Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Yah upo sawa mama
 
Watanzania tunaishi kwa kiaminishwa uongo
Hii ndo jadi yetu
 
kuna mantiki hapa maana kama angekuwa mweupe si rahisi kwenda misri kwa weusi na kama angekuwa mweusi si rahisi kwenda misri yenye weupe
Haujafikiri sahihi,na pia haujaisoma vizuri na kuijua habari ya Yesu kufichwa Misri,km kujificha ni kwa wenye ranging sawa na ww, hebu tafakari na hii
Muhammad na maswahaba wake(waarabu) walipodurumiwa kwao walikimbilia kushi ama Ethiopia ya sasa(kwa weusi tiii)kujificha,sasa ilikuaje wakajificha maana kujificha ilikuwa lazima uwe wa rangi ya huko ujifichako,
 
Herode nadhani alikuwa ni mtu kutoka Roma, sina uhakika sana.
upo sahihi Herode alikuwa ni mtawala wa falme ya Kirumi, hiyo haina mashaka hata kidogo, kwa hiyo alikuwa mzungu mwiitaliano.
 
Habari rafiki nilikuwa Busy kidogo naona nikitoka na uzi unasimama kabisa! Wapi wenzangu tuwe tunasaidiana!
 
Jicho la 'Horus'/RA na ukweli kuhusu ulimwengu wa Maarifa na
Utambuzi.

Meditation ni moja ya elimu Muhimu ambayo ilianzia 'Misri ya
kale'. Mababu waliamini kwamba chanzo cha maarifa na utambuzi
katika maisha ya mwanadamu yapo katika Jicho la tatu, na hapo
ndipo Wazo wa ''jicho la Ra'' lilipopatikana!.

Historia inadai kuwa Adam/Atum/Temu(Mwanadamu wa kwanza) Ndiye
aliyekuwa mwanzilishi wa kitu hiki na Ndicho kilichomsaidia
kumuonyesha watoto zake SHU na TEFNUT kipindi ambacho walikuwa
wamepotea.
Misingi kama hii iliendelea kuwapo kwa miaka mingi baadae huku
asili tofauti za wanadamu zikijifunza Elimu hii.
Ujuzi huu ndio uliopelekea Misri ya kale kuendelea sana katika
nyanja zote zinazohusu maarifa.
Mababu wa kale waliamini, Katika ulimwengu wa roho, mwanadamu
ni moja wa viumbe wenye nguvu nyingi, na uwezo wake wa
kufikiri akiwa kwenye ulimwengu huo ni mkubwa kuliko akiwa na
amevaa mwili., Hivyo moja ya mambo ya msingi kwa kila binadamu
ni kuweza kujitawala kikamilifu katika ulimwengu wa mwili na
wa roho. Suala la kujitawala katika ulimwengu wa mwili
kikamilifu huitaji msaada kutoka katika ulimwengu wa roho.

Baadhi ya vitabu vya dini miaka mingi baadae vilikuja kuelezea
ujuzi huu kama ''IMANI''
Mf; Biblia inasema Yesu aliwaambia watu wake kuwa Ukiwa na
Imani Kama punde moja ya Haradali, unaweza kuuambia Mlima
utoke na ukajitose maharini nao ukakutii! Imani aliyokuwa
anaizungumzia Yesu ni ujuzi huu wa kuweza kuitawala na
kuiongoza Roho yako, kupitia hapo utaweza kuonyeshwa yaliyojificha, na kufanya mambo mengine mengi kadha wa kadha kwa Kuiongoza roho!
Wanadamu wengi huota ndoto! ndoto huwa ni taarifa, au kwa maana nyingine naweza kusema ndoto kuwa ni Umbea ambao mtu huletewa na roho yake kuhusu mambo fulani! lakini kutokana na watu wengi kuwa na nguvu hafifu ndoto/taarifa hizo huwa hazitufikii kiusahihi na muda mwingine hadi tunaomba mtu asaidie kutafsiri!
Mfano Nilikuwa na rafiki yaangu fulani, ambaye alikuwa akinihadithia kuhusu jambo fulani la yeye na mke wake,
Ni kwamba kila alipokuwa anachepuka kwenda kwa mwanamke mwingine, Kesho yake asubuhi mkewe alisema aliota ndoto akiona jamaa anamsaliti kwa mwanamke mwingine! na si mara moja! karibia mara tano! kila siku atakayolala na kimada wake basi kesho yake asubuhi mwanamke wake atampa habari kuwa aliota hivyo! So hicho ni nini!? Ni wazi kuwa mwanamke yule ana nguvu kubwa ya roho, ila hajijui! na suala la kukatisha tamaa ni kuwa imani aliyonayo mwanamke yule inakataza kuamini katika Ndoto! hivyo yeye mwenyewe akawa anamwambia mumewe, ila mwisho anamwambia aah! najua ni shetani tu huyu anataka kutugombanisha! na ashindwe!! huku mwanaume akifurahi kimoyomoyo na kuona ni kama bahati.

Mababu wa Misri waliamini mwili wa binadamu ukifa, basi roho ambayo
huishi katika eneo la katikati kabisa katika Ubongo huondoka
zake kutokana na sababu fulani. Sababu ya kwanza ilikuwa ni
mwili kuchoka. punde mwili unapochoka basi roho ambayo
iliwekwa kiutaalam katikati ya ubongo hushindwa kuuongoza
mwili na kuuacha.
Mababu hao wa kale waliamini kuwa Mwili ni vazi ambalo
huvaliwa na roho, na punde vazi hilo linapochoka/au kuchakaa
basi Roho ilitoka na kwenda kutafuta vazi jingine jipya, yaani
kwenda mahali mimba inapotungwa.(Na hapa ndipo kasheshe la
kutokujitambua kwa wanadamu wengi linapoanzia maana huitaji
nguvu kubwa kuliko kawaida ya hisia kali kuitambua safari yako
yote hata kabla hujazaliwa! Yote hii inapatikana kwenye
Meditation.

Kwa kulazimisha/command sehemu ya katikati ya Ubongo kufanya
jambo unalotaka liwe basi jambo hilo huwa/ili mradi sheria na
kanuni za kulazimisha zifuatwe.

Sababu ya pili ilikuwa ni vita za kiroho, Wao waliamini kuwa muda fulani Binadamu aliweza kupata shambulizi la roho! ambalo pia lingewezaa kuwa ni sababu ya roho kuuvua mwili!
TUTAENDELEA......​
 

Attachments

  • 4585604096_525x370.jpg
    17.4 KB · Views: 62

Wakuu kwan viroba vimerudi mtaani??[emoji102]
 
[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…