mbwange etangwa makanta etongie shule msi wa kuvoka kuvoka idarasa la kuvoka. Ekangia mwalimu wa hesabu,
mwalimu: Ukiwa na maandazi 6 ukitoa 2 unabaki na mangapi?.
Makanta: Kimya anamuangalia tuu mwalimu.
Mwalimu; aaaaa! Ngoja niulize kwa kipare, hela makanta wena mandazi sitao wekivusha merio heshala mangahi?
Makanta : Ekaseka.
Makanta: Harika herena na chai teheshala kintu neriwe:
Idarasa lose kiseko
my take; uwooooo eteta kuti tukundie vishi enamongoo, ambu yee temoghiweee
mkuu bangusule hebu fafanua hawa jamaa walikuwa na elimu gani au wadhifa gani?the hammer, dingiswayo, sendoro mbazi, queen esther, nguruvi3,
kwa kweli katika mazingira haya itachukua miongo mingi sana kuwapata wakina elangwa shaidi, abdulrahman msangi, akili danieli,nassoro mnzava, mishael muze, mahamoud mwindadi, keto mshigheni,na wasomi wengine wa kupigiwa mfano. Ninasema hivi kwasababu wasomi wote hao walitokea vijijini ambako miaka hii kumekuwa na hali mbaya mno.
Mzee Elangwa Shaidi alikuwa Inspector General Police (IGP) wa kwanza muafrica baada ya uhuru. Kuna thread zimeelezea hawa wote uliowataja na vyeo vyao. Please Bethlehem pitia tena.mkuu bangusule hebu fafanua hawa jamaa walikuwa na elimu gani au wadhifa gani?
mkuu bangusule hebu fafanua hawa jamaa walikuwa na elimu gani au wadhifa gani?
Mkuu wewe ni mkali sana kwa historia ya wapare na inaonekana una kumbukumbu nzuri mno.Kuna eneo kule kuelekea usangi maeneo ya shighatini linaitwa "Mshingeni". Inawezeka lilitokana na huyo jamaa uliomtaja hapo juu.betlehem,
elangwa shaidi alikuwa Inspector General wa Polisi baada ya uhuru. Prof.abdulrahman msangi mtanzania wa kwanza kupata shahada ya sayansi toka London University[makerere college], na dean wa wa kitivo cha sayansi UDSM. Balozi Akili Bernard Chagi Danieli "a.b.c.danieli" alikuwa balozi wa tanzania UN, mwaka 1968. bahati mbaya alifariki akiwa bado ni kijana. Nassoro Mnzava alikuwa Jaji Kiongozi, anakumbukwa kwa kusimamia kesi ya uhaini miaka ya 80. Mishael Muze ni mhadhiri wa hisabati, mwandishi wa vitabu vya kiada, na alipata kuwa kamishna wa elimu. Mahamoud Mwindadi alikuwa katibu wa bunge wakati wa awamu ya kwanza. Mahamoud ni ndugu na Prof.Idi Mwindadi Mmbaga. Keto Elitabu Mshigeni professor wa botany, ni mmoja wa waasisi wa University of Namibia. Kuna jengo limepewa jina " Keto Mshigeni Mariculture Building" kwa kutambua mchango wake kwa Univ of Namibia.
Kuna ndunyula,muhawe,ibada na kibulu.The hammer,
kabla hakujawa na wapare kulikuwa na koo ndogo ndogo za wahamiaji toka makabila mbalimbali yakiwemo wataita na wakamba ambazo zilikuwa haziko chini ya uongozi wowote ule unaoeleweka. sasa hao waliopigania ardhi na wachaga ni kati ya hizo koo ndogo ndogo kabla hazijaunganishwa kwa lugha, mila, na matambiko, na kuwa kabila moja, WAPARE.
katika muunganiko huu unaojulikana kama Wapare zipo koo ambazo zina asili ya Uchagani. Ushahidi wa hilo ni kuwepo kwa Wapare wenye majina ya Kichaga. sasa hapo suala zima la Wapare kupigana vita na Wachaga linakuwa ni utata mkubwa.
Mwisho, kuna mahali umeeleza kwamba chakula cha asili cha Wapare ni MAKANDE. Wapare wenyewe hupenda kukiita chakula hicho pure inatamkwa "MP-HURE." Kipo chakula kingine cha Wapare kinaitwa KISHUMBA.
hujakaa na Wasukuma wewe... Tuna kusema huko hapo hapo hata ukielewa we don't careNimebahatika kuishi na wapare kwa muda mrefu kiasi kwamba ninaijua vizuri sana lugha yao (hawawezi kunisema).
Ninachotaka kujua ni kwanini hupenda kutumia lugha yao kumsengenya mtu? Yaani ukibahatika kukaa mahali wapare wanazungumza kipare utagundua wanamsema mtu.