Elections 2010 Igunga: Helkopta 2 za CCM zatua

Elections 2010 Igunga: Helkopta 2 za CCM zatua

Huo ndio mwisho wao!
Heri nusu-shari kuliko shari nzima!...i mean bora wange-spare hata hiyo gharama ya kukodi hlikopta kuliko kuingia gharama na kushindwa, maana baadaye wataanza kuitisha vikao tena vya kuulizana kwanini wameshindwa, ambayo nigharama zaidi, na baadaye watavuana magamba PHASE-2!
Kuna kipindi nakuamini kuna kipindi sikuamini vile vile tehe tehe tehe tehe. Naona umepita na magamba kwa spidi shaaaah, wakisoma hii comment yako watatamani wajinyonge tuu.
 
Natabiri Helicopter 1 ya CCM itaanguka kabla ya Kufika Jumamosi jioni ikiwa na Makada maarufu wa CCM ndani yake...Hilo ni angalizo tu wawe makini sana.
 
Huo ndio mwisho wao!
Heri nusu-shari kuliko shari nzima!...i mean bora wange-spare hata hiyo gharama ya kukodi hlikopta kuliko kuingia gharama na kushindwa, maana baadaye wataanza kuitisha vikao tena vya kuulizana kwanini wameshindwa, ambayo nigharama zaidi, na baadaye watavuana magamba PHASE-2!

Hivi mkuu phase-1 iliishakamilika siyo. Yaani yule dogo hata hawakumhitaji mkwenye hii shughuli.
 
Jana, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Steven Wassira aliwaambia waandishi wa habari mjini hapa kwamba Chadema kimepanga mpango huo wenye lengo la kuwaandaa wanachama wake waone wameibiwa kura pindi CCM kitakapotangazwa mshindi.“Tunazo taarifa za uhakika kuwa wamepanga kutumia magari ya matangazo kutangaza kuwa Chadema imeshinda, hata kabla ya kura kuhesabiwa ili wapate leseni ya kuanzisha vurugu,” alisema Wassira.

Wassira ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano), alisema tayari CCM wameviarifu vyombo vya ulinzi na usalama ili kuchukua hatua na pia kuwaelimisha na kuwasihi wananchi kutoingia katika mtego huo.

“Lengo ni kuwaharibu vijana kisaikolojia kwamba yakitangazwa matokeo tofauti waone wamechakachuliwa kura zao na CCM. Tunawasihi Chadema na wanachama wao watulie wakati wananyolewa,” alisema Wassira.

Wassira alisema wanakusudia kutumia mikutano ya hadhara ya kampeni iliyobakia wiki hii ya lala salama, kuwaeleza wananchi juu ya mpango huo wa Chadema ambao alidai hauwatakii mema wananchi wa Igunga.


Kwa maneno haya ya Wassira nahisi kuna harufu ya uchakachuaji...
 
Hizo Helcopter za kichina zimeshatua au bado zinasubiri kibali au zinasubiri masanduku hewa yaliyopigwa kura?
 
CCM hata wakifanikiwa kurudisha hili jimbo watakuwa wamekoma kuidharua chadema. Nadhani sasa hivi wataanza kujiona wao ndo wapinzani na chadema ndo wanatawala maana wamechezeshwa kiduku mpaka viuno vikachemka.
CDM hata wakishindwa Igunga bado watakuwa wametoa somo zito kwa magamba na hawatakaa waongee tena mambo ya kujivua gamba na Nape anaweza kuachishwa kazi maana yeye na mwenyekiti wake wamwsababisha matatitozo makubwa.

Nadhani washabiki wa CDM itabidi kujipongeza kwa kuwacheka sana magamba hatakama watashinda maana kijasho kimewatoka sawasawa.. Sasa hivi ni heshima kwa makamanda.

Kweli sasa hvi kuwa shabiki wa cdm ni raha tupu maana cdm sasa ni chama kubwa imejaa vipaji kama bacelona!


Kweli tupu
 
Back
Top Bottom