Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

fanya biashara ingine hii huiwezi
Hahaha Mi sitangazi injili hapa wala dini ndo maana nakuwepo humu nikipenda sio uwanja wa kazi huu mzee.. Mi sio hao manabii wenu wanaotafuta hela
 
Nielewavyo mimi kwenye Qur'anTakatifu Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hajatajwa kwa jina ....

Sasa kama waliojitahidi kujua alikuwa ni Pharaoh yupi wakafikiri ni Ramsy sijui mashiko yao lakini kama wewe unaona sio Ramsy hakuna ubaya wowote.

Jina lake lingekuwa ni la muhimu kujua huyo pharaoh wa Kipindi cha Musa angetajwa jina kwenye Qur'an
 
Hivi vyote ni siri za mababu zetu wa kale! Wazungu wakavichukua na kuvifanyia kazi!
Chunguza wewe mwenyewe kadiri ya intuition inavyo kutuma! Google!
Isis najaribu kuku PM nashindwa samahani naomba chukua namba yangu ya whatsapp naomba unitext 0621134653

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Nielewavyo mimi kwenye Qur'anTakatifu Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hajatajwa kwa jina ....

Sasa kama waliojitahidi kujua alikuwa ni Pharaoh yupi wakafikiri ni Ramsy sijui mashiko yao lakini kama wewe unaona sio Ramsy hakuna ubaya wowote.

Jina lake lingekuwa ni la muhimu kujua huyo pharaoh wa Kipindi cha Musa angetajwa jina kwenye Qur'an
Unajua maana ya neno Pharao boss?

SM-G955F Samsung S8+
 
Ukombozi wa mwisho wa taifa la Misri utahusisha ulimwengu wote bila kujali rangi wala kabila. Hii ndio Dunia Mpya ijayo, itakayokuwa haina Dini, rangi, wala kabila! huku tofauti za mipaka zote zikipotezwa!
Africa itaenda kuwa Paradise!(kimbilio la wanadamu wote kutoka kila pembe baada ya machafuko makuu yajayo) Na hapo ndipo heshima kwa kila mwanadamu itakapopatikana. Kwa sababu Misri waliamini kila race ina muda wake wa kutawala Dunia kwa aina yake! Walianza weusi!, wakaja Waarabu, wakafuata mataifa mengine na sasa Waasia (wachina) wanaenda kutawala kwa sababu ndiyo muda wao!. Mkubwa huwa ni mkubwa na heshima yake huwa haipotei hata ikikusudiwa ipotee! Hivyo watu wangu tuamini Heshima ya Taifa la Misri (Mtu mweusi) Itarudi kama zamani na kwa pamoja ulimwengu utaheshimiana.

SM-G955F Samsung S8+
 
Pharao ni kama cheo tu mfano mfalme fulani,ndiyo maana walikuwa na mapharao kadhaa..

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
kuna mafarao zaidi ya 600 mzee kila pharao aljtawala katika kipindi chake! So hivi vitabu vya leo huwa vinataja jina la cheo cha huyo mtu na sio jina lake!

SM-G955F Samsung S8+
 
kuna mafarao zaidi ya 600 mzee kila pharao aljtawala katika kipindi chake! So hivi vitabu vya leo huwa vinataja jina la cheo cha huyo mtu na sio jina lake!

SM-G955F Samsung S8+
Mkuu mbona unajichanganya ulichoandika ndo tunachokijua sasa mbona uliniuliza kama najua maana ya Pharaoh

Mimi nilisema kuwa Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hakutajwa kwa jina kwenye Qur'an Takatifu, wewe ukaniuliza kama najua maana ya Pharaoh...

Sasa kama ni mtu mwenye uelewa ulikuwa huna maana ya kuuliza najua maana ya Pharaoh kwa kuandika kwangu Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa... inaonekana kama ulikuwa hujui halafu baadae ukajua, ni vizuri kujua, hongera.
 
Mkuu mbona unajichanganya ulichoandika ndo tunachokijua sasa mbona uliniuliza kama najua maana ya Pharaoh

Mimi nilisema kuwa Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hakutajwa kwa jina kwenye Qur'an Takatifu, wewe ukaniuliza kama najua maana ya Pharaoh...

Sasa kama ni mtu mwenye uelewa ulikuwa huna maana ya kuuliza najua maana ya Pharaoh kwa kuandika kwangu Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa... inaonekana kama ulikuwa hujui halafu baadae ukajua, ni vizuri kujua, hongera.
Mzee mbona wewe ndo huelewi kilichopo!?
Haya nakupa mfano rahisi sasa uelewe jamaa.
Ni sawa na sasa Kukawa na Biblia inayozungumzia ""Rais"" wa Tanzania katika kipindi cha Utawala wa Trump! bila kumtaja jina lake lolote zaidi ya kumtaja kama ni ""Rais wa Tanzania"" ili hali hapa Tanzania kuna marais watano hadi sasa. So Mimi nikaja mbele ya watu baada ya miaka elfu mbili kutoka sasa nikasema ""Rais wa kipindi cha Trumpaliitwa Magufuli!" af wewe ukaanza kunipinga na kusema aliitwa Rais sio magufuli! nani ataonekana chizi!?

