Ijue afya yako kupitia aina ya kinyesi unachokitoa

Pia kutoa choo ni asubuhi, usitembee na mzigo wa jana mwilini.
Nyumba ya kupanga ina vyumba 14, kuna watoto na wazazi, choo kimoja ,yaani mnasubiriana inabidi hasa wadada wayabebe wakateremshie makazini.
 
Kwa hili suala la kujisaidia tuombe profesa janabi alizungumzie kinagaubaga kama ilivyo suala la kula. Maana katika kula kuna kujisaidia. Zipo shida za kujisaidia haijalishi umekula milo mingapi
 
Punguza Kula vyakula vya ngano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…