Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Mnaemuita firauni ni babu yenu, wa asili! alikuwa ni Mweusi tii!! jina lake aliitwa Mkuu Ramesses wa II au Sese!

Nimekuwa nikiona habari kutoka kwa watu, kuwa mwili wa Ramesses ll huwa ukizikwa, unarudi juu kesho yake!!![emoji4][emoji5][emoji5]

Hivi hili linawezekanaje!! tena watu wenye akili timamu kabisa wanaamini hili! wenye Degree na PHD!! Kwa kweli ni maajabu makubwa mno haya! hapa utaamini kuwa Binadamu ni dhaifu sana kwenye imani!, na ni rahisi sana kumteka mtu yoyote akili kwa kutumia kivuli cha Dini/Imani..

Leo hii kitabu chochote kitakatifu kingesema Kuiba si dhambi na mtu ili ufike mbinguni ni lazima uwe mwizi, basi tungeshuhudia watu wengi wasomi na wasio wasomi wakiwa ni wevi!! Yote ni kwa sababu binadamu wengi ni weak mno kwenye Imani!

Turudi kwenye maada.

Great ramesses ll alizikwaje?

Mwanzo alizikwa kwenye kaburi KV7 katika Bonde la Wafalme, lakini kwa sababu ya uporaji wa vitu vya thamani alivyokuwa amevishwa, makuhani walihamisha mwili kutoka eneo hilo na kuupeleka ndani ya kaburi la malkia Inhapy.

Miaka mingi baadae waliuhamishia tena mwili kwenye kaburi la kuhani mkuu Pinudjem II. Yote hii ni sababu ya kumbukumbu katika hieroglyphics.

Kutokana na matetemeko yaliyoikumba Giza miaka kati ya miaka 1000 AD hadi 1500 AD vitu vingi vilipotea huku baadhi ya masanamu mengi yakiharibiwa vibaya na matetemeko hayo, na baadhi ya makaburi, majumba, na makumbusho mengine kupotea kabisa!
Huku mwili Wa Great Ramesses ll Nao ukipotea katika matetemeko hayo.

Mwanzoni mwa miaka ya 1800, mwili huu ulipatikana tena pembezoni kidogo mwa Red sea.

Ramesses ll, hakufa kwenye Gharika la Mussa kama watu wanavyodai, mwili wake hadi sasa unathibitisha kuwa alikufa akiwa mzee, zaidi ya miaka 80 kwa maradhi ya kawaida.

Pia si mwili wa ramesses ll tu uliopo kwenye makumbusho ya misri, ni miili mingi ya Mapharao tofauti na baadhi ya watu walioishi kwenye Egypt ya kale.

"Historia yake kwa Ufupi"

Ramesses II, au kwa jina jingine Sese alikuwa ni mfalme wa pili wa Uzao wa 19 wa familia ya kifalme. Na alikuja kuwa miongoni mwa Mapharao wenye nguvu kuwahi kuwepo Misri.

Ramesses II alipewa kiti cha Ufalme mapema kwenye umri wa miaka 20 na akaongoza (kati ya mwaka 1279 BC) hadi alipofariki miaka 67 baadae (1213 BC) kwa maradhi ya mishipa, na ini.
Aliongoza Misri kwa miaka 67 akiwa ni wa pili kuongoza kwa kipindi kirefu zaidi katika historia ya mapharao.

Mbali na Vita Ramses II anakumbukwa mno katika juhudi za utunzaji wa Historia ya Misri katika mahekalu ya Ramesseum pamoja na Abu Simbel.
Kwa kumbukumbu nyingi muhimu zilizomo katika mahekalu haya kwa sanamu, zana za kale, michoro na maandishi zinamfanya Ramsess kuwa mmoja wa mapharao muhimu wa misri ya kale.


Jeshi la Rammeses lilisaidia kulinda mipaka ya Misri kutoka kwa wavamizi na majambazi katika Meditrenian na Libya pia kutoka Hittites na Nubians.

Pia Alifanya kampeni za kurudisha ardhi iliyokuwa imeporwa na wavamizi kwa kusign mikataba ya amani kabla ya kutumia nguvu kuwapiga.

Katika historia Ramesses alishindwa vita moja tu! vita inayokumbukwa sana ni ile iliyofanyikia Kadesh (Syria ya leo) ambayo ilifanyika mwaka 1274 BC dhidi Wahiti. Ilikuwa ni vita kubwa iliyotumia zana za kisasa zaidi wakati huo katika historia ya vita za kale. Rameses alifanya makosa kwa kugawa vibaya vikosi vyake kitu kilichofanya moja ya kikosi kufyekwa chote! Hatimaye mpinzani akajitangazia ushindi na Ramesses ikampasa arudi nyuma sababu ya kujiandaa kubaya na matatizo ya vifaa.

Dhana iliyozushwa Juu ya Kifo chake!

