Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
🤣🤣🤣🤣*tunye chai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣*tunye chai
Nilielewa hapa nnachokozwa. Sasa wewe nambie dubwasha hili kama sijaachia keki naachia nini?...Ha ha h.. .nikikutag kijanja dada angu[emoji4]
Duh we bibi acha kututia nyege asubuhi hii🤣Nilielewa hapa nnachokozwa. Sasa wewe nambie dubwasha hili kama sijaachia keki naachia nini?...
View attachment 2703604
Kunya vzr is directly proportional na kula vzr[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe issue sio tu kula vizuri, Bali pia inabidi tunye vizuri.
Ni kweli Aisee. Ila wengi huwa wanazingatia kula vizuri tu 😅😅Kunya vzr is directly proportional na kula vzr[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
assalamualaikumNilielewa hapa nnachokozwa. Sasa wewe nambie dubwasha hili kama sijaachia keki naachia nini?...
View attachment 2703604
... we demu wewe; natamani ningekutana nawe uso kwa uso! Sipati picha unafananaje wallahi.Keki.
Na watakunya vzr pia,ushakula mihogo na kachumbariNi kweli Aisee. Ila wengi huwa wanazingatia kula vizuri tu [emoji28][emoji28]
Wabongo tunazeekea chooni, maana tunakunja sana sura 😅Na watakunya vzr pia,ushakula mihogo na kachumbari
Wadhani Nini kitahappen chooni!![emoji1787][emoji4][emoji4][emoji2][emoji2]
Ndiyo Maxence Melo ubunifu wake ulipoishia, anafata wingi (quantity) kuliko ubora (quality).😂😂🤓🤓😂😂😂 asubuhi yote hii
Mada za ajabu ajabu
Use Euphemisms Bro..inaelekea unapenda sn Rough Roads wwUkienda hospitalini kama unaumwa tumbo lazima daktari atakuuliza kuhusu kunya, unakunya mavi yakoje, ni magumu, malaini au unahara? Utatakiwa utoe mavi hayo yakapimwe ili suluhisho lipatikane na upatiwe tiba **** kuna tatizo. Ukinya ni vizuri ukaangalia divi lina sura gani japo kuna aina ya vyoo ni changamoto kuona ulichokunya. Unaweza ukanya divi lenye rangi ya chakula ulichokula, yaani halijabadilishwa rangi huko tumboni. Hapo utakuwa una matatizo makubwa na hatari kwa afya yako. Mifumo ya umeng'enyaji chakula tumboni itakuwa haifanyi kazi yake. Kuangalia ulichokunya isikupe kinyaa, husaidia kujua matatizo ya tumbo lako na kuchukua hatua mapema
tafsida, kunya=kujisaidia, mavi=kinyesi, wakati mwingine huwa lugha ya moja kwa moja hutumika bila kuficha ukali wa maneno yakeUse Euphemisms Bro..inaelekea unapenda sn Rough Roads ww
Ukinya vizuri basi umekula vizuri! Kwahiyo tujikite kwenye kula vizuri!Kumbe issue sio tu kula vizuri, Bali pia inabidi tunye vizuri.
Chati ya kinyesi ya Bristol ilitengenezwa mnamo 1997 kama zana ya tathmini ya kliniki. Kuna aina saba za kinyesi kulingana na Chati ya hiyo.
Chati ya kinyesi ya Bristol ni msaada wa matibabu ulioundwa na kuainisha kinyesi katika vikundi saba.
Baada ya kujisaidia, kile unachokiona chooni kimsingi ni matokeo ya lishe yako, maji unayokunywa, dawa unazotumia na mtindo wa maisha.
Unaweza kutumia Chati ya Kinyesi ya Bristol kuangalia kile kinyesi chako kinamaanisha nini kulingana na muonekano wake.
Aina ya kwanza na ya pili ya kinyesi ni vidonge vigumu vilivyotengana kama karanga ambavyo inakuwa ngumu kutoka wakati wa kujisaidia.
Hii inamaanisha kuwa mhusika amevimbiwa kutokana na kutokula matunda au mboga mboga.
Aina ya tatu na nne ni kama sausage au nyoka au ndizi, kwa kawaida hii huwa rahisi kutoka wakati wa kujisaidia. Hii huchukuliwa kama aina bora ya kinyesi ambayo humaanisha mhusika ana afya nzuri.
Aina ya tano mpaka ya saba kwa ujumla hizi huonesha kuhara. Aina hizi tatu zinaonesha kinyesi ambacho kina maji maji ambayo husababishwa na kukosa aina fulani ya vyakula kama vile matunda.
Ni muhimu kutambua aina ya kinyesi chako na kama kinaishara isiyo nzuri ni vyema kubadilisha mtindo wa maisha.
HII INAPASWA KUPATA KIPINDI MAALUMI BBC NA CNN.
Chati ya kinyesi ya Bristol ilitengenezwa mnamo 1997 kama zana ya tathmini ya kliniki. Kuna aina saba za kinyesi kulingana na Chati ya hiyo.
Chati ya kinyesi ya Bristol ni msaada wa matibabu ulioundwa na kuainisha kinyesi katika vikundi saba.
Baada ya kujisaidia, kile unachokiona chooni kimsingi ni matokeo ya lishe yako, maji unayokunywa, dawa unazotumia na mtindo wa maisha.
Unaweza kutumia Chati ya Kinyesi ya Bristol kuangalia kile kinyesi chako kinamaanisha nini kulingana na muonekano wake.
Aina ya kwanza na ya pili ya kinyesi ni vidonge vigumu vilivyotengana kama karanga ambavyo inakuwa ngumu kutoka wakati wa kujisaidia.
Hii inamaanisha kuwa mhusika amevimbiwa kutokana na kutokula matunda au mboga mboga.
Aina ya tatu na nne ni kama sausage au nyoka au ndizi, kwa kawaida hii huwa rahisi kutoka wakati wa kujisaidia. Hii huchukuliwa kama aina bora ya kinyesi ambayo humaanisha mhusika ana afya nzuri.
Aina ya tano mpaka ya saba kwa ujumla hizi huonesha kuhara. Aina hizi tatu zinaonesha kinyesi ambacho kina maji maji ambayo husababishwa na kukosa aina fulani ya vyakula kama vile matunda.
Ni muhimu kutambua aina ya kinyesi chako na kama kinaishara isiyo nzuri ni vyema kubadilisha mtindo wa maisha.
Kuna miaka kadhaa member humu alikutana na hii hali, anasema alilazimika kutumia tea spoon kujinasua maana mbinu zote ziligoma akahisi anakufa, macho yalimtoka kila kitu kikasimama, nadhani alikutana na type 1 au 2Kuna watu hawapendi kuona walichokunya. Wapo watu wanakunya mavi magumu kiasi cha kutoka na damudamu na wakati mwingine divi hukwama katikati inakuwa shughuli kulimomonyo kwa vidole mpaka litoke lote lilikokwama unyeoni. Huu ni ugonjwa gani? Yale mavi malaini kama uji ni uharo tumbo bovu, je mavi magumu nini tatizo?mmoja
UKIKAZA kusukuma mishipa midogo midogo ya damu inayozunguka hiyo njia inapasuka, kunavimba na mingine inajikunja ndio unapata the so called BAWASIRI.Kuna watu hawapendi kuona walichokunya. Wapo watu wanakunya mavi magumu kiasi cha kutoka na damudamu na wakati mwingine divi hukwama katikati inakuwa shughuli kulimomonyo kwa vidole mpaka litoke lote lilikokwama unyeoni. Huu ni ugonjwa gani? Yale mavi malaini kama uji ni uharo tumbo bovu, je mavi magumu nini tatizo?