Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!

Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja.

View attachment 2486429
View attachment 2486434
View attachment 2486435
View attachment 2486431
Sio hivyo tu katika viumbe 1000 ambavyo Allah ameviumba, 600 vipo baharini na 400 vipo inchi kavu
 
Miti iliyopo ni ile mikoko ambayo ipo kando ya bahari, kungekuwa na miti chini ya bahari lazima vyombo vingekuwa vinanasa hasa kwenye kina kidogo cha maji.
kwani hata hapa ardhini kila sehemu kuna misitu na milima?.
 
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu, kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu.

Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha.
Hapa umetupiga inawezekana kabisa uliyoongea yana kiasi cha uhalisia lakini
Suala la wewe kwenda huko siyo kweli

Refer wale matajiri walioenda kuiangalia Titanic unakumbuka maelezo kwamba huko ni sehemu ya aina gani?
Na kama baharini kuna misitu huwenda ipo kwenye kina kirefu kuliko ilipozamia Titanic
Na kufika huko bado hakuna teknolojia hiyo

Wewe na wajapani mlikuwa nchi gani hiyo
Maana sidhani kama bahari ya Tanzania ina kina kirefu kiasi hicho angalau Somalia nasikia ndiyo kwenye kina kirefu zaidi kwenye bahari yetu
Ingekuwa kunaendeka kimchekea hivyo nadhani kungekuwa na vituo vya utalii vingi sana huko chini na safari za huko ingekuwa ni kawaida sana
 
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu, kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu.

Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha.
chai
 
Kuna mkuu amesema Kwamba Meli ya titanic iligonga jiwe.

Kwa kudhani kuwa imegonga mwamba chini ya maji ..
Haikugonga chini ya Maji bali juu ya maji ndy kulikuwa na mwamba wa barafu.
Kuwepo miamba ya mawe baharini pia ni kitu cha kawaida
 
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu, kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu.

Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha.
Simuliwa kidogo mkuu
 
Hiyo miti inapataje mwanga wa jua? Haina chlorophyll?
Some involve cypress or mangrove trees, which have special roots that allow them to breathe air and survive while submerged. Kelp forests are also examples of living underwater forests. Growing in dense groupings, kelp, which is actually large, brown algae, provides critical habitat for marine wildlife.
 
Kazi utapewa lakini punguza 😄😄😄😄😄uongo
 
Nilipata zari kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi ya ufundi, ilikuwa kampuni ya wajapani, tulikuwa mafundi wa kibongo wawili, kulikuwa na sherehe zao, wakatuchukua kwenye chombo kutuonesha maajabu, kuna vidumbwana kama submarine unazama chini kabisa ya bahari! Ndiko nikajionea maajabu laivuu.

Sikutamani tena kurudia kuzama! Kuna vimbwanga si mchezo! Hadi mkataba ulivyoisha tukarudi bongo sijawahi taman kabisa kujua yaliyomo yanatisha.
Hiki ndio kinatuponza WaTz na waafrika kwa ujumla. Sisi tunachokiogopa, ndio wenzetu wanachowekeza muda na maarifa kukijua kwa undani. Nahisi hofu za kiimani zinatuathiri sana kwa kutujaza uoga.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Chini ya bahari kuna mimea ambayo mingine hufika urefu wa mita60 kwenda juu, lakini mimea hii atuiiti miti kwa sababa muundo wake hauna jiti/ukuni(wood). That means haifai kwa mbao.

miti hii haiitaji support kubwa ili isimame wima kama miti ya juu ya ardhi ambayo ina shina na matawi magumu, bali miti hii imeundwa na tishu ambazo zinawezesha kupata support ya kusimama wima kutokana na maji ya bahari.
 
Titanic iligonga mwamba wa barafu na sio mwamba wa mawe kama unayoyajuwa WeWe.

Wakati wa baridi Kali sana sehemu za baridi Kali sana baharini hutokea mawimbi kuganda na kutengeneza mwamba wa barafu.
Ndy iliyogonga titanic..

Kwenye titanic Kuna mabaharia(AB) waliwekwa kuangalia nje kitaalam tunaita ''Look out"
Meli inapotembea (under way) especially usiku ,
lazima kuwe na AB ambao wanaangalia nje pande zote mbili,
Incase kama radar haitaona wao wanatoa taarifa Kwa wahusika pale bridge (chumba Cha kuongozea meli)

Jamaa badala ya kuangalia mbele kama Kuna tatizo wao wakawa wanamuangalia Jacky na rose wakifanya mapenzi,
Wakaja kushituka tayari meli imeshaingia kwenye mwamba wa barafu.
Pia Meli haiendeshwi Kwa kuangalia Kwa macho ya kawaida pekee bali Kuna kitu kinaitwa radar ndy inaangalia chochote kilichopo juu ya maji na kina Cha maji pia,
Kwamba hapa ni maji madogo meli itakwama..au hapa itapita..
Ndy maana meli hutembea ikiwa imezima taa zote za mbele.
Only navigation lights on
Mkuu LOOK OUT Ni kitaalamu au kingereza?

Naitaji kujua Hilo Kisha utatuma salamu Kwa watu Saba. Umeeleza vizuri sana
 
Mkuu LOOK OUT Ni kitaalamu au kingereza?

Naitaji kujua Hilo Kisha utatuma salamu Kwa watu Saba. Umeeleza vizuri sana
Hii ni kitaalam mkuu..

Ktk majukumu ya baharia ni moja wapo ni watch keeping ambapo wanafanya LOOK OUT meli ikiwa inatembea especially usiku.

Sababu meli hutembea bila taa ,,
So lazima wawepo mabaharia ambao wanaangaza huko na huko kuangalia vitu hatarishi kama fishing boats, fishing nets,etc.

Hiyo ndy huitwa LOOK OUT..
 
Back
Top Bottom