Vitabu kadhaa vya Dini kama vile Bible na Quran vimekuwa vikizungumzia kifo chake katika hali ya kushangaza!
Wao hudai kuwa Ramesses au Sese alifia kwenye maji wakati akiwafukuza waisrael!
Wamisri wa kale wakipinga kabisa madai hayo na kudai Sese alifariki akiwa na miaka zaidi ya 87 kutokana na maradhi! ya kibinadamu!
Moja ya ushahidi ni wa Mwili/mummy wa Sese ambao unaonekana wazi kuwa mtu huyo alifariki akiwa mzee kabisa!
Pia jambo jingine la kujiuliza ni kuwa Kina Musa wakati wakimkimbia Ramesses na kuwa wameshafanikiwa kuvuka bahari, huku nyuma waliwezaje kumuona Ramesses katikati ya kikosi cha askari wa misri akifa maji!? Hayo ni mambo yanayowatatiza wengi, huku wengine wakienda mbali zaidi kuwa Ramesses mwili wake huwa hautaki kuzikwa!

Huyu Ndo Great Ramesses II au Sese mmoja wa Mapharao Muhimu zaidi Eghypt ya kale na leo katika historia,

View attachment 463571
MWILI WA PHARAO RAMESSES ll / Firauni Uliopo kwenye maonyesho ya Ancient Egypt.
View attachment 463572
SANAMU YA GREAT RAMESSES II ILIYOPO GIZA EGYPT

Nawasilisha
Secret Star
Wewe unatuthibitishiaje na kutuaminisha kuwa wewe ndio upo sahihi hasa?

Kwa vigezo vipi ilihali hukuwepo wakati huo isipokuwa umefanya utafiti (sina uhakika) kama walivyofanya wengine tu.

Hilo la kusema waliuonaje mwili wa Pharao ni rahisi sana kujibu kwani angelikuwa bado yupo hai ni wazi ingejulikana kwa waisrael na dunia nzima kwa wakati huo.
 
Inawezekana alikuwa mtu mwema ila hizi dini zinatudanganya! asili haibadiliki Waisrael hadi leo tabia zao ni mbovu mbovu! lazima hata mababu zao nao walikuwa hivihivi!
Mfano wa ubovu wa tabia yao ni upi?
 
Wewe unatuthibitishiaje na kutuaminisha kuwa wewe ndio upo sahihi hasa?

Kwa vigezo vipi ilihali hukuwepo wakati huo isipokuwa umefanya utafiti (sina uhakika) kama walivyofanya wengine tu.

Hilo la kusema waliuonaje mwili wa Pharao ni rahisi sana kujibu kwani angelikuwa bado yupo hai ni wazi ingejulikana kwa waisrael na dunia nzima kwa wakati huo.
Bible na Quran unazithibithaje kuwa zinasema kweli?
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
Ha ha brother umenifurahisha sana aisee we ni genius
 
Soma Tena hapo juu nimeshakwambia.

Kuna Thoth Sisi tunamtambua huyu kama Mungu Mwezi!
Unadhani kwanini nyie Waislam mnauheshimu sana Mwezi kuliko Jua?
Unajua kipi kilicho nyuma?
Unadhani kwanini Dini za Ulimwenguni
Kama Uislam, Ukristo, Hindu, Judism na mabudha
Wote wanamtaja Amen/Amun/Amon mwisho wa sala zao?
Unajua Asili Ya Amen?
Unadhani nini maana yake?
Na huyu THOTH anatawala siku ya ALHAMIS AU THURSDAY, ndiyo maana ma president wa marekani huwa wanaapishwa Thursday na huwa wakitaka mafanikio katika jambo huwa wanalifanya on Thursday! MOAB lilirushwa Thursday. Haposa!
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
mkuu kwani yesu alizaliwa misri??
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
True
 
Kwanza ukae ukijua Pharao sio jina, bali ni cheo ni kama vile unavyosema , Mfalme, Rais, Sultan nk, so Mapharao walikuwa wengi sana wala sio mmoja
1: Mohammad alizifahamu habari za Mapharao kwa sababu zilikuwa zinajulikana na watu wote wa ukanda huo wa middle east

2: hilo la mwili kutoharibika lilikuwa linajulikana na ukanda wote huo, kuwa mapharao wakifa huwa wanakaushwa na kuhifadhiwa so miili mingi ya Mapharao waliopita imepatikana, hata Mzee Jakobo Babayake na Yusuf alienda Misri kukaa na mwanae Yusufu na alipokufa walimkausha kama wanavyofanywa Mapharao na wakamuweka kwenye Sanduku kama wanavyofanywa mapharao na alikaa kwa muda mrefu kabla ya kina Yufusu kuja kumzika babayao Kwao (Soma Biblia kisa cha Yusufu utayaona hayo)

3: Maandishi yapo mengi kwenye mapango na makaburi ya mapharao hapo misri yenye kuelezea hayo,

4: Wakati quran inaandikwa kulikuwa na mapharao ambao walishakaushwa kwa zaidi ya miaaka 2000 na walikuwa bado wapo na mpaka leo bado wapo, ni kitu kilichokuwa kinajulikana
Mkuu labda nikukumbushe tu kuwa licha ya kuwa Pharaoh walikuwa wengi lakini Quran inamzungumzia wa Kipindi cha nabii Musa.Pharao huyu alivuka mipaka kwa matendo yake
 