SM-G955F Samsung S8+
 
Mzee mbona wewe ndo huelewi kilichopo!?
Haya nakupa mfano rahisi sasa uelewe jamaa.
Ni sawa na sasa Kukawa na Biblia inayozungumzia ""Rais"" wa Tanzania katika kipindi cha Utawala wa Trump! bila kumtaja jina lake lolote zaidi ya kumtaja kama ni ""Rais wa Tanzania"" ili hali hapa Tanzania kuna marais watano hadi sasa. So Mimi nikaja mbele ya watu baada ya miaka elfu mbili kutoka sasa nikasema ""Rais wa kipindi cha Trumpaliitwa Magufuli!" af wewe ukaanza kunipinga na kusema aliitwa Rais sio magufuli! nani ataonekana chizi!?

SM-G955F Samsung S8+
Bado mkuu unajichanganya kwa sasa kujua kama wakati wa Trump ndo wakati wa Magufuli ni easy huwezi kuweka hoja kama hiyo kwa kipindi kile ni mbali sana hata historia ya Yesu tu ambaye alikuha karne kadhaa baadae ina utata itakuwa ya Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa


Sasa wewe nipe evidence kuwa Pharaoh aliyekuwa wakati wa Nabii Musa ni Ramsy kama huo ushahidi upo na kama ushahidi upo sasa wewe ulichokuwa unakipinga ni nini na kama huo ushahidi haupo ina maana sio Ramsy sasa sioni cha maana ulichokileta

Yaani Pharaoh wa Nabii Musa awe ni Ramsy au mwingine ni Lazma alikufa kama Qur'an ilivyosema kama kuna utata unaouona wewe basi jua tu huyo siye yule wa kipindi cha Nabii Musa period.
 
Mzee mbona wewe ndo huelewi kilichopo!?
Haya nakupa mfano rahisi sasa uelewe jamaa.
Ni sawa na sasa Kukawa na Biblia inayozungumzia ""Rais"" wa Tanzania katika kipindi cha Utawala wa Trump! bila kumtaja jina lake lolote zaidi ya kumtaja kama ni ""Rais wa Tanzania"" ili hali hapa Tanzania kuna marais watano hadi sasa. So Mimi nikaja mbele ya watu baada ya miaka elfu mbili kutoka sasa nikasema ""Rais wa kipindi cha Trumpaliitwa Magufuli!" af wewe ukaanza kunipinga na kusema aliitwa Rais sio magufuli! nani ataonekana chizi!?

SM-G955F Samsung S8+

Narudia tena ili ujione wewe sio mzuri kwenye ujengaji hoja mimi sikuandika kuwa "aliitwa Pharaoh" tangu nilipoanza kuchangia nimeandika "kwenye Qur'an Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hakutajwa jina lake" sasa wewe ukaniuliza kama najua maana ya Pharaoh, yaani from that question tu mtu mwenye upeo yoyote tu akajua upeo wako mdogo, ndo maana mwingine akakujibu kabla yangu.

Sasa ndo jwa kukusaidia ilitakiwa wewe uniulize kama Hakutajwa Jina je Pharaoh yupi ndo alikuwa kipindi cha Nabii Musa!? Hapo tungeendelea kusaidiana kwa hoja na niliandika kabla kama kuna wanaoamini ni Ramsy kwa mashiko fulani basi wana haki yao na kama wapo wanaiamini siye Ramsy hakuna shida kwa sababu sio kwamba watakuwa wameyapinga maandiko kwa sababu maandiko hakayumtaja kwa jina.

Sasa kwa mfano mwalimu darasani kasema "kuna mwanafunzi wa kiume aliyekuwa na daftari dogo wiki iliyopita kaiba" halafu we unakurupuka unasema "John kasingiziwa kwa sababu tu John hakuwa na daftari dogo".

Sasa nani chizi hapo.....

