Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Mnaemuita firauni ni babu yenu, wa asili! alikuwa ni Mweusi tii!! jina lake aliitwa Mkuu Ramesses wa II au Sese!

Nimekuwa nikiona habari kutoka kwa watu, kuwa mwili wa Ramesses ll huwa ukizikwa, unarudi juu kesho yake!!![emoji4][emoji5][emoji5]

Hivi hili linawezekanaje!! tena watu wenye akili timamu kabisa wanaamini hili! wenye Degree na PHD!! Kwa kweli ni maajabu makubwa mno haya! hapa utaamini kuwa Binadamu ni dhaifu sana kwenye imani!, na ni rahisi sana kumteka mtu yoyote akili kwa kutumia kivuli cha Dini/Imani..

Leo hii kitabu chochote kitakatifu kingesema Kuiba si dhambi na mtu ili ufike mbinguni ni lazima uwe mwizi, basi tungeshuhudia watu wengi wasomi na wasio wasomi wakiwa ni wevi!! Yote ni kwa sababu binadamu wengi ni weak mno kwenye Imani!

Turudi kwenye maada.

Great ramesses ll alizikwaje?

Mwanzo alizikwa kwenye kaburi KV7 katika Bonde la Wafalme, lakini kwa sababu ya uporaji wa vitu vya thamani alivyokuwa amevishwa, makuhani walihamisha mwili kutoka eneo hilo na kuupeleka ndani ya kaburi la malkia Inhapy.

Miaka mingi baadae waliuhamishia tena mwili kwenye kaburi la kuhani mkuu Pinudjem II. Yote hii ni sababu ya kumbukumbu katika hieroglyphics.

Kutokana na matetemeko yaliyoikumba Giza miaka kati ya miaka 1000 AD hadi 1500 AD vitu vingi vilipotea huku baadhi ya masanamu mengi yakiharibiwa vibaya na matetemeko hayo, na baadhi ya makaburi, majumba, na makumbusho mengine kupotea kabisa!
Huku mwili Wa Great Ramesses ll Nao ukipotea katika matetemeko hayo.

Mwanzoni mwa miaka ya 1800, mwili huu ulipatikana tena pembezoni kidogo mwa Red sea.

Ramesses ll, hakufa kwenye Gharika la Mussa kama watu wanavyodai, mwili wake hadi sasa unathibitisha kuwa alikufa akiwa mzee, zaidi ya miaka 80 kwa maradhi ya kawaida.

Pia si mwili wa ramesses ll tu uliopo kwenye makumbusho ya misri, ni miili mingi ya Mapharao tofauti na baadhi ya watu walioishi kwenye Egypt ya kale.

"Historia yake kwa Ufupi"

Ramesses II, au kwa jina jingine Sese alikuwa ni mfalme wa pili wa Uzao wa 19 wa familia ya kifalme. Na alikuja kuwa miongoni mwa Mapharao wenye nguvu kuwahi kuwepo Misri.

Ramesses II alipewa kiti cha Ufalme mapema kwenye umri wa miaka 20 na akaongoza (kati ya mwaka 1279 BC) hadi alipofariki miaka 67 baadae (1213 BC) kwa maradhi ya mishipa, na ini.
Aliongoza Misri kwa miaka 67 akiwa ni wa pili kuongoza kwa kipindi kirefu zaidi katika historia ya mapharao.

Mbali na Vita Ramses II anakumbukwa mno katika juhudi za utunzaji wa Historia ya Misri katika mahekalu ya Ramesseum pamoja na Abu Simbel.
Kwa kumbukumbu nyingi muhimu zilizomo katika mahekalu haya kwa sanamu, zana za kale, michoro na maandishi zinamfanya Ramsess kuwa mmoja wa mapharao muhimu wa misri ya kale.


Jeshi la Rammeses lilisaidia kulinda mipaka ya Misri kutoka kwa wavamizi na majambazi katika Meditrenian na Libya pia kutoka Hittites na Nubians.

Pia Alifanya kampeni za kurudisha ardhi iliyokuwa imeporwa na wavamizi kwa kusign mikataba ya amani kabla ya kutumia nguvu kuwapiga.