Hata Yesu Kristo mwana wa Yoseph alikuwa mweusi tii na nywere za kipilipili! Na ndio sababu utotoni alifichwa Misri kumkwepa Herode, kama angekuwa mzungu kama tunavyoonyeshwa kwenye sinema huko Misri wasingemficha...ila kwakuwa alikuwa mweusi basi alichangwanywa na weusi wenzanke.
Lugha ya mifano aliyokuwa akiitumia Yesu kwa mujibu wa biblia, asili take ni hapa usukumani...wazungu hawafundushi kupitia mifano ya "mpanzi na mbengu zilizoanguka kandokando ya njia..."
MUSA alikuwa ni mwiisrael, na alipo zaliwa aitakiwa achinjwe lakini haikuwa hivyo na alilelewa na binti pharaoh! Kama angekuwa tofauti rangi na wamisri wangemtambua kuwa ni myahudi!
 
Mkuu labda nikukumbushe tu kuwa licha ya kuwa Pharaoh walikuwa wengi lakini Quran inamzungumzia wa Kipindi cha nabii Musa.Pharao huyu alivuka mipaka kwa matendo yake
hivi watu wanaposema mtu anafanya ufirauni wakimaanisha kinyume na maumbile huwa wanamaanisha nini?
 
IMG_0740.JPG
 
Huo si utaratibu mzuri wa dialogue ama Discussion.

Jibu swali ndipo nawewe uulize swali.
Wow! Mimi nathibitisha kwa kuamini sababu haya yote yapo Misri yameandikwa tangu kale! Kifupi kuchakachuliwa kwake ni kugumu sababu ya sehemu yalimoandikwa, pia Mwili/mummy wa Rammesses unaonyesha wazi luwa alikufa akiwa mzee!.
Nipe sababu za wewe kuamini Bible na Quran..
 
IMG_0743.JPG
hivi watu wanaposema mtu anafanya ufirauni wakimaanisha kinyume na maumbile huwa wanamaanisha nini?
Mzungu ali make sure kuwa, kila kitu cha mtu mweusi kionekane ni kitu kibaya na Kiovu, ukiangalia Ile movie ya LION KING, yule uncle mwovu alikuwa mweusi, wale ma hyenas walikuwa na accent ya watu weusi! Ingawa the richest man in the world na kuna facts alikuwa ni Mansa Mussa wa Mali Timbuktu! THE WEAKER ARE ALWAYS OPPRESSING THE STRONGER, kama the stronger wakiwa wameuchapa usingizi!
 
Nimesikia hadithi nyingi kutoka kwa wazee mbalimbali, lakini sijapata kuisikia inayozungumzia maisha ya Misri ya kale. Natambua kuwa Waafrika hatuna fasihi andishi bali fasihi simulizi tunayo. Kukosa masimulizi ya Maisha ya Misri japo inayofanana kuna maanisha historia hiyo siyo ya kwetu, imebuniwa tu.

Kwanza itabidi ujiulize wewe ni MBANTU, MNILO au MKUSHI!
Nijuavyo mimi waafrika wote hawafanani ilhali wote ni waafrika weusi.Tena wanajivunia uafrika wao.
Babu zako hapo Tanzania huenda ni wabantu tokea Afrika ya KATI,kwahiyo hawatakua na uhusiano wowote wa moja kwa moja na Misri, labda wawe na mchanganyiko wa damu na vikundi vya NILOTES (Luo,Maasai,Turkana,Kalenjin)ama CUSHITES(Somali,Oromo,Borana,Samburu) ama hata HAMITES(wahabeshi,Oromo wengine na kadhalika)hilo halimaanishi hakukuwa na waafrika waliotokea pande za kaskazini/Misri ama waliotokea Guba la Uajemi ama Mashariki ya kati(wakati huo eneo hili lote lilikuwa himaya ya mtu mweusi.
Jamii ya wa Luo kwa taarifa tu wana fasihi simulizi inayoonesha waliteremka sambamba na mto NILE....wanakumbuka Sudani (kule Meroe karibu kabisa na mpaka wa Misri ndani ya Nubia).
Kumbuka kua Farao waanzilishi wa Misri walitokea UNUBI/NUBIA kabisa na kuunganisha Himaya mbili za Misri almaaruf ,Falme za kaskazini na Falme za nyanda za Chini...hapo ni kabla ya anguko lao lilopelekewa na kutekwa kwa Misri,ndipo kukaja mafarao waliochanganya damu toka sehemu sehemu za nje mmoja wao Cleopatra sijui nani na nani waliokua hawana hata sifa za Kiungu/kuheshimika/kusujudiwa...kasome weye.
Soma vitabu,utajifunza mengi.
Nna mengi lakini muda sina wakukuhadithia yote.
 
Back
Top Bottom