Pharaoh wa kipindi cha nabii Musa kama maandiko matakatifu yalivyoandika ndo hivyo sasa wewe povu linakutoka "Sio Yeye Hakufa Hivyo Imani zinatudanganya" hayo ya kwako hizo akili zenu za kujiita magenius maGT ndo huwa zinawaponza kitu kiko clear kabisa kama sifa zinamhusu ndiye kama hazimhusu siye na pia kuhusu hizo sifa kila mtu anaweza kuwa ana msimamo wake kutokana na dalili tofauti

Mungu Hajamtaja kwa Jina Pharaoh wa Nabii Musa sasa wewe unayedai dini inamsingizia Ramsy waulize hao wanaomsingizia wanatumia maandiko gani na dalili gani.
Wanaweza labda wakakupa dalili mpaka ukakubali kweli ni yeye
 
Bado mkuu unajichanganya kwa sasa kujua kama wakati wa Trump ndo wakati wa Magufuli ni easy huwezi kuweka hoja kama hiyo kwa kipindi kile ni mbali sana hata historia ya Yesu tu ambaye alikuha karne kadhaa baadae ina utata itakuwa ya Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa


Sasa wewe nipe evidence kuwa Pharaoh aliyekuwa wakati wa Nabii Musa ni Ramsy kama huo ushahidi upo na kama ushahidi upo sasa wewe ulichokuwa unakipinga ni nini na kama huo ushahidi haupo ina maana sio Ramsy sasa sioni cha maana ulichokileta

Yaani Pharaoh wa Nabii Musa awe ni Ramsy au mwingine ni Lazma alikufa kama Qur'an ilivyosema kama kuna utata unaouona wewe basi jua tu huyo siye yule wa kipindi cha Nabii Musa period.
Point yako haina Mashiko, nanukuu ulicho post """kujua wakati wa Trump ndo wakati wa magufuli ni easy huwezi kuweka hoja kama hiyo kwa kipindi kile ni mbali sana hata Historia ya Yesu tu ambaye ALIKUHA karne kadhaa baadae ina utata sembuse ya Pharao Enzi za Nabii Musa!"""

Sasa Ndugu yangu mimi napenda kukuuliza swali dogo tu., Ikiwa Historia ya Yesu Tu!! wewe inakupa Utata!, utawezaje Kuamini Historia hii ya Pharao? na historia nyingine za Kale zaidi kama Abraham na Adam wa kale! zilizopo humo kwenye kitabu chako?

SM-G955F Samsung S8+
 
Narudia tena ili ujione wewe sio mzuri kwenye ujengaji hoja mimi sikuandika kuwa "aliitwa Pharaoh" tangu nilipoanza kuchangia nimeandika "kwenye Qur'an Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hakutajwa jina lake" sasa wewe ukaniuliza kama najua maana ya Pharaoh, yaani from that question tu mtu mwenye upeo yoyote tu akajua upeo wako mdogo, ndo maana mwingine akakujibu kabla yangu.

Sasa ndo jwa kukusaidia ilitakiwa wewe uniulize kama Hakutajwa Jina je Pharaoh yupi ndo alikuwa kipindi cha Nabii Musa!? Hapo tungeendelea kusaidiana kwa hoja na niliandika kabla kama kuna wanaoamini ni Ramsy kwa mashiko fulani basi wana haki yao na kama wapo wanaiamini siye Ramsy hakuna shida kwa sababu sio kwamba watakuwa wameyapinga maandiko kwa sababu maandiko hakayumtaja kwa jina.

Sasa kwa mfano mwalimu darasani kasema "kuna mwanafunzi wa kiume aliyekuwa na daftari dogo wiki iliyopita kaiba" halafu we unakurupuka unasema "John kasingiziwa kwa sababu tu John hakuwa na daftari dogo".

Sasa nani chizi hapo.....

Pharaoh wa kipindi cha nabii Musa kama maandiko matakatifu yalivyoandika ndo hivyo sasa wewe povu linakutoka "Sio Yeye Hakufa Hivyo Imani zinatudanganya" hayo ya kwako hizo akili zenu za kujiita magenius maGT ndo huwa zinawaponza kitu kiko clear kabisa kama sifa zinamhusu ndiye kama hazimhusu siye na pia kuhusu hizo sifa kila mtu anaweza kuwa ana msimamo wake kutokana na dalili tofauti

Mungu Hajamtaja kwa Jina Pharaoh wa Nabii Musa sasa wewe unayedai dini inamsingizia Ramsy waulize hao wanaomsingizia wanatumia maandiko gani na dalili gani.
Wanaweza labda wakakupa dalili mpaka ukakubali kweli ni yeye
Kwani mzee tatizo ni nini!? hebu nikuulize swali ambalo hata mtoto wa Chekechea anaweza kujibu!. Wewe hiyo historia yako unaitolea wapi??????????

Mimi historia ninayokupa hapa naitolea "Giza, na Kemet" Misri, hata ukienda ""sasa"" utaikuta hii hii, maana yote iliandikwa katika kuta za majengo na pyramid za pale! Isije kuwa nabishana na wewe unaetolea historia hii Saudi Arabia[emoji1] ili hali tukio lilitokea Kemet, na Giza misri!?? Yaani ni sawa na Historia ya Familia yako wewe niijue sana mimi kuliko mkeo na watoto wako unaokaa nao kwenu?



SM-G955F Samsung S8+
 
Back
Top Bottom