IGP Wambura umechelewa mno Kuliamua hili kwani 99% yao ni 'Matajiri' pengine hata Kukuzidi Wewe 'Boss' Wao

IGP Wambura umechelewa mno Kuliamua hili kwani 99% yao ni 'Matajiri' pengine hata Kukuzidi Wewe 'Boss' Wao

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni na kuunda tume ya uchunguzi ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.

Chanzo: itvtz

Halafu IGP Wambura mbona mwingine aliyefaidika na Kitengo hiki ni Poti wako (Mzanaki Mwenzako ) kabisa ( japo sasa amestaafu) anaishi Jirani kabisa na Jumba Zuri la aliyekuwa Neurologist wa Lugalo Hospital (JWTZ ) Professor Yardon Kohi Mbezi Beach Kona Baa?

Imagine huyu Yeye hakuwa hata na Cheo kikubwa Kivile ila mpaka sasa ana Nyumba Kenda ( Tisa ) Dar es Salaam, Mwanza na Mara (Musoma) Kwao na ameshiriki mno Kupokea Rushwa na Kusaidia Kuratibu Watu kupewa Leseni akishirikiana na Watendaji wa Trafiki pale Stesheni Jirani na Central Police Station.

Hongera kwa haya Maamuzi japo Binafsi naona ni kama vile umechelewa na kama kwa sasa kuna Kitengo cha Police kinachonuka Rushwa isiyojificha ni Trafiki na hawa Watoa hizi Leseni.

Wachunguzwe na Wakamatwe upesi.
 
Habari njema umeleta

Nyongeza ya kimantiki: IGP kaingia karibuni, ili awahi unamaanisha angevunja kabla hajawa IGP?

Na pia 'angle' ulogusia ya utajiri wao badala ya utendaji wao, hapo mkuu huoni unaandaa mazingira ya kuonekana tenguzi zinaamuliwa na utajiri wa mtumishi?

Haari nzuri
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Camilius Wambura ametangaza kukifuta kikosi chote cha wakaguzi wa leseni za magari na watahini wa leseni na kuunda tume ya uchunguzi ili kuchunguza namna kikosi hicho kilivyokuwa kinatoa leseni kutokana na ongezeko la ajali za barabarani ambazo nyingi zimetokana na uzembe wa madereva.

Chanzo: itvtz

Halafu IGP Wambura mbona mwingine aliyefaidika na Kitengo hiki ni Poti wako ( Mzanaki Mwenzako ) kabisa ( japo sasa amestaafu ) anaishi Jirani kabisa na Jumba Zuri la aliyekuwa Neurologist wa Lugalo Hospital ( JWTZ ) Professor Yardon Kohi Mbezi Beach Kona Baa?

Imagine huyu Yeye hakuwa hata na Cheo kikubwa Kivile ila mpaka sasa ana Nyumba Kenda ( Tisa ) Dar es Salaam, Mwanza na Mara ( Musoma ) Kwao na ameshiriki mno Kupokea Rushwa na Kusaidia Kuratibu Watu kupewa Leseni akishirikiana na Watendaji wa Trafiki pale Stesheni Jirani na Central Police Station.

Hongera kwa haya Maamuzi japo Binafsi naona ni kama vile umechelewa na kama kwa sasa kuna Kitengo cha Police kinachonuka Rushwa isiyojificha ni Trafiki na hawa Watoa hizi Leseni.

Wachunguzwe na Wakamatwe upesi.
Kuhusu kitengo cha traffic police kuhusishwa na rushwa za wazi wazi kabisa,napendekeza takukuru waamke wasikae ofisini na kusubiri kupelekewa taarifa. Waingie site na fedha zao za moto,wajichanganye wengi kwenye magari ya abiria na binafsi,Kila gari inaposimamishwa na traffic dereva au kinda anapewa pesa ya mtego na takukuru ampatie askari aliyemsimamisha Kisha anakamatwa. Hii itasaidia kupunguza speed ya hawa jamaa kubugia rushwa,japo Nina hakika njia hii haitamaliza moja Kwa moja tatizo hili kwa traffic,ila itawatia hofu pia.
 
Ila Kuna wanaojifunza asubuhi na jioni wanaingia barabarani na leseni zao. Ni tabia iliyojengwa siku nyingi, basi itachukuwa mda mrefu. Au mtu aulizwe tu umesomea wapi na kwa mda gani! Je chuo kimesajiliwa?
 
Back
Top Bottom