makwimoge
JF-Expert Member
- Apr 14, 2011
- 298
- 43
Hizo ni pamoja na kura za MaruhaniSOBY, CCM KWELI NIMEHAMIN HAMNA KITU, BONGO LALA
HIVI 57% +32% + 18% (CCM + CHADEMA + CUF) = 107% bila hata hiyo +/- 5%.
SOBY UNAELEWA MAANA YA PERCENT (%).?????. PERCENT JUMLA LAZIMA IWE 100%.
AU UNAIMANISHA UMEJUMLISHA NA ZILE WA KUCHAKACHUA?? ZILIZOPO NZEGA
NA FAIZAFOXY YOUR THE SECOND KUCHANGIA HATA UJA TAMBUA. MMENIANGUSHA