IGP Wambura: Kesi 1,840 zafutwa kwa kukosa ushahidi, makosa ya jinai yaongezeka nchini

IGP Wambura: Kesi 1,840 zafutwa kwa kukosa ushahidi, makosa ya jinai yaongezeka nchini

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Kesi 1,840 zafutwa kwa kukosa ushahidi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali(IGP) Camilius Wambura, amesema kesi 1,844 ambazo zimekosa ushahidi wa kutosha kupelekwa mahakamani zimeondolewa, huku kesi zingine 2,117 zikifanyiwa mabadiliko.

polisi%20ed.jpg

IGP Wambura alikuwa akizungumza jana katika Shule ya Polisi Moshi(TPS), wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipokwenda kufungua Kikao Kazi cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Vikosi.

Pia alisema alisema takwimu za makosa makubwa ya jinai nchini zimeongezeka kwa kipindi cha Januari hadi Juni mwaka huu. Alisema makosa hayo yameongezeka kutoka makosa 24,848 kipindi kama hicho mwaka 2021 hadi makosa 27,848, sawa na ongezeko la asilimia 11.2.

"Ongezeko hili linatokana na jeshi la jolisi kufanya operesheni na misako mbalimbali kukabiliana na uhalifu. Jambo ambalo limesababisha ongezo la makosa hayo," alisema.

Alisema miongoni mwao makosa hayo ni watu kupatikana na mirungi, bangi, pombe haramu ya moshi, watu kukutwa na nyara za serikali, mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, ushirikina, ulevi na migogoro ya ardhi.

Chanzo: Nipashe
 
Uhalifu kuongezeka maana yake nini??

Ndio kusema kuwa maisha yamekuwa magumu sana mpaka raia wameamua kutafuta njia mbadala za kuyafanya kuwa rahisi??
 
Uhalifu kuongezeka maana yake nini??

Ndio kusema kuwa maisha yamekuwa magumu sana mpaka raia wameamua kutafuta njia mbadala za kuyafanya kuwa rahisi??
Sio hivyo mkuu, uhalifu ukiongezeka maanake polisi wamefanyakazi yao vizuri kwa kuwasaka hao waalifu, kama wangekuwa wamelala hao waalifu wasingepatikana.Mfano chukulia panya road, kama wasingetafutwa siwangekuwa bado wanasumbua mtaani? je waliposakwa na kutiwa nguvuni siwaliongeza idadi ya waalifu?. Kwa maana nyingine ukisikia idadi ya waalifu imeongezeka unatakiwa kuwapongeza polisi kwa kazi nzuri wanayofanya.
 
Sio hivyo mkuu, uhalifu ukiongezeka maanake polisi wamefanyakazi yao vizuri kwa kuwasaka hao waalifu, kama wangekuwa wamelala hao waalifu wasingepatikana.Mfano chukulia panya road, kama wasingetafutwa siwangekuwa bado wanasumbua mtaani? je waliposakwa na kutiwa nguvuni siwaliongeza idadi ya waalifu?. Kwa maana nyingine ukisikia idadi ya waalifu imeongezeka unatakiwa kuwapongeza polisi kwa kazi nzuri wanayofanya.
Hamna kitu hapo na waliobambikiziwa kesi ni wangapi? Misako ya ovyo isiyotumia akili wanaacha kufanya upelelezi wa kisayansi wanasomba tu watu eti uhalifu umeongezeka. Hizo kesi zilizofutwa ni watu waliobambikiziwa kesi wakasota mahabusu ndio sasa wameachiwa Tanzania Police Force is a total failure shame on you
 
Kesi 1,840 zafutwa kwa kukosa ushahidi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali(IGP) Camilius Wambura, amesema kesi 1,844 ambazo zimekosa ushahidi wa kutosha kupelekwa mahakamani zimeondolewa, huku kesi zingine 2,117 zikifanyiwa mabadiliko.

polisi%20ed.jpg

IGP Wambura alikuwa akizungumza jana katika Shule ya Polisi Moshi(TPS), wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipokwenda kufungua Kikao Kazi cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Vikosi.

