Mwigulu anahusika Vipi?Mwigulu Nchemba on the beat
Wengine tulionyesha wasiwasi na umiliki wa hiyo Singida Big Stars na Singida Fountain Gates halafu hao wachaa mbuzi wakawa wanajifanya kama vile hawaoni wala hawasikii. Tutegemee Ihefu kuhamishiwa Singida (bila idhini ya wadau wakuu wa Mbarali) halafu SFG kutimuliwa kwa nguvu kutoka Singida kama siyo kufanyiwa fitna hadi ishuke daraja.
Uhuni wa waziwazi. Watu wa Fountain Gates wameingia cha kike. Natamani waamue kupambania haki zao, liwalo na liweDahhh! Wanasiasa wataua football ya Tanzania, Nchemba ana uhuni sana huyu jamaa. Kahamishia wachezaji wake wote Ihefu baada ya kuinunua. SFG inaenda kufa.
Ulichangia hata mia kununua hao wachezaji na gharama za timu?Dahhh! Wanasiasa wataua football ya Tanzania, Nchemba ana uhuni sana huyu jamaa. Kahamishia wachezaji wake wote Ihefu baada ya kuinunua. SFG inaenda kufa.
Timu ya maderu inarnda kuweka masikani kalibu na kwao Kila lenye heriRASMI Ihefu SC imehamia mkoani Singida baada ya kuuchagua uwanja wa CCM Liti kama uwanja wao wa nyumbani kwa msimu mzima.
Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.
Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?
Kwani Mwigulu haruhusiwi kumiliki team?Mwigulu Nchemba on the beat
Ina maana hujui kuwa ihefu sasa ni mali ya nchemba na gsm?Mwigulu anahusika Vipi?
Wakome kutumia majina ya Mbeya hao mafala kuanzia Ihefu na Mbeya kwanza zitumie majina ya hao waliozinunua.RASMI Ihefu SC imehamia mkoani Singida baada ya kuuchagua uwanja wa CCM Liti kama uwanja wao wa nyumbani kwa msimu mzima.
Leo watendaji wote wa timu za ligi kuu wametumiwa taarifa rasmi ya kuwa michezo yote ya nyumbani ya Ihefu SC itachezwa CCM Liti, Singida.
Nini kimejificha kwenye sakata la Singida na Ihefu? Mbona kama siasa mchezoni hizi?