IGP Wambura na PT yake wamelishindwa Pori Hatari kwa Uhalifu Tanganyika Packers Kawe!

IGP Wambura na PT yake wamelishindwa Pori Hatari kwa Uhalifu Tanganyika Packers Kawe!

Kituo cha kawe pt pale ni ovyo kabisa

Na kuhusu hapo packers labda itoke kigogo small mke/mtoto wa kigogo
Afanyiwe unyama ndiyo watapadhibiti
Cc-mitaa ya salenda

Ova
 
KamA hizi habari za popoma ni za ukweli basi ni hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia leo ukiona GENTAMYCINE naacha / naweka pembeni Utani / Uchakaramu wangu hapa JamiiForums na nakuja na Mada ( Threads ) kama hii ( hizi ) nakuomba tena kwa Kujiamini Kwangu kabisa uwe Unaiamini kwa 100% sawa? Huwa sibahatishi na sizushi.
 
Alafu pale si kuna kambi ipo karibu kabisa..

Hao wanajeshi wanachojua wao ni kuingia mtaani kutafuta nguo zenyew mfanano na za kijeshi.

Vitu vya msingi wala hawavihangaikii
 
Wanaosali kwa mwamposa na huyo mtume wao wote hawana akili sawa sawa, kwako Genta Studioo!
 
Kituo cha kawe pt pale ni ovyo kabisa

Na kuhusu hapo packers labda itoke kigogo small mke/mtoto wa kigogo
Afanyiwe unyama ndiyo watapadhibiti
Cc-mitaa ya salenda

Ova
I agree with you 100% Chief.
 
Back
Top Bottom