Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!

Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja.

View attachment 2486429
View attachment 2486434
View attachment 2486435
View attachment 2486431
Kuna ukweli ndani yake hapa
 
Bahari kwa kuifikiria tu bila maarifa yoyote ya kuambia ni li kiumbe la ajabu sana.

Shukrani ziwaendee kwao waliowekeza muda na akili zao kuitafiti bahari, walau kuna abc’s za kupigia kahawa kuhusu hilo li kiumbe bahari
 
Sio kila sehemu kuna miti ni baadhi ya sehemu pia kuna mimea tofauti tofauti..
 
Bahari kwa kuifikiria tu bila maarifa yoyote ya kuambia ni li kiumbe la ajabu sana.

Shukrani ziwaendee kwao waliowekeza muda na akili zao kuitafiti bahari, walau kuna abc’s za kupigia kahawa kuhusu hilo li kiumbe bahari
Na kashata kwa mbali...lakini misitu IPO amin
 
ukienda baharini saa nane usiku lazima likupate wavuvi wana roho ngumu sana kukesha huko
 
Bahari Ina milima mikubwa sana kuliko milima ya duniani na pia Ina tuvilima tudogo tudogo pia.
 
Process ya photosynthesis inafanyikaje?
hiyo process haina ulazima sana kwa mimea ya huko. Viumbe na mimea inayopatikan baharini haitegemei Mfumo wa Maisha kama upatikanao nchi kavu,

Ndomaan ukimtoa Samaki ukimleta nchi kavu anakufa.... Na pia pamoja na kwamba chura anauwezo wa kuishi kwenye maji ila Ukimpeleka kwenye maji ya bahari anakufa.
 
Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!

Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja.

View attachment 2486429
View attachment 2486434
View attachment 2486435
View attachment 2486431
Msitu uko wapi?
 
hiyo process haina ulazima sana kwa mimea ya huko. Viumbe na mimea inayopatikan baharini haitegemei Mfumo wa Maisha kama upatikanao nchi kavu,

Ndomaan ukimtoa Samaki ukimleta nchi kavu anakufa.... Na pia pamoja na kwamba chura anauwezo wa kuishi kwenye maji ila Ukimpeleka kwenye maji ya bahari anakufa.
Mimea (Kingdom Plantae) ni lazima ifanye ‘photosynthesis’ ili kujitengenezea chakula na kuishi. Hiyo ni fact.
 
Mimea (Kingdom Plantae) ni lazima ifanye ‘photosynthesis’ ili kujitengenezea chakula na kuishi. Hiyo ni fact.
Wewe unazungumza vya kwenye vitabu, hata siye tulifundishwa hayo shule ya msingi mmea kusharabu na kujongea kwa mwanga!
Lakini huko baharini kuna mimea ya chini ya bahari ambayo haitegemei jua!
Wewe umesikia sisi tumeona
 
Ngoja tuambizane ukweli kuhusu bahari!

Kuna wakati unaweza hisi umejifunza yote! Kumbe unachokijua hapa duniani hakifikii hata theruthi ya theruthi ya maajabu ambayo huyajui hapa duniani!

Hata mengine ukisimuliwa unaweza fikilia ni chai!

Ukweli ni kwamba kila kitu Mungu kakibalansi!
Ukibeba ndoo ya maji nusu kichwani utaona vile yanavyocheza (yumba yumba) mithili ya kumwagika!

Lakini ukikata tawi la mti ukalitupa kwenye ndoo ya maji hayo mara moja yanatulia (hayachezi tena).

Hii ni sayansi ndogo sana kuitumia!

Bahari ni maji mengi sana, na kutokana na mzunguko wa dunia, Bila shaka mawimbi ya bahari yangekuwa ni makubwa mno!

Lakini kwa sayansi ileile ya ndoo! Chini ya bahari imo miti mikubwa na misitu mikubwa ambayo inasadikika inasaidia kupunguza kuyumba yumba kwa bahari! La sivyo fujo ya maji ingekuwa kubwa sana!
Naomba ufafanuzi kama hili ni uongo (tupingane kwa hoja)

Pia kwa ukubwa wa bahari Ilivyo Duniani, inauwezo wa kumeza vyote vya nchi kavu! (Yaani ukichukua vyoote magari, majumba, maghorofa, watu, misitu yaani makolokolo yote ya nchi kavu ukiyatosa baharini HAYAJAI!

Haya ni mastori yangu fundi umeme SAMICO, mwenye kazi tuinuane jamani nipigie 0711756341 au huko instagramu nifollow @Samico_Tanzania Sinaga bei kabisa! Natindua hata chumba kiwe kimoja.

View attachment 2486429
View attachment 2486434
View attachment 2486435
View attachment 2486431
Ninavyojua Mimi hakuna kiumbe hai kinaweza kuishi chini ya maji sakafuni labda eneo lenye milima huko ambalo linakaribia nchi kavu. Hii ni kwasababu uzito wa maji hauhimiliki kubebeka. Ni mtizamo wangu.
 
Mimea (Kingdom Plantae) ni lazima ifanye ‘photosynthesis’ ili kujitengenezea chakula na kuishi. Hiyo ni fact.
Sasa wew tatizo umekariri hiyo sayansi ya form two ndo unafikiri imemaliza elimu yote kuhusu mimea,

Wanasayansi wenyew wanathibitisha kwamba mpaka saivi wamefanikiwa kuijua Bahari kwa 5% tu......mengi sana kuhus bahari wanasema bado hawayajui wanaendelea na tafiti,

Ila wewe bado umeng'ang'ana na sayansi ya Form two ndo unafikiri imemaliza kila kitu kuhusu Mimea na dunia.
 
Ni kweli baharini kuna misitu ila si ya miti.. ni kama ya majani (algae) ama jamii ya mwani kwa kiswahili. Ni laini kwa asili, na mengi yanachanika kipindi cha mawimbi makali. Kwa picha ya hapo juu, hiyo ni mibuyu.
 
Back
Top Bottom