Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?

16. Wajue Wafanya Biashara Matajiri wenye diplomatic status na sio mabalozi!, having a diplomatic passport ni kitu kizuri kwa mfanya biashara yoyote mkubwa, just for easy passage, hivyo kuna wafanyabiasha kibao, wakubwa nawafahamu wana diplomatic passport na sio mabalozi, it's about connections.
====
Asante sana, Mkuu. Kwa Elimu hii uliyotupatia Bure kabisa. Ubarikiwe kwa wema wako huu.

Hii ya namba 16, imenistua. Kwamba kwa mbinu ya connections unaweza kupata diplomatic passport bila merits tajwa kuwa Nazo.

Hii ni hatari.
 
Nakuonea huruma wewe chawa wa jiwe
Kuna ukweli kuwa viongozi wa sasa wa Serikali na wa CCM ni wanasiasa wenye malengo na agenda binafsi, ambao wanastahili kuondolewa madarakani.

Lakini, je, viongozi wa upinzani wana mikakati thabiti na malengo ya kitaifa kiasi cha kuaminiwa na Wananchi? Hoja kuwa CCM huiba kura, ni hoja dhaifu na ya kitoto.

Hivyo basi, Mmawia, wewe na wapinzani wenzako, mjitathimini wapi mnakwama na mnaingiaje IKULU, badala ya kila siku kurukia matukio, kutuhumu, kushutumu, kubeza, kutukana, nk. watawala na viongozi wa chama chao
 
Ccm ni majizi wa kura na rasilimali za nchi hivyo mjiandae kutupiwa virago na elewa kuwa kama siyo leo basi ni kesho.
 
Ccm ni majizi wa kura na rasilimali za nchi hivyo mjiandae kutupiwa virago na elewa kuwa kama siyo leo basi ni kesho.
Upinzani haujawa tayari CCM kutupiwa virago, kwa namna na jinsi viongozi wake wanavyoendesha siasa. Ni wanaharakati zaidi kuliko wanasiasa. Wengi wao, kama siyo wote, wanasukumwa na ubinafsi. Wana maono ya kitaifa, lakini mioyoni mwao ni majizi wa kutupwa
 
Ccm tumewachoka
 
Pascal Mayalla umeandika vizuri lakini ujue asilimia zai ya 90 ya wananchi wanajua sababu Ni DP W.
Lakini pia mam a ajue kitendo hichi kukifanya at this juncture kimempunguzia umaarufu hata ndani ya chama chake.
Pili. Kama ulivyosema kila mtu ana haki ya kukosoa, mbona Dr. Slaa walimkamata Tena kishamba kabisa na kumficha kabla hajaibukia Mbeya? Kosa afanyie Dar kwanini apelekwe mahabusu ya Mbeya? Kwanini wale wengine haeakupelekwa mahakamani Kama Dr alikua na immunity?
CCM mnakurupuka mno.
 
Ccm ni zaidi ya uhuni wanafanya kwa wananchi.
 
Katika hili naungana na wewe, Pascal Mayalla atakupinga tu kwasbb za kinadharia alozozisoma kwenye vitabu lkn siyo za uhalisia.
 
Ebu tukumbushe kidogo mkuu Alphayo Kidata alirejeshewa ubalozi wake baada ya kuvuliwa na jiwe nazani ilikuwa 2018
 
Pascal Mayalla Kwa hivi wamemvua ubalozi kwa sababu kuna kusudio la kumtengenezea kesi za uhaini au
Okay tuamini sio sisiem wala sio mkulu amefuta huo ubalozi…. Hao waliomvua wamemvua kwa sababu ya kupinga mkataba wa bandari au kuna lingine amefanya hatujui?
This is rubbish… waache watu wakosoe period! serikali ijifunze kwa kukosolewa… so far nchi inasimamia mafiga matatu kama sio mawili..
Balozi Slaa kanyaga twende
 
Bagheshi, kama kuuma na kupuliza tu, wewe ni mbobezo. Ndio hii tofauti ya akili za Lucas mwashambwa chawa zuzu na wewe msukuma CHAWA masala kulangwa
 
Noted but hayo uliyasema kibongobongo hayatekelezeki ,Kwa mfano Sheria za vyombo vya habali zipo wazi uhuru ,mipaka yao nakadharika
Hakuna haki bila wajibu, na hakuna uhuru usiokuwa na mipaka!
lakin mbona Huwa waziri au kiongozi yeyote anaweza piga mkwala taarifa frani itoke au istoke
Sii kweli!, media zinapaswa kuwa objective, si kila kinachoropokwa lazima kiandikwe!. Ni media zenyewe zinajifanyia self censorship.
Slaa ni kweli ana hadhi ya ubalozi kibongobongo hata Kama ikidhibitika Hana hatia hawez rudishwa ubalozini.
Kuna tofauti kati ya hadhi ya ubalozi na kurudishwa ubalozini. Huyu tayari amestaafu ubalozi, hata akirejeshewa hadhi yake ya ubalozi hawezi kurejeshwa ubalozini.
P
 
Kwa hiyo unataka tuamini kwamba kufutiwa hadhi yake ya Ubalozi haihusiani na ukosoaji wa serikali ya mama SSH?
Hakuhusiani na ukosoaji, hakuna critic mkubwa wa mkataba wa DPW na Bandari zetu kama Prof. Tibaijuka, kama ni kufutiwa ubalozi kwa ukosoaji, Tiba angefutiwa!.
Bro, haya mambo mengine hayahitaji shahada ya sheria au PhD. Yapo wazi. Why him and not someone else?
Hiyo why him utaijua soon kwa yatokanayo.
reality is: hivi vyeo vya kupeana kirafiki au kwa vile mtu amekufurahisha, hata kunyanganywa…..ni hivo hivo.
yes naunga mkono hoja
Kwa Tanzania yetu survival ya mtu kwenye mfumo ni matakwa ya watawala. Ndo maana kila mtu ni muoga kusema au kufanya lolote lenye mlengo tofauti na watawala.
Sii kweli, waoga wapo na ma bold tupo!.
Hata mtu akiangalia uchambuzi wako, your perspective is telling.
Naomba niyaheshimu mawazo yako hata kama sikubaliani nayo.
Wasalaam,
Asante
P
 
Ni kweli, Furahisha genge ni part and parcel of social media.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…