Igunga Kujenga barabara zinazounganisha Kata kwa Kata

Igunga Kujenga barabara zinazounganisha Kata kwa Kata

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE NGASSA: "TUNATENGENEZA BARABARA ZA KUUNGANISHA KATA NA KATA KWA AJILI YA KUFUNGUA UCHUMI WA VIJIJINI"

"... Mwaka huu wa Fedha Tumeweka msisitizo kutengeneza Barabara zinazounganisha Kata Moja kwenda Kata ingine kwa lengo la kufungua na kukuza uchumi wa vijiji vyetu..."

".... Dunia ina kwenda kasi na Sisi hatuna budi kukimbizana na mabadiliko ya uchumi wa Dunia. Ni vyema kuwa na muunganiko kutoka mashambani, viwandani na masokoni..."

"... Uchumi wa Soko huria unahitaji tugangamale kweli kweli, tusibweteke na kile kidogo tunachozalisha. Tuumize vichwa kuongeza uzalishaji mali kwenye Kilimo, Ufugaji na Viwandani..."

Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-07-18 at 10.58.26.jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-18 at 10.58.26.jpeg
    96.7 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-07-18 at 10.58.28.jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-18 at 10.58.28.jpeg
    97.7 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2023-07-18 at 10.58.27.jpeg
    WhatsApp Image 2023-07-18 at 10.58.27.jpeg
    97.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom