Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Pia kutoa choo ni asubuhi, usitembee na mzigo wa jana mwilini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ya kupanga ina vyumba 14, kuna watoto na wazazi, choo kimoja ,yaani mnasubiriana inabidi hasa wadada wayabebe wakateremshie makazini.Pia kutoa choo ni asubuhi, usitembee na mzigo wa jana mwilini.
una mgongo! Inye ngwedengwedeNilielewa hapa nnachokozwa. Sasa wewe nambie dubwasha hili kama sijaachia keki naachia nini?...
View attachment 2703604
Ukila vizuri, basi utakunya vizuri.Kumbe issue sio tu kula vizuri, Bali pia inabidi tunye vizuri.
Punguza Kula vyakula vya nganoKuna watu hawapendi kuona walichokunya. Wapo watu wanakunya mavi magumu kiasi cha kutoka na damudamu na wakati mwingine divi hukwama katikati inakuwa shughuli kulimomonyo kwa vidole mpaka litoke lote lilikokwama unyeoni. Huu ni ugonjwa gani? Yale mavi malaini kama uji ni uharo tumbo bovu, je mavi magumu nini tatizo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], hatari sanaa!!Wabongo tunazeekea chooni, maana tunakunja sana sura [emoji28]