Katika historia Ramesses alishindwa vita moja tu! vita inayokumbukwa sana ni ile iliyofanyikia Kadesh (Syria ya leo) ambayo ilifanyika mwaka 1274 BC dhidi Wahiti. Ilikuwa ni vita kubwa iliyotumia zana za kisasa zaidi wakati huo katika historia ya vita za kale. Rameses alifanya makosa kwa kugawa vibaya vikosi vyake kitu kilichofanya moja ya kikosi kufyekwa chote! Hatimaye mpinzani akajitangazia ushindi na Ramesses ikampasa arudi nyuma sababu ya kujiandaa kubaya na matatizo ya vifaa.

Dhana iliyozushwa Juu ya Kifo chake!

Vitabu kadhaa vya Dini kama vile Bible na Quran vimekuwa vikizungumzia kifo chake katika hali ya kushangaza!
Wao hudai kuwa Ramesses au Sese alifia kwenye maji wakati akiwafukuza waisrael!
Wamisri wa kale wakipinga kabisa madai hayo na kudai Sese alifariki akiwa na miaka zaidi ya 87 kutokana na maradhi! ya kibinadamu!
Moja ya ushahidi ni wa Mwili/mummy wa Sese ambao unaonekana wazi kuwa mtu huyo alifariki akiwa mzee kabisa!
Pia jambo jingine la kujiuliza ni kuwa Kina Musa wakati wakimkimbia Ramesses na kuwa wameshafanikiwa kuvuka bahari, huku nyuma waliwezaje kumuona Ramesses katikati ya kikosi cha askari wa misri akifa maji!? Hayo ni mambo yanayowatatiza wengi, huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa Ramesses mwili wake huwa hautaki kuzikwa!

Huyu Ndo Great Ramesses II au Sese mmoja wa Mapharao Muhimu zaidi Eghypt ya kale na leo katika historia,

View attachment 500056
MWILI WA PHARAO RAMESSES ll / Firauni Uliopo kwenye maonyesho ya Ancient Egypt.
View attachment 463572
SANAMU YA GREAT RAMESSES II ILIYOPO GIZA EGYPT

Nawasilisha
Secret Star
Najiuliza maswali kadhaa!!
Je,unajua maana ya historia?
Je,Unajua maana ya neno Firauni?
Pia je unajua tofauti ya imani na uhalisia?
Hivi ulichokiandika umeandika katika mlengo upi Imani au uhalisia?
Na je unaamini ulichoandika
au unajua kuwa ulichoandika ndio hasa kilichotokea na uthibitisho unao.Vinginevyo ya Kaisari mwachie Kaisari ........
 
Point yako haina Mashiko, nanukuu ulicho post """kujua wakati wa Trump ndo wakati wa magufuli ni easy huwezi kuweka hoja kama hiyo kwa kipindi kile ni mbali sana hata Historia ya Yesu tu ambaye ALIKUHA karne kadhaa baadae ina utata sembuse ya Pharao Enzi za Nabii Musa!"""

Sasa Ndugu yangu mimi napenda kukuuliza swali dogo tu., Ikiwa Historia ya Yesu Tu!! wewe inakupa Utata!, utawezaje Kuamini Historia hii ya Pharao? na historia nyingine za Kale zaidi kama Abraham na Adam wa kale! zilizopo humo kwenye kitabu chako?

SM-G955F Samsung S8+
Mwache apumzishe kichwa inaoneka ni kichwa ngumu mno kuelewa na iman yake ya punje la mchele,hao ndo tunao waulizaga kabla ya dini kuletwa uku africa ya mashariki mababu zetu wa kale,waliabudu nn?,na waliishi kwa imani ipi?,alafu unaachana nae apo ndo atajitambua hata kama angali mzibwa macho kwa dongo baridi la mfinyanzi.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena ili ujione wewe sio mzuri kwenye ujengaji hoja mimi sikuandika kuwa "aliitwa Pharaoh" tangu nilipoanza kuchangia nimeandika "kwenye Qur'an Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa hakutajwa jina lake" sasa wewe ukaniuliza kama najua maana ya Pharaoh, yaani from that question tu mtu mwenye upeo yoyote tu akajua upeo wako mdogo, ndo maana mwingine akakujibu kabla yangu.

Sasa ndo jwa kukusaidia ilitakiwa wewe uniulize kama Hakutajwa Jina je Pharaoh yupi ndo alikuwa kipindi cha Nabii Musa!? Hapo tungeendelea kusaidiana kwa hoja na niliandika kabla kama kuna wanaoamini ni Ramsy kwa mashiko fulani basi wana haki yao na kama wapo wanaiamini siye Ramsy hakuna shida kwa sababu sio kwamba watakuwa wameyapinga maandiko kwa sababu maandiko hakayumtaja kwa jina.