Pia alisema alisema takwimu za makosa makubwa ya jinai nchini zimeongezeka kwa kipindi cha Januari hadi Juni mwaka huu. Alisema makosa hayo yameongezeka kutoka makosa 24,848 kipindi kama hicho mwaka 2021 hadi makosa 27,848, sawa na ongezeko la asilimia 11.2.

"Ongezeko hili linatokana na jeshi la jolisi kufanya operesheni na misako mbalimbali kukabiliana na uhalifu. Jambo ambalo limesababisha ongezo la makosa hayo," alisema.

Alisema miongoni mwao makosa hayo ni watu kupatikana na mirungi, bangi, pombe haramu ya moshi, watu kukutwa na nyara za serikali, mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, ushirikina, ulevi na migogoro ya ardhi.

Chanzo: Nipashe
Kesi zilizotumima kutisha watu wasidai haki zao enzi hizo.
 
Kesi 1,840 zafutwa kwa kukosa ushahidi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali(IGP) Camilius Wambura, amesema kesi 1,844 ambazo zimekosa ushahidi wa kutosha kupelekwa mahakamani zimeondolewa, huku kesi zingine 2,117 zikifanyiwa mabadiliko.

polisi%20ed.jpg

IGP Wambura alikuwa akizungumza jana katika Shule ya Polisi Moshi(TPS), wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipokwenda kufungua Kikao Kazi cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Vikosi.

Pia alisema alisema takwimu za makosa makubwa ya jinai nchini zimeongezeka kwa kipindi cha Januari hadi Juni mwaka huu. Alisema makosa hayo yameongezeka kutoka makosa 24,848 kipindi kama hicho mwaka 2021 hadi makosa 27,848, sawa na ongezeko la asilimia 11.2.

"Ongezeko hili linatokana na jeshi la jolisi kufanya operesheni na misako mbalimbali kukabiliana na uhalifu. Jambo ambalo limesababisha ongezo la makosa hayo," alisema.

Alisema miongoni mwao makosa hayo ni watu kupatikana na mirungi, bangi, pombe haramu ya moshi, watu kukutwa na nyara za serikali, mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, ushirikina, ulevi na migogoro ya ardhi.

Chanzo: Nipashe
Waliamini ukimtia ndani mmoja wao kwa kesi ya Ubakaji na wengine hawatasimama tena barabarani kudai haki.
 
Wahalifu utawajua tu. Wanapenda sana kuwasakama polisi na kazi zao. Wangekuwa na uwezo wangelivunja kabisa jeshi la polisi ili watu tuishi kama wanyama kule Serengeti.
 
Msiturudishie tu vibaka mtaani maana kesi za vibaka wengi ndio hazina ushahidi ....
 
Hamna kitu hapo na waliobambikiziwa kesi ni wangapi? Misako ya ovyo isiyotumia akili wanaacha kufanya upelelezi wa kisayansi wanasomba tu watu eti uhalifu umeongezeka. Hizo kesi zilizofutwa ni watu waliobambikiziwa kesi wakasota mahabusu ndio sasa wameachiwa Tanzania Police Force is a total failure shame on you
Hapo unaongelea ufanisi/weledi wa taasisi yenyewe.
 
Kesi 1,840 zafutwa kwa kukosa ushahidi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali(IGP) Camilius Wambura, amesema kesi 1,844 ambazo zimekosa ushahidi wa kutosha kupelekwa mahakamani zimeondolewa, huku kesi zingine 2,117 zikifanyiwa mabadiliko.

polisi%20ed.jpg

IGP Wambura alikuwa akizungumza jana katika Shule ya Polisi Moshi(TPS), wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipokwenda kufungua Kikao Kazi cha Maofisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi Makao Makuu, Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Vikosi.

