bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
<br /><b>kwa taarifa yako rost-tamu wala sio muislam ...!</b> bahai
<br />
Hivo? Anasalia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br /><b>kwa taarifa yako rost-tamu wala sio muislam ...!</b> bahai
Unakuja yaona baada ya uchaguzi.. hapa sii mahala pake na nina hakika viongozi wa CDM wanalijua hili..<br />
<br />
Unaweza kufafanua hata kwa uchache mkandara?Haya makosa ambayo cdm wanayafanya mara kwa mara ni yapi?
Kweli wewe mtabiri hata muda wa kurudisha fomu haujaisha umeshaona kosa je hawana sifa kwa sababu ndilo kosa unaloweza kuliona kwa sasa maana hata kampeni hawajaanza.Utabiri wangu (mtanisamehe)... Igunga itarudi mikononi mwa CCM au CUF.
CDM bado hawajatambua makosa wanayofanya mara kwa mara..
Kama si mahala pake sasa umekuja kutuambia nini au tujue unajua.Unakuja yaona baada ya uchaguzi.. hapa sii mahala pake na nina hakika viongozi wa CDM wanalijua hili..
Ndio maana nilisema utabiri wangu sasa unachotaka kuuliza hata sikielewi.Kama si mahala pake sasa umekuja kutuambia nini au tujue unajua.
Kila mtu ana utabiri wake hata mimi ninao wangu lakini kama sina sababu ya kuelezea kwanini nabashiri hivyo sina maana kuleta kwenye jamvi unless niseme kwa sababu 1, 2, 3 otherwise it is a crap.Ndio maana nilisema utabiri wangu sasa unachotaka kuuliza hata sikielewi.
Kwa hiyo ulichoandika wewe hapo juu ni crap? kwani nini watu mnakuwa na Jazba kiasi hiki.. hamtaki kusikia CDM ikitolewa nje mtu akiandika CCM itashindwa bila hata kusema sababu mnaikubali lakini isiwe CDM..Ama kweli chama kimeingiliwa.Kila mtu ana utabiri wake hata mimi ninao wangu lakini kama sina sababu ya kuelezea kwanini nabashiri hivyo sina maana kuleta kwenye jamvi unless niseme kwa sababu 1, 2, 3 otherwise it is a crap.
Igunga wanataka Mwislamu tu, hawataki Mkristo. Hivi majority ya watu wa Igunga ni waislamu??
Hakuna mwenye jaziba hapa au ndicho ulilpanga kusema CDM wana jaziba, mimi nimekuuliza una sababu za utabiri wako sasa mambo ya jaziba yametoka wapi tena. I don't care whether CCM CDM SAU ishinde lakini uje na sababu au unasubiri support ya watu you have to support yourself.Kwa hiyo ulichoandika wewe hapo juu ni crap? kwani nini watu mnakuwa na Jazba kiasi hiki.. hamtaki kusikia CDM ikitolewa nje mtu akiandika CCM itashindwa bila hata kusema sababu mnaikubali lakini isiwe CDM..Ama kweli chama kimeingiliwa.
Hata sijui tunabishana kitu gani kama ulielewa hivi toka mwanzo, unless nayo ilikuwa crap..Kweli wewe mtabiri hata muda wa kurudisha fomu haujaisha umeshaona kosa je hawana sifa kwa sababu ndilo kosa unaloweza kuliona kwa sasa maana hata kampeni hawajaanza.
Tunachotofautiana ni wewe kuja na utabiri bila sababu hata shehe yahaya alikuwa natuambia sababu na dalili za utabiri wake.Hata sijui tunabishana kitu gani kama ulielewa hivi toka mwanzo, unless nayo ilikuwa crap..
Umeshinda wewe, na bado nakwambia Chadema hawatashinda Igunga na ubani naweka.. chukia, lia kisha nenda kanywe maji ukalale.. Mimi sina ushabiki wa chama bali nazungumzia hali halisi.Tunachotofautiana ni wewe kuja na utabiri bila sababu hata shehe yahaya alikuwa natuambia sababu na dalili za utabiri wake.
Kina nani wenzake.Cuf ndio mshindi kule moja ya sera za kuchaguliwa wamewambia hata chadema waweke mmmmmmms watawachagua kwa hiyo list ya chadi na matapishi ya kina erasto tumbo sijui sasa huyu tumbo ameshindwa kufnya la maana si awaachie wenzake wakajaribu jamani
Who said Chadema watashinda????? kama si wewe kuja na utabiri wako baada ya post mbili ukaanza kusema mara CDM wana jazba mara unaweka ubani what for, kaa na utabiri wako kwani nani alikuomba.Umeshinda wewe na bado nakwambia Chadema hawatashinda Igunga na ubani naweka.. chukia, lia kisha nenda kanywe maji ukalale.. Mimi sina ushabiki wa chama bali nazungumzia hali halisi. Na unachotaka wewe kujijua sintakwambia hata kama wewe ni Heche!
Definitly YOU na ndio maana unataka kujua! watu woote wasiulize isipokuwa wewe na umekalia hadi jasho la kwapa..Who said Chadema watashinda????? kama si wewe kuja na utabiri wako baada ya post mbili ukaanza kusema mara CDM wana jazba mara unaweka ubani what for and who cares anyway.
GoodbyeDefinitly YOU na ndio maana unataka kujua! watu woote wasiulize isipokuwa wewe na umekalia hadi jasho la kwapa..