Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Yaliozungumzwa katika vitabu vya dini mfano Quran huo ndio ukweli wa kifo na maisha ya firaun. Na cku zote tambua kuwa mawazo ya mtu kuhusu jambo fulani huwa haibadilishi ukweli wa jambo. Pia si kama watu ni wadhaifu sana kwa mambo ya kidini, bali maisha yoyote ili yawe na amani ni lazima yafuate mfumo maalum (DINI)
 
Bado unahitajika uisome kwa umakini hiyo historia mana huijui vyema. Inawezekana umechukua mawazo ya watu tu ambao wameipotesha historia ya firaun kwa sababu zao binafsi bali ilivyoelezwa katika hivo vitabu vya dini ujue huo ndo ukweli.
 
Kiukweli watu weusi kuna ukweli umefichwa juu yetu kwani hata tamaduni nyingi za watu wa biblia ni tamaduni za mtu mweusi na hii iko wazi ila mzungu kadanganya muirish amabaye ndie israel ya leo ndiye apewe uisrael kwenye bible its ok wao wamependa ivyo ila mungu yy ndie anajua jibu la aya na kwakua yeye abadilishwi na mzungu basi ukweli atauanika siku yesu akirud maana itashangaza yesu atapokua ni mtu mweusi sijui watamjibu nini ikiwa wamemchora mweupe kwa kila jambo
 
Nimependa hii
 
Kuna haja ya kwenda misri na kujionea hivi vitu ni ukweli vitabu vya dini vimepotosha sana kuhusu hili swala
 
Inaman hd leo bdo hajahrbik?
Ni kweli mwili wake haujaaribika mpaka leo na siyo yeye peke yake ipo na miili mingine ya hao wafalme wa misri pamoja na wake zao na watoto wao. Kwa ujumla huo ulikuwa ni utaratibu wao wa kukausha hizo royal families zikifa na siyo huo uzushi eti alikaushwa na mungu hiyo process inaitwa mummification unaweza kugooge ukaelewa zaidi
 
Neno
 
Nilikuwa dar almost ten days nilipata msiba mkubwa sana wadogo zangu wawili na kajomba kangu ka miezi waliuwa kikatili kwa kuchinjwa Na shemeji yangu hii habari ilitrend sana nimeumia sana
Nipo Dodoma now
Mwenye Enzi Mungu akupe amani my dearest pole sana sana jamani!
Uwiii!
Sikujua kabisa, mambo ni mengi
Na namshukuru MOLA yamefika ukingoni!
Yaani umeniacha speechless
What a tragedy!
 
Mwenye Enzi Mungu akupe amani my dearest pole sana sana jamani!
Uwiii!
Sikujua kabisa, mambo ni mengi
Na namshukuru MOLA yamefika ukingoni!
Yaani umeniacha speechless
What a tragedy!
Story ndefu kidogo sijui nikusimulie vipi nitakumia full story pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…