Sasa kwa mfano mwalimu darasani kasema "kuna mwanafunzi wa kiume aliyekuwa na daftari dogo wiki iliyopita kaiba" halafu we unakurupuka unasema "John kasingiziwa kwa sababu tu John hakuwa na daftari dogo".

Sasa nani chizi hapo.....

Pharaoh wa kipindi cha nabii Musa kama maandiko matakatifu yalivyoandika ndo hivyo sasa wewe povu linakutoka "Sio Yeye Hakufa Hivyo Imani zinatudanganya" hayo ya kwako hizo akili zenu za kujiita magenius maGT ndo huwa zinawaponza kitu kiko clear kabisa kama sifa zinamhusu ndiye kama hazimhusu siye na pia kuhusu hizo sifa kila mtu anaweza kuwa ana msimamo wake kutokana na dalili tofauti

Mungu Hajamtaja kwa Jina Pharaoh wa Nabii Musa sasa wewe unayedai dini inamsingizia Ramsy waulize hao wanaomsingizia wanatumia maandiko gani na dalili gani.
Wanaweza labda wakakupa dalili mpaka ukakubali kweli ni yeye
Uislam ndo unavyokutuma uku cc atujui ilo,izo qur'an and bible zote za kukopiwa pale giza misri.....kwanzia uumbaji mpka mwisho..

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Kwani mzee tatizo ni nini!? hebu nikuulize swali ambalo hata mtoto wa Chekechea anaweza kujibu!. Wewe hiyo historia yako unaitolea wapi??????????

Mimi historia ninayokupa hapa naitolea "Giza, na Kemet" Misri, hata ukienda ""sasa"" utaikuta hii hii, maana yote iliandikwa katika kuta za majengo na pyramid za pale! Isije kuwa nabishana na wewe unaetolea historia hii Saudi Arabia[emoji1] ili hali tukio lilitokea Kemet, na Giza misri!?? Yaani ni sawa na Historia ya Familia yako wewe niijue sana mimi kuliko mkeo na watoto wako unaokaa nao kwenu?



SM-G955F Samsung S8+
Well said
Tumepoteana kwa kipindi,
waafrica tumeamka, Asante sana kwa darasa
Secret Star
 
Point yako haina Mashiko, nanukuu ulicho post """kujua wakati wa Trump ndo wakati wa magufuli ni easy huwezi kuweka hoja kama hiyo kwa kipindi kile ni mbali sana hata Historia ya Yesu tu ambaye ALIKUHA karne kadhaa baadae ina utata sembuse ya Pharao Enzi za Nabii Musa!"""

Sasa Ndugu yangu mimi napenda kukuuliza swali dogo tu., Ikiwa Historia ya Yesu Tu!! wewe inakupa Utata!, utawezaje Kuamini Historia hii ya Pharao? na historia nyingine za Kale zaidi kama Abraham na Adam wa kale! zilizopo humo kwenye kitabu chako?

SM-G955F Samsung S8+
Iko too deep hii kitu, ni ngumu kumwingia mtu mwenye basics thoughts
 
S
Point yako haina Mashiko, nanukuu ulicho post """kujua wakati wa Trump ndo wakati wa magufuli ni easy huwezi kuweka hoja kama hiyo kwa kipindi kile ni mbali sana hata Historia ya Yesu tu ambaye ALIKUHA karne kadhaa baadae ina utata sembuse ya Pharao Enzi za Nabii Musa!"""

Sasa Ndugu yangu mimi napenda kukuuliza swali dogo tu., Ikiwa Historia ya Yesu Tu!! wewe inakupa Utata!, utawezaje Kuamini Historia hii ya Pharao? na historia nyingine za Kale zaidi kama Abraham na Adam wa kale! zilizopo humo kwenye kitabu chako?

SM-G955F Samsung S8+

Unatapatapa bado ndugu, usiweke maneno ambayo sijaandika , historia ya yesu sio kwamba kwangu ina utata hapana in general ina utata kutokana na watu mbalimbali, wewe unataka utuaminishe kuwa historia ya kale kama hiyo iko 100% correct kutokana na source zako.