Pia alisema alisema takwimu za makosa makubwa ya jinai nchini zimeongezeka kwa kipindi cha Januari hadi Juni mwaka huu. Alisema makosa hayo yameongezeka kutoka makosa 24,848 kipindi kama hicho mwaka 2021 hadi makosa 27,848, sawa na ongezeko la asilimia 11.2.

"Ongezeko hili linatokana na jeshi la jolisi kufanya operesheni na misako mbalimbali kukabiliana na uhalifu. Jambo ambalo limesababisha ongezo la makosa hayo," alisema.

Alisema miongoni mwao makosa hayo ni watu kupatikana na mirungi, bangi, pombe haramu ya moshi, watu kukutwa na nyara za serikali, mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, ushirikina, ulevi na migogoro ya ardhi.

Chanzo: Nipashe
Alisema miongoni mwao makosa hayo ni watu kupatikana na mirungi, bangi, pombe haramu ya moshi, watu kukutwa na nyara za serikali, mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, ushirikina, ulevi na migogoro ya ardhi.[emoji3064][emoji15]

Rushwa hakuna kosa hata moja!?[emoji848][emoji2827]
 
Sio hivyo mkuu, uhalifu ukiongezeka maanake polisi wamefanyakazi yao vizuri kwa kuwasaka hao waalifu, kama wangekuwa wamelala hao waalifu wasingepatikana.Mfano chukulia panya road, kama wasingetafutwa siwangekuwa bado wanasumbua mtaani? je waliposakwa na kutiwa nguvuni siwaliongeza idadi ya waalifu?. Kwa maana nyingine ukisikia idadi ya waalifu imeongezeka unatakiwa kuwapongeza polisi kwa kazi nzuri wanayofanya.
Huwezi kupongeza tatizo linapoongezeka unless una matatizo ya kufikiria sawasawa! Polisi kazi yao noi kuzuia uhalifu sio kukamata uhalifu ulioongezeka kwakuwa kuongezeka ni ishara ya kushindwa kuuzuia usitendeke.
Polisi wajirekebishe waache kuwekeza kwenye uhalifu washirikishe jamii kikamilifu ndipo watafanikiwa.
 
Taasisi mbalimbali zinaongeza nguvu katika uzuiaji lakini Nina mashaka makubwa Jeshi la Polisi kama linamkakati thabiti wa kuzuia Makosa kabla hayajatokea.
Kwenye tasnia ya utabibu jitihada za kukinga magonjwa yasitokee umepewa nafasi ya kipekee lakini Jeshi la Polisi limeweka nguvu kubwa zaidi kwenye kupambana na hapo ndiyo chanzo cha malalamiko.

Pili Jeshi la Polisi limebebeshwa lawama kubwa kuhusu haki, nidhamu,uadilifu na weledi inawezekana Haki ndiyo inayopelekea hayo mengine kutokuonekana haki hii inaanzia Kwa askari wa jeshi lenyewe je,wanatendewa haki? Haki zao zinavurugwa kiasi ambacho wanadhani ni halali kupoka haki za wengine hasa kwenye eneo la malipo hii haiitaji ushahidi Maskini hawezi kuacha kuombaomba na akikosa wa kumuomba atapora kwasababu akiacha kufanya hivyo atakufa.

Ni sahihi Sana Haki isimamiwe na isiwe ya upande mmoja kuanzia kwenye vyama vya Siasa mpaka Kwa mtu binafsi.
Waachwe wanasiasa watimize haki zao za kikatiba ukiwatuma Polisi waingilie au kuzuia haki ya wanasiasa alafu ukawashangaa wakikiuaka haki za watu wengine Kwa kuwaweka Mahabusu ni double standard.

Ukiruhusu Wananchi kutozwa double taxation ambayo ni kinyume cha sheria za Kodi alafu ukasikitika mtuhumiwa kucheleweshewa kesi yake hiyo ni double standard Kwani Haki zote zina uzito Sawa ingawa hakuna haki bila wajibu.
 
Back
Top Bottom