Elections 2010 Igunga: Nani ataibuka kidedea kati ya hawa?

Elections 2010 Igunga: Nani ataibuka kidedea kati ya hawa?

KURA YA MAONI: VOTE Online IGUNGA ELECTION


  • Total voters
    93
  • Poll closed .
Mie nawaomba sana watu wa Igunga acheni kabisa kuwasikiliza watu wa ccm hawa jamaa ni hatari wanaroho za chuma, hawana lengo la kututoa hapa tulipo, na msikubari kumpa kura zenu anayewaambia atawapa maziwa na asali, ukombozi uanzie kwenye kura zenu, na mapambano msimwachie mtakaye mpa kura hizo msaidieni maadamu ni mzalendo mwenye uchungu na Taifa pia wananchi wenzake.

Ndg zanguni Mungu ametupa tuzo inatupasa kuipokea kwa mikono yote, vijana tupige kura zetu kwa wingi sawasawa na wingi wetu tuwashinde wazee, hao ndo wanaotuangusha vita yetu igeukie kwenye kuangusha mawazo ya kizee. Zambia tayari wamejikomboa. Mungu nakuomba wasaidie watu wa Igunga
 
It makes sense!bakwata wamealibu sana kuagiza chadema wasipigiwe kura!
 
Dr. Willibrord Slaa
Kauli ya Zitto kwa wana Igunga;Kumbukeni kuwa uchaguzi huu si wa kuamua nani anajua kutukana, nani kavuliwa hijabu ni uchaguzi uliolenga kumpata Mbunge wa Igunga atakayeshughulika na matatizo ya watu.

Chadema hatuahidi maziwa na asali kwa wakazi wa Igunga, kazi zetu Watanzania mmeziona na mkatuongeza hadi kufikia 48 na sasa tunataka Igunga mtuongezee mtu wa 49 ili kutuongezea nguvu ya kufanya kazi.
 
Na wewe tutolee ujinga kila siku kuwataja mabwana zako hukuridhika na thread uliyowaanzishia, kwanza wewe ni hao hao ID tofauti nani hajui.

Ha! Ha! Ha!..Magwanda yanapambana yenyewe kwa yenyewe!!
 
Hata igunga wapige kura za udini,kwani jamani waislam ni wangapi kufanya cdm ishindwe? Nielewavyo mie sehemu zote za ukanda huu wa ziwa victoria na kati jamii hii nyingi ni wakristo na wapagani,na tena ni wasukuma ambao wengi wao ni african inland church[aic,sda na r.c] na wapagani pia ,hivyo hivyo na jamii ya wamang'ati.

Hapa mwanza wakina mama walipewa sana pesa na khanga na c.cm kupitia masha na diallo lakini mbona vijana waliwashinda hawa akina mama na cdm kuibuka kidedea, it can be done, play your part!
 
HATA IGUNGA WAPIGE KURA ZA UDINI,KWANI JAMANI WAISLAM NI WANGAPI KUFANYA CDM ISHINDWE? NIELEWAVYO MIE SEHEMU ZOTE ZA UKANDA HUU WA ZIWA VICTORIA NA KATI  JAMII HII NYINGI NI WAKRISTO NA WAPAGANI,NA TENA NI WASUKUMA AMBAO WENGI WAO NI AFRICAN INLAND CHURCH[AIC,SDA NA R.C] NA WAPAGANI PIA ,HIVYO HIVYO NA JAMII YA WAMANG'ATI.HAPA MWANZA WAKINA MAMA WALIPEWA SANA PESA NA KHANGA NA C.CM KUPITIA MASHA NA DIALLO LAKINI MBONA VIJANA WALIWASHINDA HAWA AKINA MAMA NA CDM KUIBUKA KIDEDEA.IT CAN BE DONE, PLAY YOUR PART!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Upo uwezekana mkubwa wa CCM na CUF kugawana kura katika uchaguzi wa Igunga, hasa baada ya CCM na CUF kutumia kete ya udini dhidi ya CHADEMA na sura ya urafiki kati ya CCM na CUF inayotafsiriwana wananchi waliowengi. Pili CCM na CUF wanaonekana kuwa na uelewano zaidi kuliko CHADEMA na CUF wote wanaungwa mkono na Wazee wengi na vijana wachache pamoja na BAKWATA , tofauti na CHADEMA inaungwa mkono na vijana wengi wenye nguvu na wazee wachache. Kwa mtazamo huo wale wanaoipenda CCM wanaweza kuipigia CUF kama wameichoka CCM na wale wanaoipenda CUF ni rahisi kuipigia CCM kuliko CHADEMA. CHADEMA itapigiwa kura CHADEMA tuu na watu wengi wanaotaka mabadiliko na kuvutiwa na sera zake. Hivyo CUF itagawana kura za CCM sio za CHADEMA kwa kuwa wanamirengo tofauti.

Inafanana na ukweli, ebu tusubiri kidogo inaweza ikawa
 
Na wewe tutolee ujinga kila siku kuwataja mabwana zako hukuridhika na thread uliyowaanzishia, kwanza wewe ni hao hao ID tofauti nani hajui.

Feedback,
Unajua mambo ya kijinga sipendi. Ntakubamiza kama mtoto mdogo. Mimi ndo wa kunifananisha na Magamba.

Ritz, Malaria Sugu, Rejao na Mwita25 ni WAME zako wewe. Mambo yako ya kipuuzi usiniletee mimi pumbafuu!
 
Waliopiga kura katika jimbo la igunga mwaka jana awafiki watu 50,000 na daftari la kupigia kura waliojiandikisha ni watu 170,000 kwa hiyo inaonyesha kuna kura zaidi ya laki moja za chadema igunga .bakwata awana lolote! kama wanaubavu waende israel wakawasahdie palestina kuwa nchi huru.
 
CCM 57%
CHADEMA 32%
CUF 18%
+/- 5% Error.
Remember Dude Public Policy Associates An Imaginary Public Policy Consultancy Firm.
 
soby tupe sample size kwenye hii research na detailed methodology ili tuone validity ya hizo data vinginevyo this is crap!!!!
 
Hii poll imekosewa. mimi nawapa:
CCM 75%
CUF 19%
Chadema 2%
Zilizoharibika 4%

Nna uhakika CHADEMA watapata kura kidogo ya zilizo-haribika.
 
Back
Top Bottom