Magufuli na Trump kwenye teknolojia ya kipindi hiki historia yao haiwezi kuwa shida hauko serious..... na bado hujanijibu unatapatapa KWA NINI ULINIULIZA KAMA NAJUA MAANA YA PHARAOH mwanzo!? HAKUKUWA NA LOGIC KWA MAANA HAKUNA NILICHOKOSEA MWANZO KWA HIVYO NI KAMA VILE WEWE UNAKURUPUKA TU.
 
S


Unatapatapa bado ndugu, usiweke maneno ambayo sijaandika , historia ya yesu sio kwamba kwangu ina utata hapana in general ina utata kutokana na watu mbalimbali, wewe unataka utuaminishe kuwa historia ya kale kama hiyo iko 100% correct kutokana na source zako.

Magufuli na Trump kwenye teknolojia ya kipindi hiki historia yao haiwezi kuwa shida hauko serious..... na bado hujanijibu unatapatapa KWA NINI ULINIULIZA KAMA NAJUA MAANA YA PHARAOH mwanzo!? HAKUKUWA NA LOGIC KWA MAANA HAKUNA NILICHOKOSEA MWANZO KWA HIVYO NI KAMA VILE WEWE UNAKURUPUKA TU.
Hahaha we jamaa wewe! Sibishani tena na wewe sababu naanza kupata mashaka juu yako! haya Nanukuu tena ulichoandika[emoji16] """Historia ya Yesu SIO KWAMBA INA UTATA HAPANA""" (hapo umemaanisha kuwa Historia ya Yesu Haina utata!) Sasa ngoja tuone umemalizia na nini, Nanukuu """In general INA UTATA KUTOKANA NA WATU MBALIMBALI hahahahaa duh!

Isitoshe hakuna mahala popote nilipoamuru watu waamini haya!

SM-G955F Samsung S8+
 
Hahaha we jamaa wewe! Sibishani tena na wewe sababu naanza kupata mashaka juu yako! haya Nanukuu tena ulichoandika[emoji16] """Historia ya Yesu SIO KWAMBA INA UTATA HAPANA""" (hapo umemaanisha kuwa Historia ya Yesu Haina utata!) Sasa ngoja tuone umemalizia na nini, Nanukuu """In general INA UTATA KUTOKANA NA WATU MBALIMBALI hahahahaa duh!

Isitoshe hakuna mahala popote nilipoamuru watu waamini haya!

SM-G955F Samsung S8+
Wewe pindisha maneno tu unajichora mwenyewe mbona neno KWANGU umeliruka Wewe uliandika kuwa " kama historia ya yesu tu kwako ina utata.." na mimi sikusema KWANGU ina utata
" Niliandika kama historia tu ya Yesu ina utata"

Hauko makini unakurupuka au unataka kupotosha na bado hujibu kwa nini uliniuliza kama najua maana ya Pharaoh mwanzo nilipochangia... ndo maana nina wasiwasi ma wewe kuwa ni mkurupukaji hauko makini
 
Mwache apumzishe kichwa inaoneka ni kichwa ngumu mno kuelewa na iman yake ya punje la mchele,hao ndo tunao waulizaga kabla ya dini kuletwa uku africa ya mashariki mababu zetu wa kale,waliabudu nn?,na waliishi kwa imani ipi?,alafu unaachana nae apo ndo atajitambua hata kama angali mzibwa macho kwa dongo baridi la mfinyanzi.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Wewe tulia kijana mdogo, ndo kwanza internet inaanza kukujuza unajiona wajua sana kiasi cha kutaka kujifanya atheist wa kumkataa mungu.

Mungu anaabudiwa na wanyama,ndege, wadudu, na viumbe vyote.

Sasa wewe kalia na hadithi za mababu wa mababu.... UTAISOMA NAMBA
 
Wewe tulia kijana mdogo, ndo kwanza internet inaanza kukujuza unajiona wajua sana kiasi cha kutaka kujifanya atheist wa kumkataa mungu.

Mungu anaabudiwa na wanyama,ndege, wadudu, na viumbe vyote.

Sasa wewe kalia na hadithi za mababu wa mababu.... UTAISOMA NAMBA
Siwezi kubishana na mfia dini wewe si lolote kwangu, Pia tafakari kwa kina ni yuli ataisoma namba kati yangu na mfia dini.

