGP Wambura: Jeshi la polisi litazingatia sheria na kupunguza matumizi ya nguvu

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema litaendelea kujikita katika kubaini na kuzuia uhalifu kabla haujatokea katika jamii pamoja na kupunguza matumizi ya nguvu kwa mujibu wa sheria.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura leo Disemba 2, 2024 wakati akifungua mafunzo ya siku tano kwa Polisi Kata kutoka Mikoa ya Dodoma, Tanga, Kinondoni na Temeke yanayofanyika Shule ya Polisi Tanzania-Moshi.

Soma pia: IGP Wambura: Polisi hatuhusiki na matukio ya utekaji watu

 
Mbona ghafla sana..🤔
Kwani kuna nini huko Tanzania...🙄
 
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema litaendelea kujikita katika kubaini na kuzuia uhalifu kabla haujatokea katika jamii pamoja na kupunguza matumizi ya nguvu kwa mujibu wa sheria.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura leo Disemba 2, 2024 wakati akifungua mafunzo ya siku tano kwa Polisi Kata kutoka Mikoa ya Dodoma, Tanga, Kinondoni na Temeke yanayofanyika Shule ya Polisi Tanzania-Moshi.

Soma pia: IGP Wambura: Polisi hatuhusiki na matukio ya utekaji watu

View attachment 3167436
Wambura, come to your professionalism! Hakuna kupunguza nguvu, ni kuacha kabisa kutumia nguvu pale ambapo sheria inasema usitumie nguvu. mmekuwa mkivunja shreria kwa kutumia nguvu pale ambapo hakuna sabab!
Mdude juzi mlimpiga sana bila sabau yoyote ya kutumia nguvu as he was not resisiting arrest!
 
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema litaendelea kujikita katika kubaini na kuzuia uhalifu kabla haujatokea katika jamii pamoja na kupunguza matumizi ya nguvu kwa mujibu wa sheria.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura leo Disemba 2, 2024 wakati akifungua mafunzo ya siku tano kwa Polisi Kata kutoka Mikoa ya Dodoma, Tanga, Kinondoni na Temeke yanayofanyika Shule ya Polisi Tanzania-Moshi.

Soma pia: IGP Wambura: Polisi hatuhusiki na matukio ya utekaji watu

Mbona ghafla sana..🤔
Kwani kuna nini huko Tanzania...🙄
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, a former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.

Aidha, Bw. Osama bin Laden alipokea lawama nyingi Sana kutoka kwa Serikali ya Marekani na CIA baada ya kutekeleza mashambulizi yake ya kutumia ndege, mashambulizi yanayojulikana sana kwa jina la September Eleven ya Mwaka 2001. Katika kujibu mapigo ya lawama hizo Osama bin Laden aliwajibu Marekani hivi:-

"If you undermine our security, we undermine yours too, and if you kill our people we kill yours too. The choice is yours."
 
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema litaendelea kujikita katika kubaini na kuzuia uhalifu kabla haujatokea katika jamii pamoja na kupunguza matumizi ya nguvu kwa mujibu wa sheria.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura leo Disemba 2, 2024 wakati akifungua mafunzo ya siku tano kwa Polisi Kata kutoka Mikoa ya Dodoma, Tanga, Kinondoni na Temeke yanayofanyika Shule ya Polisi Tanzania-Moshi.

Soma pia: IGP Wambura: Polisi hatuhusiki na matukio ya utekaji watu

Tatizo ni maagizo wanayopewa kutoka juu...


Cc: Mahondaw
IGP WA HOVYO HAJAWAHI KUTOKEA TANZANIA


"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Back
Top Bottom