F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Oct 1, 2020 #21 CCM wanataka kumponza Mzee wa watu badala ya yeye kupumzika na wajukuu nyumbani aanze safari za Uholanzi..
CCM wanataka kumponza Mzee wa watu badala ya yeye kupumzika na wajukuu nyumbani aanze safari za Uholanzi..
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 Oct 1, 2020 Thread starter #22 FUSO said: CCM wanataka kumponza Mzee wa watu badala ya yeye kupumzika na wajukuu nyumbani aanze safari za Uholanzi.. Click to expand... Nadhani nayeye anajua kilichopo mbele yake hivyo kubagazwa na wazungu hatopendelea!
FUSO said: CCM wanataka kumponza Mzee wa watu badala ya yeye kupumzika na wajukuu nyumbani aanze safari za Uholanzi.. Click to expand... Nadhani nayeye anajua kilichopo mbele yake hivyo kubagazwa na wazungu hatopendelea!
KakaKiiza JF-Expert Member Joined Feb 16, 2010 Posts 11,794 Reaction score 9,075 Nov 2, 2020 Thread starter #23 Busara ikitumika yote yatapita kwa upepo!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 3, 2020 #24 Lazima afuate maagizo kutoka juu... Cc: mahondaw