SM-G955F Samsung S8+
 
Haha mzee mimi naona kama unataka kubishana na huyu jamaa tu! Sasa ukiliweka hilo neno unalosema jamaa hajaliweka, mantiki ya uchokiandika itabadilika? naona wewe ndo unakurupuka huyu Secret nar bora anyamaze asibishane na wewe mimi mwenyewe nimeona ulivyo.

SM-G955F Samsung S8+
 
Kuongea na mjinga ni kujifunza Ujinga.[emoji40]

SM-G955F Samsung S8+

Bro pole sana umepanic vibaya mno lakini lazima ukomae kwenye mijadala kukasirika gaisaidii sasa mbona tunaflow mimi na wewe mwanzo mbona unakasirika twende kwa hoja taratibu tutafika nakupa muda we angalia tangu mi nilipoanza kuchangia mpaka tulipoanza kutofautiana utaona wewe haukuwa makini kunielewa..

Kama nimekuudhi tusameheane lakini wewe jitahidi tulia anza kurevise tangu nilipoanza mimi kuchangia hapo utaona sina kosa sana ila wewe labda ulikurupuka au hukunielewa
 
Haha mzee mimi naona kama unataka kubishana na huyu jamaa tu! Sasa ukiliweka hilo neno unalosema jamaa hajaliweka, mantiki ya uchokiandika itabadilika? naona wewe ndo unakurupuka huyu Secret nar bora anyamaze asibishane na wewe mimi mwenyewe nimeona ulivyo.

SM-G955F Samsung S8+
Inabadili maana mkuu yeye kanigeuzia maneno kasema kuwa kama "kwako tu" historia ina utata na mimi sikusema historia ina utata personally kwangu tu NO mi nilisema generally kama historia ya yesu tu ina utata ba tena kaja karne nyingi baada ya Nabii musa sasa yeye baadae anavyokuja kudai kuwa kama KWAANGU TU historia ta Yesu ina Utata anakuwa anapotosha na kutaka nionekane mimi pekee ndio MBISHI


Natumai umenipata halafu yeye mwanzo nilivyochangia aliniuluza kama najua maana ya Pharaoh!?
Swali linakuja kitu gani kilimfanya yeye aniulize lile swali wakati kama angekuwa yuko makini kidogo tu angejua kuwa nilikuwa naelewa maana yake kwa sababu niliandika PHARAOH WA KIPINDI CHA NABII MUSA....
 
Kuongea na mjinga ni kujifunza Ujinga.[emoji40]

SM-G955F Samsung S8+

Hakuna kitu nakipenda kama UJINGA,ni hali inayonifanya nitafute elimu kwa nguvu zote na popote kuhusu chochote na huku nikijua kamwe sitoumaliza ujinga wangu mpaka nakufa wala hakuna atakatemaliza ujinga wake mpaka mauti yatakampofika
 
Inabadili maana mkuu yeye kanigeuzia maneno kasema kuwa kama "kwako tu" historia ina utata na mimi sikusema historia ina utata personally kwangu tu NO mi nilisema generally kama historia ya yesu tu ina utata ba tena kaja karne nyingi baada ya Nabii musa sasa yeye baadae anavyokuja kudai kuwa kama KWAANGU TU historia ta Yesu ina Utata anakuwa anapotosha na kutaka nionekane mimi pekee ndio MBISHI


Natumai umenipata halafu yeye mwanzo nilivyochangia aliniuluza kama najua maana ya Pharaoh!?
Swali linakuja kitu gani kilimfanya yeye aniulize lile swali wakati kama angekuwa yuko makini kidogo tu angejua kuwa nilikuwa naelewa maana yake kwa sababu niliandika PHARAOH WA KIPINDI CHA NABII MUSA....
Mzee kama kitabu chako cha historia kimekamilika tuambie Pharao wa kipindi cha Musa aliitwa nani? Taja jina lake achana na Pharao ambalo ni la cheo chake.

SM-G955F Samsung S8+
 
Mzee kama kitabu chako cha historia kimekamilika tuambie Pharao wa kipindi cha Musa aliitwa nani? Taja jina lake achana na Pharao ambalo ni la cheo chake.

SM-G955F Samsung S8+

Mkuu soma post yangu niliyochangia mwanzo utaona rudi kidogo nyuma hapo utaiona
 
Back
Top Bottom