Si kweli, ni uongo kabisa, wahehe hawajawahi kupigwa na wangoni kamwe.....hakuna kabila lililowahi kumpiga mhehe.....hiyo sehemu iliitwa Makambako ikiwa na maana sehemu ambayo mahafari wawili walikutana....yaani ng'ombe dume zilipokutana.....kwa kihehe makambako manaake mafahari
Kwa kingoni kambaku ni mtu mwenye nguvu shupavu usibishe bila kuwa na uwakika
Miongoni mwa makabila yaliyokuwa wazambe vitani wabena namba moja ndyo maan waliungan na wajerumanwangoni kwa hiyo wamewapita wabena njombe mjini wakaenda kwa wahehe iringa? halafu makambako mbona wako wabena? wabena hawakupigana vita?
Wudesi khu!wangoni kwa hiyo wamewapita wabena njombe mjini wakaenda kwa wahehe iringa? halafu makambako mbona wako wabena? wabena hawakupigana vita?
Makambako ni sehemu maarufu Sana hapa nchini kwakuwa ipo katika njiapanda ya kwenda mbeya,songea na Iringa
Makambako kwa Sasa inapatikana katika mkoa wa njombe
HISTORIA YAKE
Kipindi Cha ngoni migration wangoni baada ya kuikalia songea walitamani wajitanue mpaka panapoitwa Iringa kwa Sasa lakini mpango wao ulipata changamoto kila walipofika sehemu inayo itwa makambako hivi Sasa kipihicho palikuwa na jina jingine
Wangoni walipofika eneo hilo walikuwa wanakabiliwa na Vita kubwa kutoka kwa majeshi ya chifu mkwawa ambapo walipigana Vita mala mbili bila ya kupatikana mshindi mgoni aliludi nyumbani na mkwawa aliludi kwake mala ya tatu mngoni alipanga Tena shambulio dhidi ya vikosi vya mkwawa
Vita hii ya tatu mkwawa alishindwa Vita alipoteza 70% ya Askari wake wote baada ya Mambo kuwa MAGUMU mkwawa alituma wazee kwenda songea kwa chifu songea kuomba Vita isitishwe na wasipigane Tena
Wangoni walikubali na wakaombana wawe watani tangu hapo mhehe na mngoni ni watani
Sasa pale walipokuwa wanapigania wakaamua wapape jina mngoni akaamua paitwe MAKAMBAKUkwa kingoni KAMBAKU ni mtu shupavu mwenye nguvu MAKAMBAKU ni uwingi
Watu walikuwa hawaezi kuita MAKAMBAKU wakawa wanapaita makambako Kama inavyoitwa Sasa hivi
Hiyo ndyo historia fupi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe historia ya Kimara "TEMBONI" ,SUKA etc
Kwa kihehe ng'ombe dume huitwa kambako kwa kingoni kambaku ni mtu mwenye nguvu shupavuMbona historia nyingi sana wengine walisema ni sehemu ambayo walikuwa wanafanya minada ya n’gombe ambao ng’ombe dume anaitwa kambako so ikaitwa makambako yaani fahari ng’ombe dume
Mmmhhh nikipiga mahesabu kutoka Kazimzumbwi hadi Saadan ni kipande kikubwa sana kwa tembo kutembea ina maana hapo katikati kulikuwa hakuna makazi kabisa??Kimara Temboni asili ni kuwa Tembo wengi walikuwa wanatoka Kazimzumbwi kwenye ile hifadhi Kisarawe na kwenda Saadani sasa kipindi hicho kimara ilikuwa pori kwa maana mashamba ya Tanganyika packers (Kwahiyo ndio asili ya jina hilo Kimara Temboni
Sent using Jamii Forums mobile app